Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

NASA ni shirika la serikali, nalitambua hilo. Na nawafuatilia kwa ukaribu sana. Hivi unajua kua NASA haihusiki na mambo ya space pekee...? Kwa kias kikubwa imefocus ktk aeronautics na sio kwenda mwezini...

Ila anyway, tamko la recent kutoka NASA hawaja confirm kua watapeleka binadamu mwezini. Sababu kubwa ni gharama. Inagharimu pesa nyingi kupeleka watu mwezini wakat unaweza kupeleka vifaa tu na vikafanya kazi kubwa kuliko binadamu anavoweza kufanya, ni low cost na safer. Kwa ufupi hakuna umuhimu wa kupeleka binadamu mwezini!
Nimekwambiaje NASA hawawezi kusema ni gharama ili halu pesa ni white house inatoa siyo wao.

White house ndiyo ikisema bajeti haitoshi ni haitoshi.

Nimekwambia hapa kuwa Marekani wameanza kufanya mpnago kumrudisha binadamu mwezini since 2018 chini Rais TRUMP.

Na trump alikadiria kuwa 2022 tayari NASA watakuwa washapeleka watu mwezini lakini bado walisogeza mbele kwa sababu vifaa (rocket na mavazi) bado hayajakamilika.

But wamesema saivi wanatazamia kwenda 2024 na tayari timu ya kwenda majina yao yashatajwa na mzabuni aliyeingia ubia na NASA ni kampuni ya Elon Mask (space X) ndiyo inayo tengezea rocket itakayowabeba wanasayansi hao ambayo inaitwa Artems -1 na sasahivi tayari inafanyiwa majaribio ili ikae sawa kwa ajili ya safari hiyo ya mwakani.

Sasa wewe unabisha endelea kushikilia data zako sijui za mwaka gani
 
NASA ni shirika la serikali, nalitambua hilo. Na nawafuatilia kwa ukaribu sana. Hivi unajua kua NASA haihusiki na mambo ya space pekee...? Kwa kias kikubwa imefocus ktk aeronautics na sio kwenda mwezini...

Ila anyway, tamko la recent kutoka NASA hawaja confirm kua watapeleka binadamu mwezini. Sababu kubwa ni gharama. Inagharimu pesa nyingi kupeleka watu mwezini wakat unaweza kupeleka vifaa tu na vikafanya kazi kubwa kuliko binadamu anavoweza kufanya, ni low cost na safer. Kwa ufupi hakuna umuhimu wa kupeleka binadamu mwezini!
 

Attachments

  • Screenshot_20230501_125854_Chrome.jpg
    Screenshot_20230501_125854_Chrome.jpg
    83.9 KB · Views: 7
NASA ni shirika la serikali, nalitambua hilo. Na nawafuatilia kwa ukaribu sana. Hivi unajua kua NASA haihusiki na mambo ya space pekee...? Kwa kias kikubwa imefocus ktk aeronautics na sio kwenda mwezini...

Ila anyway, tamko la recent kutoka NASA hawaja confirm kua watapeleka binadamu mwezini. Sababu kubwa ni gharama. Inagharimu pesa nyingi kupeleka watu mwezini wakat unaweza kupeleka vifaa tu na vikafanya kazi kubwa kuliko binadamu anavoweza kufanya, ni low cost na safer. Kwa ufupi hakuna umuhimu wa kupeleka binadamu mwezini!
 

Attachments

  • Screenshot_20230501_130109_Chrome.jpg
    Screenshot_20230501_130109_Chrome.jpg
    103.2 KB · Views: 7
Nimekwambiaje NASA hawawezi kusema ni gharama ili halu pesa ni white house inatoa siyo wao.

White house ndiyo ikisema bajeti haitoshi ni haitoshi.

Nimekwambia hapa kuwa Marekani wameanza kufanya mpnago kumrudisha binadamu mwezini since 2018 chini Rais TRUMP.

Na trump alikadiria kuwa 2022 tayari NASA watakuwa washapeleka watu mwezini lakini bado walisogeza mbele kwa sababu vifaa (rocket na mavazi) bado hayajakamilika.

But wamesema saivi wanatazamia kwenda 2024 na tayari timu ya kwenda majina yao yashatajwa na mzabuni aliyeingia ubia na NASA ni kampuni ya Elon Mask (space X) ndiyo inayo tengezea rocket itakayowabeba wanasayansi hao ambayo inaitwa Artems -1 na sasahivi tayari inafanyiwa majaribio ili ikae sawa kwa ajili ya safari hiyo ya mwakani.

