Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Hiyo story ya Sudan mwenyewe umesema kwamba ni Hearsay kutoka kwa co-worker wako.... Sasa Ili uthibitishe yanayosemwa tuwekee habari kutoka chanzo chochote cha habari cha kuaminika.


Hizo Nchi zimeteketea kivipi,.... Hizo Nchi unazosema Zinajiteketeza zenyewe kwa ku push WOKE AGENDA(Transgender na Ushoga kwa ujumla)..... Sasa Sijui Uislam unaziteketeza vipi hizo Nchi.
Mbona unakamia ushoga na transgender. Hivi vitu havipunguzi maendeleo in fact it's coz of freedom ndo nchi Kama marekani na western zinaendelea. Ukitoa nchi zilizoendelea coz of kumiliki mafuta most Islamic countries r poor and less socially developed coz of problems za Vita, ubaguzi na unanyanyasaji wa minorities. Sasa we unasema ushoga ushoga mwenzako anatengeneza chanjo anatengeneza magari we unakaa unakazania ushoga na ndo anakupa misaada unakula.
 
Hahhh, sawa.... Kwahiyo tumekubaliana Evolution Theory ni Imani?
Gravity ni theory pia. Theory explains how something works sio kwamba ni Imani, jaribu kuelewa. It's not abt believing ndo maana Dawkins kasema hawezi debate na creationists coz hawana facts. We know now that they were dinosaurs na pia prehuman species coz of scientific evidence through Archaeology and carbon dating. We unajua by now kwamba the earth wasn't made in 6 days coz of geological records za scientists. Science works. Hamna sehemu ambayo dini na science zimeshindana afu dini ikashinda.
 
Unajua nini,... Usipende kuamini propaganda Mkuu.

Hivi kwa mfano hiyo 911 kama ilifanywa na Waislam ilifanywa kwa malengo gani?
Na, Je baada ya hilo shambulio Waislam wamepata faida gani baada ya kufanya hivyo.?


Ukijiuliza hilo swali,huenda Utajua kama ni propaganda tu.

NB:- Sitetei dini bali kama kitu ni uongo ntasema ni Uongo na kama kweli ntasema ni kweli kwanini nifiche.
Basi Osama alikuwa Muhindu. Yaishe sheikh
 
Mbona unakamia ushoga na transgender. Hivi vitu havipunguzi maendeleo in fact it's coz of freedom ndo nchi Kama marekani na western zinaendelea. Ukitoa nchi zilizoendelea coz of kumiliki mafuta most Islamic countries r poor and less socially developed coz of problems za Vita, ubaguzi na unanyanyasaji wa minorities. Sasa we unasema ushoga ushoga mwenzako anatengeneza chanjo anatengeneza magari we unakaa unakazania ushoga na ndo anakupa misaada unakula.
Hiyo sio freedom bali ni upumbavu...., Sasa Waislam wakienda kwenye hizo Nchi wakizaliana kwa kasi msilalamike, maana homosexuals hawawezi kuzaliana so inapunguza population ya wazawa wa hizo Nchi.
 
Gravity ni theory pia. Theory explains how something works sio kwamba ni Imani, jaribu kuelewa. It's not abt believing ndo maana Dawkins kasema hawezi debate na creationists coz hawana facts. We know now that they were dinosaurs na pia prehuman species coz of scientific evidence through Archaeology and carbon dating. We unajua by now kwamba the earth wasn't made in 6 days coz of geological records za scientists. Science works. Hamna sehemu ambayo dini na science zimeshindana afu dini ikashinda.
Hapa hatuzungumzii Theory of gravity... Tunazungumzia Evolution Theory ambayo ime base kwenye Imani zaidi.

Ukiambiwa ulete hizo geological records za Scientists ambazo zinaonyesha kwamba Dunia haikuumbwa kwa siku 6,.. utaweza?!
 
