Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Ngoja tutafute muhindi atusaidieHilo liko wazi ng'ombe kwa wahindi wanaamini ni ndugu zao waliotangulia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tutafute muhindi atusaidieHilo liko wazi ng'ombe kwa wahindi wanaamini ni ndugu zao waliotangulia.
Mkuu sijakuelewaSasa sio kila kinachoitwa kristo unatakiwa uone ni cha kikristo. Kwahyo ukiletewa fake Jesus kafanya maajabu mawili matatu tayari utamuabudu wewe.
Sio kwa uwezo ndiyo kwa neema ila tukimkaribisha roho mtakatifu na movement ya kwanza kuingiwa na roho mtakatifu ni kumkiri kristo na kuacha dhambi maan roho mtakatifu hawezi kukaa kwenye hekalu la mwili muovu amina.Amina mtumishi, lakini pia tunaokolewa kwa Neema sio kwa nguvu, akili wala uwezo wetu.
Wewe kitu ulicholazimishwa muafrica sio dini ila utoe mali na kukubali kutawaliwa. Hujui kuwa waafrica walikuwa hawaruhusiwi kuingia makanisani ila wale special tu. Waafrica dini tumeiadapt hatujalizimishiwa. Halafu hizo hadithi mbona hata haziwazungumzii hao unaowasema wewe hujui kuwa inazungumzia taifa lililo bara la asia na sio europe.W
Wewe umejuaje kuhusu hao manabii na mitume??????? Si wakoloni ndio walikuletea vitabu vyenye adithi zao????????? Huna uhakika gani na hizo simulizi mkuu???
Yani mtu anaweza kuwa anaabudu jua labda halafu akaingia kwenye ukristo kwakuwa labda ni kiongozi akasema nawaamuru na nyny ingizeni haya maagizo kwa wakristo halafu ukasema kuwa kuabudu jua ni ukristo lakin maagizo ya kikristo yote inabidi yatoke kwa Mungu mkuu.Mkuu sijakuelewa
Mkuu nazungumzia wakoloni wa kiarabu na kizungu.Vitabu vyote hivyo vya wakoloni waliokuadithia kuhusu hao mitume vimezungumzia asia na ulaya au hujui mkuu.Wewe kitu ulicholazimishwa muafrica sio dini ila utoe mali na kukubali kutawaliwa. Hujui kuwa waafrica walikuwa hawaruhusiwi kuingia makanisani ila wale special tu. Waafrica dini tumeiadapt hatujalizimishiwa. Halafu hizo hadithi mbona hata haziwazungumzii hao unaowasema wewe hujui kuwa inazungumzia taifa lililo bara la asia na sio europe.
Mkuu mpaka elimu yako umeaminishwa na kutungiwa na hao wakoloni wa kiarabu na kizungu.Au hujui mkuuWewe kitu ulicholazimishwa muafrica sio dini ila utoe mali na kukubali kutawaliwa. Hujui kuwa waafrica walikuwa hawaruhusiwi kuingia makanisani ila wale special tu. Waafrica dini tumeiadapt hatujalizimishiwa. Halafu hizo hadithi mbona hata haziwazungumzii hao unaowasema wewe hujui kuwa inazungumzia taifa lililo bara la asia na sio europe.
Yani mtu anaweza kuwa anaabudu jua labda halafu akaingia kwenye ukristo kwakuwa labda ni kiongozi akasema nawaamuru na nyny ingizeni haya maagizo kwa wakristo halafu ukasema kuwa kuabudu jua ni ukristo lakin maagizo ya kikristo yote inabidi yatoke kwa Mungu mkuu.
[/
QUOTE]Mungu mkuu yupi sasa????????
Kwa asilimia kubwa biblia inazungumzia wayahudi sio wazungu au hujui kuwa wazungu ni watu wa bara la ulaya pekee.Mkuu nazungumzia wakoloni wa kiarabu na kizungu.Vitabu vyote hivyo vya wakoloni waliokuadithia kuhusu hao mitume vimezungumzia asia na ulaya au hujui mkuu.
Jehova kama anavotajwa kwenye maandiko mengi.Mungu mkuu yupi sasa??????
Basi Kama story za mwezini ni za kutunga dini yako ni ya kutunga. Si ndo unavyotaka tubishane..hebu kuwa mtu mzima na utoe point za maana .Wewe muafrica kwann kabla ya kuja hyo dini usiwe na technlogy yako. Halafu hizo story za mwezini mbona nyingi tu ni za kutunga. Halafu alokwambia mbingu ipo hapo unapohisi wewe ni nani? Mungu anaishi nje ya upeo wa wanadamu. Wewe mwafrica sayansi nd kifo chako cha kwanza umepew smartphone ya kubishana jamii forums.
Hatujakataa Ila wayahudi wamegundua vitu kipindi Cha after holocaust. Na ni baada ya help ya western civilization. Kipindi hicho wanaandika Biblia walikuwa hawana ujuzi wowote na wagiriki na wamisri waliwazidi technology.Wewe unapotosha hapa. Mbona wayahudi wengi nd wagunduzi wakuu wa dunia na nd watu wa kwanza kuwa na dini hyo unayoponda.
Roman empire ipo wapi...Paulo ni mtu wa wapi.. hebu kuwa na data bac wayahudi ni Old testament mpaka gospels bac. Baada ya hapo ni Paul preaching all over Europe na Asia. Na John of Patmos ambae ni Greek.Kwa asilimia kubwa biblia inazungumzia wayahudi sio wazungu au hujui kuwa wazungu ni watu wa bara la ulaya pekee.