Sasa wewe unabisha endelea kushikilia data zako sijui za mwaka gani
Ndugu. Hio iko kwenye schedule, na inaweza isitokee pia. Ndio kauli yao NASA waliotoa.

Schedule ilikua 2024 wapeleke watu orbit ya mwezini na 2025 watue mwezini. Hio ya majina wanakaa wanabadili kila siku... mara waseme watapeleka mwanamke mwezini mara waseme watapeleka watu weusi wa kwanza... kiufupi hakuna tarehe maalumu waliopanga kutua mwezini.

Na sababu ya kutokwenda mwezini kwa zaidi ya miaka 50 inabaki ileile; cost!

Mwanzon ulikua unabisha kua NASA hawajatua mwezini..? [emoji848]
 
Ndugu. Hio iko kwenye schedule, na inaweza isitokee pia. Ndio kauli yao NASA waliotoa.

Schedule ilikua 2024 wapeleke watu orbit ya mwezini na 2025 watue mwezini. Hio ya majina wanakaa wanabadili kila siku... mara waseme watapeleka mwanamke mwezini mara waseme watapeleka watu weusi wa kwanza... kiufupi hakuna tarehe maalumu waliopanga kutua mwezini.

Na sababu ya kutokwenda mwezini kwa zaidi ya miaka 50 inabaki ileile; cost!

Mwanzon ulikua unabisha kua NASA hawajatua mwezini..? [emoji848]
MImi sijakwambia kuna tarehe specific ya kwenda.

Ndiyo maana nimekwambia mpango huo waliuzindua 2018 wakitegemea utafanikiwa 2022, lakini wakafeli na sasahivi wamepeleka 2024.

Na hata 2024 bado wanaweza kufeli wakaenda 2030 mimi hilo sina shida nalo cha msingi tunasubiri mipango yao kama itatimia.

Mimi ninachokukatalia ni wewe kusema kuwa NASA hawana mpango wa kwenda mwezini kwasasa, mara useme pesa hamna, mara useme hakuna umuhimu wa kwenda mwezini kwa sasa, kama wewe umeona hakuna umuhimu basi wao wameona kuna umuhimu ndiyo maana sasahivi wanapanga mipango kazi ya kurudi huko
 
MImi sijakwambia kuna tarehe specific ya kwenda.

Ndiyo maana nimekwambia mpango huo waliuzindua 2018 wakitegemea utafanikiwa 2022, lakini wakafeli na sasahivi wamepeleka 2024.

Na hata 2024 bado wanaweza kufeli wakaenda 2030 mimi hilo sina shida nalo cha msingi tunasubiri mipango yao kama itatimia.

Mimi ninachokukatalia ni wewe kusema kuwa NASA hawana mpango wa kwenda mwezini kwasasa, mara useme pesa hamna, mara useme hakuna umuhimu wa kwenda mwezini kwa sasa, kama wewe umeona hakuna umuhimu basi wao wameona kuna umuhimu ndiyo maana sasahivi wanapanga mipango kazi ya kurudi huko
Hizo ni statement zao wao wenyewe. Walisema kua kupeleka binadamu ni less efficient kwasababu ina require alot of resources kupeleka wakat hakuna faida ya kupeleka binadamu. Walisema wao wenyewe sio mm.

Na sijasema hawana pesa. Bali walisema inagharimu pesa nyingi zaidi in excess.
 
Nnavyojua mimi, dhana ya Ma-piramidi ya misri kujengwa na wayahudi kipindi cha utumwa wao wa miaka 430, hiyo dhana huwa wanayo zaidi ma-westerners kwa sababu huwa hawataki kabisa kukubali kuhusu civilization yoyote kuwepo Africa before colonial Era.

Na wazungu wengine wakaenda mbali zaidi wakasema yale ma-piramidi yalijengwa na ALLIENS na siyo watu (ELON MUSK ni miongoni mwa wanaoamini katika dhana hiyo).

Lakini wamisri wenyewe kwa historia yao wanasema hayo mapiramidi waliyajenga wenyewe kwa technolojia yao wenyewe hakuna cha Wayahudi wala ALIENS.