Hiyo sio freedom bali ni upumbavu...., Sasa Waislam wakienda kwenye hizo Nchi wakizaliana kwa kasi msilalamike, maana homosexuals hawawezi kuzaliana so inapunguza population ya wazawa wa hizo Nchi.
Saudi na marekani ipi Ina watu wengi. Unakamia homosexuals wakati ni wachache kuliko hata vilema. They make 5% of the population. Na huko western countries hamna Sheria za kuoa watoto wa miaka 6 au wake wanne ndo maana huoni population inakuwa kuwa kijinga jinga. Toa hoja sio hisia zako za kihekaya
 
Hapa hatuzungumzii Theory of gravity... Tunazungumzia Evolution Theory ambayo ime base kwenye Imani zaidi.

Ukiambiwa ulete hizo geological records za Scientists ambazo zinaonyesha kwamba Dunia haikuumbwa kwa siku 6,.. utaweza?!
Jua, mwezi na nyota zimeumbwa baada ya dunia na vegetation. Hii story inaonyesha kabisa watu hawakujua hivi vitu ni Nini. Watu hawakujua dunia inazunguka jua, watu hawakujua Jua na nyota ni kubwa kuliko dunia. Na hawakujua mimea inahitaji photosynthesis kukua. Saa hivi tunajua hivyo so hatuwezi kuamini story Yenu Tena. Afu Kuna contradictions juu ya mda aliotumia, binadamu kuja kabla au baada ya wanyama, mwanamke kuumbwa siku sawa au tofauti na mwanaume na vinginevyo. Pia story imeibiwa kutoka dini za Persia, ugiriki na hata Hindu. So inaonekana sio original hata kwa dini za ki Abraham. In short ni tamaduni za kale na ndo maana wachungaji wa siku hizi wanakimbilia kusema ni mafumbo sijui ...hahaha yaani story za mwanzo ni Kama za mtoto kulala yaani...mtu mzima hawezi amini bila kuhadithiwa Akiwa mtoto na kulazimishwa kuamini au ataenda motoni. Kama mwanangu wewe wa kujua uislamu baada ya kubalehe ukajiona unajielewa kichizi kumbe hata maisha huyajui.
 
Hapa hatuzungumzii Theory of gravity... Tunazungumzia Evolution Theory ambayo ime base kwenye Imani zaidi.

Ukiambiwa ulete hizo geological records za Scientists ambazo zinaonyesha kwamba Dunia haikuumbwa kwa siku 6,.. utaweza?!
Afu the burden of proof ipo kwa mtoa hoja sio mpinga hoja. Me Nikisema nikilala malaika wa Jupiter wanakuja kuninyonya afu ukaniuliza nikupe ushahidi nikasema we unaushahidi gani Kama hawaji, mi nitaonekana mjinga. Just coz u can't disprove something doesn't make it true. Haya we unaushahidi Kama malaika hao hawaji, huna. So inamaanisha wanakuja ama No, same applies to the creation story ambayo waislamu wameiba afu mnamuita Adam muislam. Mngeanzisha dini yenu bila kuiba uyahudi, yaani mnaiba dini ya watu afu mnawachukia na kutaka kuwauwa wayahudi. Au ndo kuficha ushahidi. Ila waarabu bana
 
Wakuu poleni kwa upambanaji.

Binafsi mimi kuna mda huwa nikitulizaga kichwa changu huwa naanza kujiuliza maswali mengi sana kuhusu mimi (binadamu) na ulimwengu kiujumla (Universe).

Maswali kama sisi (binadamu) ni kina nani,tumetoka wapi asili yetu, kwanini tupo (dhumuni la kuishi), mwisho wetu ama hatima yetu ni nini, Ulimwengu wa vitu je kama sayari, nyota, galaxies zimekuwepo vipi na nini hasa mwisho wake.

Hapo juu ni baadhi tu ya maswali ambayo huwa naiuliza sana akili yangu ikiwaga katika hali ya utulivu.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba, katika maswali yote hayo ambayo huwa najiuliza, sijawahi kupata jibu la uhakika kuniridhisha kuhusu hayo maswali yangu.