Nenda kwa mwamposa uone Kama Kuna hao classic ppo. Na Kuna watu wanaokesha bars na clubs na wadangaji Ila church wanaenda. Kingine siangalii media naangalia data Sasa Kama makanisa yapo unataka yabomolewe ama use common sense. Ingia Google search kuhusu religion in Europe. Ina pungua kwa Hali kubwa na watu hawaendi makanisani mpaka makanisa yanageuzwa migahawa. Sawa Kuna visehemu dini bado ipo na makanisa makubwa coz yalikuwepo huwezi ona mtu anajenga kanisa now na watu wengi wamepunguza kufuatilia dini wengi wanahesabiwa Kama wasio na dini.Makao makuu ya makanisa karibu yote yapo huko ulaya sasa unasemaje kuwa huko hawasali tatizo unaangalia media zinachotaka kukuaminisha. Unaona kuwa kwenye dini ndo ela inapotea mwafrica bana nd maan tunasema kilichotufelisha sio dini. Mwafrica anatumia bando zaid ya ef 5 kila siku kushinda tik tok na insta ila akitoa sadaka ya ef 10 jumapili eti dini ina mfirisi Mwafrica anaenda kukesha bar anaacha laki 1 ila akitoa ef 10 kanisani anasema dini inamfirisi . Mwafrica anavaa kiatu cha 75 tishirt 35 suruali 30 ila anaona kununua suruali ya kitambaa ya ef 15 kiatu 25 shati 10 na kutoa sadaka ya 10 dini inamfirisi. Mwafrica anaona kutoa 50k kumlipa mwanamke guest 25k vinywaji 30k usafiri 20k hafirisiki ila kutoa 10k kanisani anaona anafirisika. Ingia kanisani moja ya sehem ambazo zina watu wana standard life ni watu wa makanisani. Kwenye kundi la watu wasiosali kuna walevi wale wa vilabu vya pombe kaangalie lifestyle lao kakompee na watu wa church nenda kaangalie life la watumia madawa ya kulevya wanasaidiwa na makanisa hawa. Unazungumzia tu kinachoingia kanisani ila hujui watu namba moja baad ya serikali kutoa misaada kwenye vituo vya wahitaji ni makanisa hayo hayo.
Ndo maana kila mtu ana Mungu wake. Inamaanisha anafikirika.Mungu hujifunua kwa wanaomtafuta kwa moyo WA dhati, kwa saburi na kwa unyenyekevu, kwa Nia njema na katika usafi WA moyo.
Na kumjua Mungu ni hatua kwa hatua na uhakika WA kumjua Mungu utaimarika kwako kwa uzoefu binafsi na Mungu
Kamwe huwezi kumjua Mungu kwa kufanya utafiti kama unavyokaribu kufanya maana Mungu hayupo kwenye namna ya ulimwengu huu .
Hiyo data ni ya uongo kabisa na kwanza alokwambia Mungu anataka idadi kubwa nani. Angalia attachment chini hapo. Kwa hao unaosema wameenda kwa mwamposa hawako classic wamefirisikia kwa mwamposa au walikuwa tangu kabla ni masikini? Unajua lile kanisa la shayo kule kilimanjaro walienda watu gani unaweza jifananisha na wewe? Halafu nani anaetoa sadaka kaja kukulalamikia wewe kuwa kafirisikia kanisani? Yani mtu anatoa sadaka za buku mbili jumapili kwa mwaka unakuta hafikishi hata laki 1 na nusu unasema kafiriskia kanisani. Eti unasema kuwa sijui wazungu walileta dini ili kututawala we unahisi kwenye makanisa yao nyinyi mababu zetu walikuwa wanaingia ingia tu kizemge fuatilia historia watawala walikuwa hawachangamani na watumwa ukienda bagamoyo kulikuwa kuna mipaka hakuna mtu mweusi kugusa. Swali la mwisho kama dini ililetwa kwanini hatukuwa na maendeleo kabla?Nenda kwa mwamposa uone Kama Kuna hao classic ppo. Na Kuna watu wanaokesha bars na clubs na wadangaji Ila church wanaenda. Kingine siangalii media naangalia data Sasa Kama makanisa yapo unataka yabomolewe ama use common sense. Ingia Google search kuhusu religion in Europe. Ina pungua kwa Hali kubwa na watu hawaendi makanisani mpaka makanisa yanageuzwa migahawa. Sawa Kuna visehemu dini bado ipo na makanisa makubwa coz yalikuwepo huwezi ona mtu anajenga kanisa now na watu wengi wamepunguza kufuatilia dini wengi wanahesabiwa Kama wasio na dini.
Story ya mwezini ina ukakasi mwingi wewe kijana em fuatilia hadi wamarekani wenyew hawaamini hata watu maarufu wanaulizwaga sana kweny interviews mbali mbali wanaona kuna ukakasi hadi kwenye movie kuna huo utani sana.Basi Kama story za mwezini ni za kutunga dini yako ni ya kutunga. Si ndo unavyotaka tubishane..hebu kuwa mtu mzima na utoe point za maana .
Pyramidi walijenga wayahudi kipindi cha kutawaliwa au unabisha kuwa wayahudi hawajatawaliwa na misri tuanzie hapoHatujakataa Ila wayahudi wamegundua vitu kipindi Cha after holocaust. Na ni baada ya help ya western civilization. Kipindi hicho wanaandika Biblia walikuwa hawana ujuzi wowote na wagiriki na wamisri waliwazidi technology.
Trump alivokuwa madarakani alisema mwaka 2020 atawarudisha wamarekani mwezini, lakini mpaka ametoka madarakani hakufanya.Story ya mwezini ina ukakasi mwingi wewe kijana em fuatilia hadi wamarekani wenyew hawaamini hata watu maarufu wanaulizwaga sana kweny interviews mbali mbali wanaona kuna ukakasi hadi kwenye movie kuna huo utani sana.