Ila ulimwengu wa mgharibi hukataa hilo kujengwa na wamisri wenyewe kwa sababu hawataki Africa kuonekane kulikuwa na civilization kabla yao .
Kwahiyo mkuu nawewe unaamini kuwa Pyramid zilijengwa na wayahudi?

Anyway let's say walijenga wao, kama walijenga wao nini kinazuia hadi leo hii kusiwe na pyramid mpya?

Technology waga haipotei bali watu wanachange matumizi kulingana na Zama zilizopo, Zama zilizopo bado zinahitaji technology iliyotumika kujenga pyramid kwa nini ipotee?

Kama pyramid zilijengwa na wayahudi inakuaje hadi leo hii watu wanaendelea kufanya tafiti yalijengwa na nani? Ata kama utasema wazungu wanaficha kwani hao wayahudi hawapo kuprove kwa Dunia kuwa wajenzi ni wao?

Katika harakati zako za kutaka kumfahamu Mungu muumba wa vyote najua umesoma vitu vingi ikiwemo baadhi ya dini na science Je Umewahi kuwasoma Annunaki?

Je Umewahi kufatilia vitabu/maandiko ya Sumerians wanaongeleaje kuhusu Annunaki na kuumbwa Kwa homo sapiens duniani?
 
Kwahiyo mkuu nawewe unaamini kuwa Pyramid zilijengwa na wayahudi?

Anyway let's say walijenga wao, kama walijenga wao nini kinazuia hadi leo hii kusiwe na pyramid mpya?

Technology waga haipotei bali watu wanachange matumizi kulingana na Zama zilizopo, Zama zilizopo bado zinahitaji technology iliyotumika kujenga pyramid kwa nini ipotee?

Kama pyramid zilijengwa na wayahudi inakuaje hadi leo hii watu wanaendelea kufanya tafiti yalijengwa na nani? Ata kama utasema wazungu wanaficha kwani hao wayahudi hawapo kuprove kwa Dunia kuwa wajenzi ni wao?

Katika harakati zako za kutaka kumfahamu Mungu muumba wa vyote najua umesoma vitu vingi ikiwemo baadhi ya dini na science Je Umewahi kuwasoma Annunaki?

Je Umewahi kufatilia vitabu/maandiko ya Sumerians wanaongeleaje kuhusu Annunaki na kuumbwa Kwa homo sapiens duniani?
You should be one of those conspiracy theorists. Lol

Pyramids zilijengwa na wamisri wenyewe. Bado hatuna uhakika kama walijenga ni watumwa au ilikua ndio ajira yao. Ila Pyramids zilijengwa kwa kusudio la kuzika mapharao na mali zao. Unamaanisha nn kusema kua hatujui Pyramids zilijengwaje?
 
Kwahiyo mkuu nawewe unaamini kuwa Pyramid zilijengwa na wayahudi?

Anyway let's say walijenga wao, kama walijenga wao nini kinazuia hadi leo hii kusiwe na pyramid mpya?

Technology waga haipotei bali watu wanachange matumizi kulingana na Zama zilizopo, Zama zilizopo bado zinahitaji technology iliyotumika kujenga pyramid kwa nini ipotee?

Kama pyramid zilijengwa na wayahudi inakuaje hadi leo hii watu wanaendelea kufanya tafiti yalijengwa na nani? Ata kama utasema wazungu wanaficha kwani hao wayahudi hawapo kuprove kwa Dunia kuwa wajenzi ni wao?

Katika harakati zako za kutaka kumfahamu Mungu muumba wa vyote najua umesoma vitu vingi ikiwemo baadhi ya dini na science Je Umewahi kuwasoma Annunaki?

Je Umewahi kufatilia vitabu/maandiko ya Sumerians wanaongeleaje kuhusu Annunaki na kuumbwa Kwa homo sapiens duniani?
Sidhani kama kuna mahali nimesema kuwa nakubali piramidi zilijengwa na wayahudi, bali nimeelezea ni kina nani huwa wana dhana hiyo ya piramidi kujengwa na wayahudi au Aliens.

Na nikasema kwa mujibu wa Afro-centric ni kwamba wamisiri wenyewe ndiyo walihusika na ujenzi wa piramids
 
Hizo ni statement zao wao wenyewe. Walisema kua kupeleka binadamu ni less efficient kwasababu ina require alot of resources kupeleka wakat hakuna faida ya kupeleka binadamu. Walisema wao wenyewe sio mm.