Nimekuwa nikifanya bidii kubwa sana kupata majibu ya maswali yangu kupitia usomaji wa majarida au vitabu vihusuvyo historia,sayansi, dini na Falsafa lakini kote bado sijapata majibu ya kuniridhisha tofauti na kuambulia majibu ya kinadharia tu ambayo yana strength kiasi chake lakini pia yana weakness sehemu nyingi tu.

Na nikiri wazi tu kuwa katika usomaji wangu wa nadharia hizo zote (historia, sayansi, dini, falsafa) sehemu ambayo nimeanza kuiamini kunipa majibu ya maswali yangu ni kwenye DINI.

Nikiwa na maana nimeanza kuamini kwamba uwepo na sisi tuliohai na visivyo hai hapa ulimwenguni ni matokea ya Uumbaji ya nguvu kubwa sana inayoitwa MUNGU/ALLAH kama ambavyo dini nyingi zinaelezea nguvu hiyo.

Na leo maswali yangu yanajikita huko kwenye hiyo nguvu (Mungu) maana nimeanza kuiamini lakini pia kila nisomapo BIBLIA (mimi mkristo) inanipa maswali chungu nzima.

Sasa leo swali langu limejikita kwenye UKAMILIFU wa MUNGU.

Naombeni wasomaji mnielewe kuwa sina maana ya kukufuru (maana mara nyingi niulizapo maswali kuhusu MUNGU huwa naambiwa nakufuru) bali mimi nataka kujifunza zaidi kumuhusu huyu Mungu.

Dini nyingi (hasa Ukristo na uislamu) zimekuwa zikimwelezea Mungu kuwa ni Mkamilifu sana,mwenye nguvu nyingi sana, uwezo na akili zake hazichunguziki, hashindwi na chochote n.k.

Je hilo lina ukweli ? kupitia Biblia mimi nimeanza kudhani kwamba huenda kweli Mungu ana nguvu nyingi sana ila siyo zote, ana uwezo mkubwa sana ila siyo uwezo wote,ana maarifa mengi sana ila siyo maarifa yote, ana ukamilifu mwingi sana ila siyo ukamilifu wote n.k

Nasema haya ni kutokana na maswali yafuatayo :

1. Kama Mungu ana ukamilifu wote, kwanini sasa alimuumba malaika (Lucifer/shetani) alafu badae akaja kumuasi?
Kama Shetani/Lucifer aliasi maana yake ni kwamba Mungu alimuumba huyu kiumbe akiwa na madhaifu kadhaa na ndiyo maana alishindwa kuitii amri/mamlaka ya muumbaji wake.

Kama Mungu angelikuwa na ukamilifu wote, basi malaika wote wangelikuwa wameumbwa katika namna ya utii pekee, uasi usingetokea na huo uasi unadhihirisha kwamba Mungu aliwaumba hawa malaika wakiwa na udhaifu flani, hawakuwa na uimara wote.

2. Uumbaji wa Eva (Hawa) unaonesha kulikuwa na madhaifu pia.
Katika Biblia takatifu kwenye kitabu cha mwanzo, kuna mistari inaeleza kuwa "Mungu alimpa usingizi mzito Adam, alafu akabandua sehemu ya ubavu wake na kumfanya/kumuumba mwanamke (Hawa/Eva)".

Alafu Mungu akamwambia Adam kuwa huyu mwanamke atakuwa msaidizi wako

Lakini ni huyo huyo mwanamke ambae shetani (kwenye umbo la nyoka) alienda kumdanganya akachukua matunda ya mti walioambiwa asile yeye akala na akampelekea na mumewe (Adam) pia akala.

Lakini Mungu alivyomuuliza Adam kwanini umekula matunda ya mti ambao nilikwambia usile, Adam alijibu kuwa "Ni huyo mwanamke uliyenipa ndiye aliyeniletea nikala".

Tukio hili linadhihirisha kuwa Mungu alimpa Adam msaidizi (Hawa) ambae ni dhaifu sana na ndiyo maana alisababisha dhambi ikaenda hadi kwa Adam.