Na sijasema hawana pesa. Bali walisema inagharimu pesa nyingi zaidi in excess.
Hueleweki unachokitaka
 
Kwa kweli hilo ni jambo lingine la msingi kabisa ambalo linahitaji ufafanuzi wake kutoka kwa hawa wanaojiita wanathiolojia wa Mungu Mpya.

Na inabidi waje hapa waelezee.

Lakini kabla hiyo imani ya Mungu mpya kuletwa, historia inaonesha kuwa Mababu zetu (Waafrica Weusi) walikuwa na imani zao kabla hata hizo za Mungu mpya kuletwa.

Na imani hizo za kale za Mababu zetu, zimekuja kuitwa kuwa ni za kimizimu/kishetani.

Lakini ninachoshangaa ni kwamba hizo imani inaonekana zilikuwa zinawasaidia, yaani walikuwa wakiomba chochote kwenye mizimu yao walikuwa wanapata.

Lakini baada ya kuwasili kwa Imani za Mungu mpya (aliyeletwa na wakoloni) ikaonekana hiyo imani ya mababu zetu ilikuwa ni kichawi na ni haramu/chukizo kwa Mungu.

Sasa mimi nauliza, wale mababu zetu waliokufa kabla ya kuwasili kwa imani za Mungu mpya, hukumu yao siku ya kiama itakuwaje ?
Zamani za upumbavu Mungu alijifanya kama hajui au asikii ila sasa anataka ujue na usikie ili ukiukumiwa usijesema umeonewa
 
You should be one of those conspiracy theorists. Lol

Pyramids zilijengwa na wamisri wenyewe. Bado hatuna uhakika kama walijenga ni watumwa au ilikua ndio ajira yao. Ila Pyramids zilijengwa kwa kusudio la kuzika mapharao na mali zao. Unamaanisha nn kusema kua hatujui Pyramids zilijengwaje?
Mkuu Pyramid zimekuwepo ata kabla ya uwepo wa Pharaohs na kitu kingine unatakiwa kujua kuwa Pyramid hazipo Egypt tu, kuna zingine zipo North America kwahiyo na huko walikuwa wanazikwa kina nani?

Unaniita mie mtu wa conspiracy ilhali wewe mwenyewe huna ushahidi kuwa pyramid zimejengwa na wamisri wenyewe

Na kama zilijengwa na wamisri hao wamisri wote pamoja na vizazi vyao wamekufa? ili wawe wamekufa na ujuzi wao

Technology iliyotumika kujenga pyramid katika miaka ya 2780 BCE Hadi kufikia Karne hii ya 21 bado hatuna hiyo technology alafu tukae tunaambiana kuwa zilijengwa Kwa lengo la kuweka pharaoh

Kwa Akili ya kuvukia barabara tu ni impossible kuwa wamisri ndio walijenga pyramid na kama walijenga nini kinawafanya wasijenge tena?

Wamisri walishiriki tu kwenye ujenzi kama saidia fundi ndomana hakuna wanachokijua, kitu walichonufaika nacho ni kujifunza vitu ambavyo vilikuwa ndani ya uwezo wao kutoka kwa Annunaki ikiwemo science ya madawa na ujenzi
 
Mkuu Pyramid zimekuwepo ata kabla ya uwepo wa Pharaohs na kitu kingine unatakiwa kujua kuwa Pyramid hazipo Egypt tu, kuna zingine zipo North America kwahiyo na huko walikuwa wanazikwa kina nani?

Unaniita mie mtu wa conspiracy ilhali wewe mwenyewe huna ushahidi kuwa pyramid zimejengwa na wamisri wenyewe

Na kama zilijengwa na wamisri hao wamisri wote pamoja na vizazi vyao wamekufa? ili wawe wamekufa na ujuzi wao

Technology iliyotumika kujenga pyramid katika miaka ya 2780 BCE Hadi kufikia Karne hii ya 21 bado hatuna hiyo technology alafu tukae tunaambiana kuwa zilijengwa Kwa lengo la kuweka pharaoh

Kwa Akili ya kuvukia barabara tu ni impossible kuwa wamisri ndio walijenga pyramid na kama walijenga nini kinawafanya wasijenge tena?