Na huenda kama Mungu angelikuwa amempa Adam msaidizi imara asiye na madhaifu basi ile dhambi ya kula tunda ingeepukika.

Uko wapi sasa ukamilifu wote wa Mungu ikiwa aliweza kuwaumba malaika dhaifu (ambao walikuja kumuasi) na pia bado akampa Adam msaidizi dhaifu kabisa ambaye alisababisha dhambi imwendee hadi Adam?

Kwa leo naombeni comment zenu zinifunze kuhusu hilo tu (La ukamilifu wa Mungu) alafu mengine nitauliza siku nyingine, na mengine nitakuwa nauliza humo humo kwenye comments zenu.

NB: Naamini Mungu yupo, kutokana na baadhi ya vitu ninavyoviona ulimwenguni (hasa uumbaji/creation) ambapo kuna baadhi ya vitu hasa sayansi inakosa majibu ya kuridhisha, ila shida yangu kubwa ni sifa za Mungu ambazo anapewa na wanadamu naona kama zinashindwa kujidhihirisha kwenye baadhi ya mambo.

Karibuni mnifunze.
Tatizo umesoma biblia tu, huja angalia kwa upande wa Uislam. Mext time angalia na upande wa uislam unasemaje hata kama huuamini uislam bali soma tu Quran utapata japo kdg.

Majibu.
1.kwa mujib wa uislam poit yako ya kwanza ni kwamba Uyo Lucifer, hakuwa malaika, malaika kamwe hawa asi Muumba wao, wameumbwa wanamtii tu, mwanzo mwisho hawa asi kamwe.
Huyo alikua ni katika majin aliepandishw huko juu kipimd majin wana angamizw dunian kwa kufanya ufisadi, rejea ktk Quran sura ya pili, Mungu alivotaka kumuumba binadam malaika walimuuliza kwann unataka kuumba binadam nao wataend kumwaga damu na kufanya ufisadi ktk ardhi(wakimanisha kama mjin waliokuwepo kabla). Kwaio iblisi alikua kiumbe jini, kwaio yeye kuasi sio kitu cha kushangaa.

2. Uumbwaji wa Hawa.
Katik Uislam imeandikw lengo la kuumbwa binadamu ni kumuabudu Allah, hilo ndio lengo lake.
Baada ya wawili hawa Kuumbwa waliweka peponi.
Kwa mujib wa uislm pepon hamn kufany ibada ni sehem ya kufurah na kuinjoy tu.
Kwaio ilikua ni lazima washushwe duniani ili waje wabudu na watakaomuabud nd wawekw huko pepon ilo wafurahi na kula bata.
Kwaio Hawa Kuufanya alichofanya ilikua lazim itokee ili tuletw duniani.

Yote utayakuta ktk quran kama ungekua unaisoma nayo bas nahis ungekwisha pata majib zaman hata usingeuliza. Jitahid uipitie pitie nayo. Utpata mawili matatu.

N.B: binadamu tumeumbwa sio wakamilifu kwaio kukosea kama alivokosea hawa ni maumbile yetu, Nd Mungu ametuumba hivo. Same kwa majin wameumbw wamuabud Mungu kwaio nao wapo wanaomtii Mungu na wanaomkufuru na kiongoz wao nd huyo Lucifer.
 
Wakuu poleni kwa upambanaji.

Binafsi mimi kuna mda huwa nikitulizaga kichwa changu huwa naanza kujiuliza maswali mengi sana kuhusu mimi (binadamu) na ulimwengu kiujumla (Universe).

Maswali kama sisi (binadamu) ni kina nani,tumetoka wapi asili yetu, kwanini tupo (dhumuni la kuishi), mwisho wetu ama hatima yetu ni nini, Ulimwengu wa vitu je kama sayari, nyota, galaxies zimekuwepo vipi na nini hasa mwisho wake.