Wamisri walishiriki tu kwenye ujenzi kama saidia fundi ndomana hakuna wanachokijua, kitu walichonufaika nacho ni kujifunza vitu ambavyo vilikuwa ndani ya uwezo wao kutoka kwa Annunaki ikiwemo science ya madawa na ujenzi
Duh... inabidi uende walau sikumoja kutembelea Pyramids of giza. Watu wanatunza historia. Izo mambo ya kwamba Pyramids zmekengwa na aliens walianzisha conspiracy theorists. Wamisri wao wanajua kila kitu... ni mahesabu makali tu. Pyramids zilichukua miaka zaidi ya 20 kujenga Pyramid moja. Na watu 20,000-100,000.

Screenshot_20230502-001452_Google.jpg


Kuhusu Pyramids za North America nenda Wikipedia uangalie kuhusu mesoamerican Pyramids... hakuna miujiza.
Na swala la kwann hawajengi Pyramids tena ni sawa na kuuliza kwanini hatuui albino tena na kuabudu makaburi? Jibu ni hawafuati tena hizo desturi.

Na sio kila mtu alizikwa kwenye Pyramids, ni mapharao tu sanasana. Na matajiri. Walikua mummified na kutunzwa humo pamoja na mali zao. Ww unafkir kwann wanahusisha sana mummies na Egypt, hata kwenye movies nyingi?
 
Data za 2004... [emoji2365]
Ila still, Japan ni mostly atheist nation na ndio miongoni mwa nchi zenye amani zaidi. Hii pamoja na nchi zingine zenye majority ya atheists ndio proof kua hauhitaji mungu/miungu kua na amani. Pia 'shit hole' countries nyingi ukiangalia ni nchi zenye dini sana.
Shida hizo nchi unazoita shitholes zilikuwa masikini hata kabla ya dini. Hivi wewe kwa akili yako unadhani wazungu walianza kusali na waafrica kanisa moja walivofika tu. Haya tuambie nyinyi maatheist taifa mmelifanyia nini mpaka watu wawafuate tuanzie hapo. Unazungumzia amani japan amani za mapanga na mapigano ndo amani kwako. Masamurai wanafanya nini kule maninja wanafanya nini kule kwanini wanatengeneza misilaha mizito? Sababu wanajua amani yao sio ya milele sababu kuna kipindi walitandikwa na wenzao tofauti na ukisali kweli unapata amani ya milele.
 
Alafu kitu kingine, mimi sikatai kuwa wayahudi ni wabunifu.

Ila nikupe mfano mtihani mmoja, alafu huo mtihani nijibu bila kuingiza mambo ya dini humu.

Mtihani wenyewe ni huu : Ikiwa wayahudi ni wabunifu toka enzi za zamani, llikuwaje walishindwa kutumia ubunifu wao kuilinda nchi yao mpaka wakawa wanatekwa hovyo na kuchukuliwa watumwa ?

Tangu zamani JEWISH KINGDOM ambako ndiko ilikuwa nyumbani kwa wayahudi, taifa lao lilipitia vipindi mbali mbali vya kutekwa.

Ilianza Babilon Kingdom (Iraq ya leo ) ikaipiga Jewish Kingdom na kuiteka kwa miaka, badae ikaja Pursian(Iran ya leo) ikawateka na kuwatawala vya kutosha,badae ikaja Dola ya Uyunani (Ugiriki) chini mwamba Alexender THE GREAT akawaburuta vya kutosha pia, ikaja ROMAN EMPIRE pia ikawaburuza kwa mamia ya miaka mpaka kipindi cha Yesu, badae wakaja kumalizia OTTO MAN EMPIRE (Uturuki ya leo) nao wakawatawala na kuwatawanywa vya kutosha.

So,.can you tell me ubunifu wao wakati wote ulikuwa wapi washindwe kuutumia kuilinda nchi yao dhidi ya maadui kama wanavyofanya laeo.