Hapo juu ni baadhi tu ya maswali ambayo huwa naiuliza sana akili yangu ikiwaga katika hali ya utulivu.

Lakini cha kusikitisha ni kwamba, katika maswali yote hayo ambayo huwa najiuliza, sijawahi kupata jibu la uhakika kuniridhisha kuhusu hayo maswali yangu.

Nimekuwa nikifanya bidii kubwa sana kupata majibu ya maswali yangu kupitia usomaji wa majarida au vitabu vihusuvyo historia,sayansi, dini na Falsafa lakini kote bado sijapata majibu ya kuniridhisha tofauti na kuambulia majibu ya kinadharia tu ambayo yana strength kiasi chake lakini pia yana weakness sehemu nyingi tu.

Na nikiri wazi tu kuwa katika usomaji wangu wa nadharia hizo zote (historia, sayansi, dini, falsafa) sehemu ambayo nimeanza kuiamini kunipa majibu ya maswali yangu ni kwenye DINI.

Nikiwa na maana nimeanza kuamini kwamba uwepo na sisi tuliohai na visivyo hai hapa ulimwenguni ni matokea ya Uumbaji ya nguvu kubwa sana inayoitwa MUNGU/ALLAH kama ambavyo dini nyingi zinaelezea nguvu hiyo.

Na leo maswali yangu yanajikita huko kwenye hiyo nguvu (Mungu) maana nimeanza kuiamini lakini pia kila nisomapo BIBLIA (mimi mkristo) inanipa maswali chungu nzima.

Sasa leo swali langu limejikita kwenye UKAMILIFU wa MUNGU.

Naombeni wasomaji mnielewe kuwa sina maana ya kukufuru (maana mara nyingi niulizapo maswali kuhusu MUNGU huwa naambiwa nakufuru) bali mimi nataka kujifunza zaidi kumuhusu huyu Mungu.

Dini nyingi (hasa Ukristo na uislamu) zimekuwa zikimwelezea Mungu kuwa ni Mkamilifu sana,mwenye nguvu nyingi sana, uwezo na akili zake hazichunguziki, hashindwi na chochote n.k.

Je hilo lina ukweli ? kupitia Biblia mimi nimeanza kudhani kwamba huenda kweli Mungu ana nguvu nyingi sana ila siyo zote, ana uwezo mkubwa sana ila siyo uwezo wote,ana maarifa mengi sana ila siyo maarifa yote, ana ukamilifu mwingi sana ila siyo ukamilifu wote n.k

Nasema haya ni kutokana na maswali yafuatayo :

1. Kama Mungu ana ukamilifu wote, kwanini sasa alimuumba malaika (Lucifer/shetani) alafu badae akaja kumuasi?
Kama Shetani/Lucifer aliasi maana yake ni kwamba Mungu alimuumba huyu kiumbe akiwa na madhaifu kadhaa na ndiyo maana alishindwa kuitii amri/mamlaka ya muumbaji wake.

Kama Mungu angelikuwa na ukamilifu wote, basi malaika wote wangelikuwa wameumbwa katika namna ya utii pekee, uasi usingetokea na huo uasi unadhihirisha kwamba Mungu aliwaumba hawa malaika wakiwa na udhaifu flani, hawakuwa na uimara wote.

2. Uumbaji wa Eva (Hawa) unaonesha kulikuwa na madhaifu pia.
Katika Biblia takatifu kwenye kitabu cha mwanzo, kuna mistari inaeleza kuwa "Mungu alimpa usingizi mzito Adam, alafu akabandua sehemu ya ubavu wake na kumfanya/kumuumba mwanamke (Hawa/Eva)".

Alafu Mungu akamwambia Adam kuwa huyu mwanamke atakuwa msaidizi wako

Lakini ni huyo huyo mwanamke ambae shetani (kwenye umbo la nyoka) alienda kumdanganya akachukua matunda ya mti walioambiwa asile yeye akala na akampelekea na mumewe (Adam) pia akala.

Lakini Mungu alivyomuuliza Adam kwanini umekula matunda ya mti ambao nilikwambia usile, Adam alijibu kuwa "Ni huyo mwanamke uliyenipa ndiye aliyeniletea nikala".

Tukio hili linadhihirisha kuwa Mungu alimpa Adam msaidizi (Hawa) ambae ni dhaifu sana na ndiyo maana alisababisha dhambi ikaenda hadi kwa Adam.

Na huenda kama Mungu angelikuwa amempa Adam msaidizi imara asiye na madhaifu basi ile dhambi ya kula tunda ingeepukika.

Uko wapi sasa ukamilifu wote wa Mungu ikiwa aliweza kuwaumba malaika dhaifu (ambao walikuja kumuasi) na pia bado akampa Adam msaidizi dhaifu kabisa ambaye alisababisha dhambi imwendee hadi Adam?

Kwa leo naombeni comment zenu zinifunze kuhusu hilo tu (La ukamilifu wa Mungu) alafu mengine nitauliza siku nyingine, na mengine nitakuwa nauliza humo humo kwenye comments zenu.

NB: Naamini Mungu yupo, kutokana na baadhi ya vitu ninavyoviona ulimwenguni (hasa uumbaji/creation) ambapo kuna baadhi ya vitu hasa sayansi inakosa majibu ya kuridhisha, ila shida yangu kubwa ni sifa za Mungu ambazo anapewa na wanadamu naona kama zinashindwa kujidhihirisha kwenye baadhi ya mambo.

Karibuni mnifunze.
Sorry wewe ni mkristo au muislamu?
 
Jua, mwezi na nyota zimeumbwa baada ya dunia na vegetation. Hii story inaonyesha kabisa watu hawakujua hivi vitu ni Nini. Watu hawakujua dunia inazunguka jua, watu hawakujua Jua na nyota ni kubwa kuliko dunia. Na hawakujua mimea inahitaji photosynthesis kukua. Saa hivi tunajua hivyo so hatuwezi kuamini story Yenu Tena. Afu Kuna contradictions juu ya mda aliotumia, binadamu kuja kabla au baada ya wanyama, mwanamke kuumbwa siku sawa au tofauti na mwanaume na vinginevyo. Pia story imeibiwa kutoka dini za Persia, ugiriki na hata Hindu. So inaonekana sio original hata kwa dini za ki Abraham. In short ni tamaduni za kale na ndo maana wachungaji wa siku hizi wanakimbilia kusema ni mafumbo sijui ...hahaha yaani story za mwanzo ni Kama za mtoto kulala yaani...mtu mzima hawezi amini bila kuhadithiwa Akiwa mtoto na kulazimishwa kuamini au ataenda motoni. Kama mwanangu wewe wa kujua uislamu baada ya kubalehe ukajiona unajielewa kichizi kumbe hata maisha huyajui.
Ishu ni kwamba kuna vitu Mimi, wewe, Wanasayansi na kadhalika hatuna elimu navyo,....... Na kitu Kingine ukweli wa jinsi ya Uumbaji ulivyokua ni lazima tuupate kwa Muumbaji mwenyewe na sio kutoka kwa Mwanasayansi ambae ni kama wewe tu tumezaliwa Dunia na kila kitu tumevikuta(How can you expect that Mtu amekuta Ulimwengu tayari una Operates maelfu kwa maelfu ya miaka eti aelezee facts 100% kuhusu existence ya Ulimwengu?)

Ngoja nikupe mfano huenda ukaelewa:- Let's say Bing bang imetokea kutoka kwenye Singularity kama Sayansi inavyosema, Then tumepata Galaxies na Sayari zote kwa ujumla...
1. Je, Sayansi inaweza kuelezea baada ya hapo viumbe wengine wote walitokea wapi?(au ndiyo kusema tume evolve kutoka kwa Ancestor mmoja?)
2. Je, Sayansi inaweza kuelezea baada ya hapo aina zote za mimea zilitokea wapi?