Nijibu please bila kutumia muktadha wa dini, maana ukitumia muktadha wa dini utanambia ilikuwa ni mpango wa Mungu wao kuteseka na kupekwa utumwani
Sasa wale jamaa walifundishwa upendo upole amani na babu zao na ndo maan walikuwa hawafanyi maafa makubwa duniani. Na watu walikuwa wanawatawala sababu ni wasikivu na ni mabrave sana kwa watawala wao na Mungu aliwatoa ile roho ya ubaya wa kutisha kutokana na ujuzi wao wangetesa dunia sana. Na pia yale yote yalitabiriwa katika bible kuwa watatawaliwa na watapoteana kabisa kwahyo matukio hayo ya kihistoria unayoyaona hata kibiblia yaliandikwa hivo hivo. Na ndo maan walivokuja katika modern world kuna baadhi wakaungana na wanatoa kipigo kikali sana kwa yoyote atakaewachokoza ila wao hawachokozi mtu na bado sio wote walioungana kupiga watu hata hivi karibuni. Ila wale wakiingia sehem wanaweza fanya chochote kile hujui kuwa watu wenye power zaidi duniani na hasa pale marekani ni hao hao jmaa pamoja na kwamba walichukuliwa utumwa marekani. We unajua kwanini mpaka mwanamuziki Kanye West aliwachukia sana wanavowapiga na kuwanyanyasa watu weusi hasa kwenye media wao nd wanapanga nani awe star nani ashuke. Unaijua familia ya kiyahudi ya Ku klax klan wabaguzi wa rangi wa kutisha wenye power za juu pale U.S. Bro myahudi akiruhusiwa evil things ni mtu wa kutisha kuliko ukoma.
 
Kwa kweli hilo ni jambo lingine la msingi kabisa ambalo linahitaji ufafanuzi wake kutoka kwa hawa wanaojiita wanathiolojia wa Mungu Mpya.

Na inabidi waje hapa waelezee.

Lakini kabla hiyo imani ya Mungu mpya kuletwa, historia inaonesha kuwa Mababu zetu (Waafrica Weusi) walikuwa na imani zao kabla hata hizo za Mungu mpya kuletwa.

Na imani hizo za kale za Mababu zetu, zimekuja kuitwa kuwa ni za kimizimu/kishetani.

Lakini ninachoshangaa ni kwamba hizo imani inaonekana zilikuwa zinawasaidia, yaani walikuwa wakiomba chochote kwenye mizimu yao walikuwa wanapata.

Lakini baada ya kuwasili kwa Imani za Mungu mpya (aliyeletwa na wakoloni) ikaonekana hiyo imani ya mababu zetu ilikuwa ni kichawi na ni haramu/chukizo kwa Mungu.

Sasa mimi nauliza, wale mababu zetu waliokufa kabla ya kuwasili kwa imani za Mungu mpya, hukumu yao siku ya kiama itakuwaje ?
Hukumu ya mababu zetu wa kale Mola ndie ajuaye
 
Hakuna kitabu chenye utata kukielewa kama Biblia.

Kuna baadhi hadithi mule ukizisoma hazieleweki yaani kama zinaenda mbele au zinarudi nyuma.

Alafu kinachonichoshaga zaidi kina mafumbo kibao na hayo mafumbo unakuta kila kukundi wanatafsiri tofauti na kikundi kingine kwenye kitu kile kule.

MFANO : Kitabu cha ufunuo wa Yohana ni mafumbo matupu.


Sijajua kuhusu Quran kama nayo hadithi zake zinazikanyaga kanyaga kama za kwenye Biblia, na mafumbo pia sijui kwenye Quran kama yapo
Karibu uone tofauti Quran haina migongano hata kidogo na Quran imeruhusu kuhoji yaliyomo kwa kadri yako
 
Unajua haya mambo bhan yanahitaji fikra pevu kidogo.

Kwanza Inabidi uelewe kwamba unapozungumzia HISTORY OF AFRICA lazima ujikite kama dhana mbili ambazo ni :

1.Afro-centric view na

2.Euro-centric view.

Afro-centric view ndiyo inayosemaga ukweli halisi kuhusu historia ya africa na kwa kiasi kikubwa imeandikwa na wanahistoria weusi (waafrica wenyewe).

Lakini Euro-Centric view hawa ni wapotoshaji kwa kiasi kikubwa, wameandika uzushi na uwongo wa kutupa na kuikandia Africa, na waandishi wake ni wazungu.

Naweza kupa mfano mmoja thabiti : Wanahistoria wa kizungu (Euro-centric) wameandika kuwa sababu kubwa zilizowafanya wao waje kututawala africa (yaani ukoloni) ilikuwa ni kuja kutuletea ustaarabu kwa maana Africa ilikuwa ni kama bara la giza halijui chochote wala kujishughulishi na chochote watu wake wapo wapo tu kama wanyama,eti walikuja kutuletea dini tuachane na uchawi, eti walikuja kukomesha biashara ya utumwa.

Tena kuna mpuuzi mmoja wa kizungu kaenda mbali zaidi katutusi akasema "Africans were an animal men who were living in the Forest".

Lakini ki-uhalisia huo wote ni uwongo tu wa wazungu ku-maintain superiority yao.

Hapo ndipo walipokuja wenye mtazamo wa AFRO-CENTRIC VIEW kuja kusahihisha uwongo na uzushi huo.

Afro-centric wakasema: Africa kabla ya kuja kwa wazungu halikuwa bara la giza (dark continent) lisilojua chochote kama wazungu wanavyosema, bali tulikuwa na maendeleo yetu kwa kiasi chake hata kama ulaya walituzidi ila ilikuwa kidogo tu.

Wakasema sisi waafrica tulikuwa tuna elimu yetu (informal education), tulikuwa tunalima, tunafanya biashara (goods by goods), tulikuwa na mifumo yetu ya kiutawala na kisiasa mfano MKWAWA KINGDOM chini ya CHIEF MKWAWA ambae aliwahi kuwatembezea kichapo wajerumani vizuri tu n.k.

Na pia Afro-centric wakasahihisha kwa kusema kuwa sababu zilizowafanya wazungu kuja Africa siyo kuja kuleta ustaarabu wala dini au kukomesha biashara ya utumwa, bali walikuja kwa ajili ya kutafta malighafi kwa ajili ya viwanda vyao vya ulaya, mahali ambapo wangepata cheap labour, mahali ambao wangepata maeneo kwa ajili ya uzalishaji wao wa ziada (surplus production) na pia maeneo kwa ajili ya wao kuishi maana waliona kama ulaya wameanza kubanana (kuwa wengi).

HIvyo basi sitaki kukubishia kuwa "Ma-piramidi ya Egpty hayajajengwa na wayahudi" ila nataka nikusanue kuwa, kuwa makini na wasomi wa kimagharibi, mara nyingi huwa hawasemi ukweli kuhusu Africa kwa sababu ya wao kutaka kujiona ni superio muda wote, hawataki kabisa kuona kama waafrica tuliwahi kuwazidi kwa chochote.

Na ndiyo maana wanasema hayo mapiramidi yamejengwa na wayahudi waliokuwa utumwani misri au viumbe Aliens, lakini wamisri wanasema hiyo ni kazi yao wenyewe.

NB: Soma kitabu kinaitwa "HOW EUROPE UNDER DEVELOPED AFEICA" kimeandikwa na Walter Roodney mwaka 1973.

Humo ndani kawavua nguo wazungu balaa hadi ikabidi wamuue (assination).
Sasa mkuu misri ndo alimtawala myahudi kwahiyo kwa haraka haraka misri alikuwa ana uchumi imara zaidi yao na pia ilikuwa ni nchi yenye maendeleo makubwa hata ya kisilaha na vitu kama hivyo na biblia inaweka wazi kuwa hata kabla ya kutawaliwa waisrael walisaidiwa sana na misri kipindi cha shida na njaa katika taifa lao. Kwahyo biblia inavoonesha kuwa wayahudi walitawaliwa na kuwasaidia katika baadhi ya technlogy haiwadowngrade misri lakini ndo inawakuza zaidi. Kumbuka biblia inasema kuwa mkombozi wa wana wa israel wamekombolewa na mtoto alielelewa kwenye mikono ya farao mwenyewe so utaona hapo kuwa hakuna kudharau historia ya africa wala nini. Bible imeelezea vizuri taifa la ethiopia kwa uzuri tu na kuna wayahudi wengi wameishi ethiopia na katika historia ya africa utaona hayo mataifa hayajatawaliwa na mtu yoyote. Ila huku kwingine ni kweli africa ilikuwa giza tupu na hakuna ustaarabu kabisa. Nakupa uthibitisho mdogo tu ukienda vijijini maswala ya kuamini uchawi na pia aina ya maisha mpak leo vijijini vyoo tu ni shida nyumba za kuishi ni duni elimu duni mavazi duni em fikiria vijiji maji safi tu ni changamoto chakula cha ajabu ajabu tu sasa unawezaje kubisha. Hapo pa mkwawa Iringa unapopasema ni pa hovyo ajabu maisha duni so sometimes kutawaliwa ni kweli lilikuwa kosa regardless tulikuwa tuna hali gani ila kuukataa uhalisia kuwa hatkuwa na hali mbaya naona ni kuukata uafrica wenyewe.
 
Back
Top Bottom