UKIANGALIA KILA KITU KIMEKAA KWENYE MPANGILIO, JE VITU VILIJIPANGA VYENYEWE?!,...
KUANZIA ULIMWENGU NA GRAVITY FORCE, YANI MPAKA MWILI WAKO NA ORGAN ZOTE MOYO,FIGO,UBONGO,UTUMBO MNENE, UTUMBO MWEMBAMBA, KORODANI, MPANGILIO WA MFUMO WA MENO(The human teeth system is designed to work together to efficiently break down food into smaller pieces, making it easier for the digestive system to extract nutrients from it) MPAKA NYUSI NA KOPE ZIPO KWENYE MPANGILIO.


Maelezo ya Uumbaji 100% tutapata kutoka kwa Muumbaji mwenyewe,sisi na Wanasayansi tutakua tunatoa suggestions tu!


Surah Al-Anbiya, verse 30:
"Have those who disbelieved not considered that the heavens and the earth were a joined entity, and We separated them and made from water every living thing? Then will they not believe?" (Quran 21:30)


Ukitizama hiyo Aya hapo juu ambayo imekua revealed zaidi ya miaka 1400 iliyopita, inaeleza kwamba earth & heavens zilikua zimeungana kabla ya kulipuliwa na kutenganishwa(ambapo unaweza uka relate na concept ya Bing Bang.)

kwa uelewa wako wewe, Ingekua Wanasayansi hawajasema kuhusu Bing Bang Theory basi ungesema Qur'an hapo kwenye hiyo Aya imedanganya mno Kwasababu kwa akili ya kawaida ukiambiwa mbingu na ardhi zilikua zimeungana utabisha!


NB:- "A designer is not only the creator, but also the knower of It's design, possessing a deep understanding of every detail and intention behind it."
 
Afu the burden of proof ipo kwa mtoa hoja sio mpinga hoja. Me Nikisema nikilala malaika wa Jupiter wanakuja kuninyonya afu ukaniuliza nikupe ushahidi nikasema we unaushahidi gani Kama hawaji, mi nitaonekana mjinga. Just coz u can't disprove something doesn't make it true. Haya we unaushahidi Kama malaika hao hawaji, huna. So inamaanisha wanakuja ama No, same applies to the creation story ambayo waislamu wameiba afu mnamuita Adam muislam. Mngeanzisha dini yenu bila kuiba uyahudi, yaani mnaiba dini ya watu afu mnawachukia na kutaka kuwauwa wayahudi. Au ndo kuficha ushahidi. Ila waarabu bana
Yap, wewe ndiyo umetoa hoja yako kwamba Kuna Geological records zinaonyesha kwamba Dunia haikuumbwa kwa siku 6.

Hivyo burden of proof ni yako,... Inabidi utuletee uthibitisho wa hizo Geological records zinazoonyesha Dunia haikuumbwa kwa siku 6!
 
Saudi na marekani ipi Ina watu wengi. Unakamia homosexuals wakati ni wachache kuliko hata vilema. They make 5% of the population. Na huko western countries hamna Sheria za kuoa watoto wa miaka 6 au wake wanne ndo maana huoni population inakuwa kuwa kijinga . Toa hoja sio hisia zako za kihekaya
Mimi sikamii mtu, labda kwa sababu Truth huwa inaongea sauti ya nguvu ndiyo maana unahisi nakamia.

Hivyo vitu havijawahi kuwa sawa, labda unionyeshe Beberu Shoga... Otherwise Utakua ni Mental issue &Evil


Shida nyingine Wana force na kushawishi mpaka watoto wabadili jinsia zao kama Sio ushetani ni Nini?

Surah An-Nisa (4:119)
Indeed, I will mislead them, and I will arouse in them [sinful] desires, and I will command them so they will [ultimately] slit the ears of cattle, and I will command them so they will change the creation of Allah."


Hiyo verse hapo juu inaonyesha kabisa mzee Baba Iblees yupo behind the scenes kwenye Woke agenda!!
 
Inasikitisha sana kwa kweli,tunadharau vya kwetu na kuviona bora vya kwao.
Léo hii ukiomba kwa kutumia majina ya mababu zetu eti ni kufuru.
Mfano wa maombi: Mzee Ncheji nimekuja kwako uniongoze na unipe ufahamu.
Eti ni kosa![emoji56]
Ila kutumia majina ya mizimu ya kiarabu na kiyahudi eti ni thawabu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa jina la Yesu pepo toka (wakristo)
Inna Allaha wa malaikatu swallu ala nabii,yaa ayuhaladhina amanu swallu alaiyhi taslima.
Allahuma swali ala Muhammad,wa aliy Muhammad,kama swalaita ala Ibrahim wa ala aliy Ibrahim(waislamu hii ni lazima kuitaja ktk kila swala,usiwataja hao jamaa basi swala huna [emoji23])
Nalog off
Mungu anakwambia mimi ndie bwana Mungu wako usiabudu miungu mingne,anawivu sana unaambiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ishu ni kwamba kuna vitu Mimi, wewe, Wanasayansi na kadhalika hatuna elimu navyo,....... Na kitu Kingine ukweli wa jinsi ya Uumbaji ulivyokua ni lazima tuupate kwa Muumbaji mwenyewe na sio kutoka kwa Mwanasayansi ambae ni kama wewe tu tumezaliwa Dunia na kila kitu tumevikuta(How can you expect that Mtu amekuta Ulimwengu tayari una Operates maelfu kwa maelfu ya miaka eti aelezee facts 100% kuhusu existence ya Ulimwengu?)

Ngoja nikupe mfano huenda ukaelewa:- Let's say Bing bang imetokea kutoka kwenye Singularity kama Sayansi inavyosema, Then tumepata Galaxies na Sayari zote kwa ujumla...
1. Je, Sayansi inaweza kuelezea baada ya hapo viumbe wengine wote walitokea wapi?(au ndiyo kusema tume evolve kutoka kwa Ancestor mmoja?)
2. Je, Sayansi inaweza kuelezea baada ya hapo aina zote za mimea zilitokea wapi?


UKIANGALIA KILA KITU KIMEKAA KWENYE MPANGILIO, JE VITU VILIJIPANGA VYENYEWE?!,...
KUANZIA ULIMWENGU NA GRAVITY FORCE, YANI MPAKA MWILI WAKO NA ORGAN ZOTE MOYO,FIGO,UBONGO,UTUMBO MNENE, UTUMBO MWEMBAMBA, KORODANI, MPANGILIO WA MFUMO WA MENO(The human teeth system is designed to work together to efficiently break down food into smaller pieces, making it easier for the digestive system to extract nutrients from it) MPAKA NYUSI NA KOPE ZIPO KWENYE MPANGILIO.


Maelezo ya Uumbaji 100% tutapata kutoka kwa Muumbaji mwenyewe,sisi na Wanasayansi tutakua tunatoa suggestions tu!


Surah Al-Anbiya, verse 30:
"Have those who disbelieved not considered that the heavens and the earth were a joined entity, and We separated them and made from water every living thing? Then will they not believe?" (Quran 21:30)


Ukitizama hiyo Aya hapo juu ambayo imekua revealed zaidi ya miaka 1400 iliyopita, inaeleza kwamba earth & heavens zilikua zimeungana kabla ya kulipuliwa na kutenganishwa(ambapo unaweza uka relate na concept ya Bing Bang.)

kwa uelewa wako wewe, Ingekua Wanasayansi hawajasema kuhusu Bing Bang Theory basi ungesema Qur'an hapo kwenye hiyo Aya imedanganya mno Kwasababu kwa akili ya kawaida ukiambiwa mbingu na ardhi zilikua zimeungana utabisha!


NB:- "A designer is not only the creator, but also the knower of It's design, possessing a deep understanding of every detail and intention behind it."
Bac so far hatuna maneno ya huyo muumbaji. So tutulie...
 
Back
Top Bottom