Naanda mashtaka ya kumtimua Mh Lema Chamani.

Naanda mashtaka ya kumtimua Mh Lema Chamani.

Unajua Mheshimiwa Lema hajui yeye ni Mwanachama wa kawaida level ya Tawi,bado anafikiri ni mjumbe wa kamati kuu taifa.
Mkuu unaona cdm ni kama Republican nini? Yaani mtu kuwa mjumbe wa kamati ya cdm unaona kawa superior sana, au asipokuwa mjumbe wa kamati kuu anakuwa kapoteza nini?
 
Heshima kwenu Wanajamvi,

Mimi kama Katibu wa Tawi la Lemara CDM,Wilaya ya Arusha.
Naandaa mashtaka ya kumtimua Lema katika Chama chetu kwasababu ya kukiuka taratibu,kanuni na miongozo ya chama.

Mh Lema alikuwa mjumbe wa kamati kuu kupitia nafasi yake ya Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini.Mh Lema hakugombea nafasi hii kubwa na nyeti ambayo ilimwezesha kuwa mjumbe wa Kamati Kuu.

Mheshimiwa Lema sasa ni Mwanachama wa kawaida sana mamlaka yake ya nidhamu ni Tawi ambalo Mimi ni Katibu wake.

Tumemwona Lema kupitia vyombo mbali mbali vya chama akikibagaza chama chetu na kuwabagaza Viongozi wakuu.

Shughuli ya kumtimua Lema ipo ngazi ya Tawi si wilaya,Mkoa,Kanda wala Taifa.

Ngongo kwasasa Lemara.
You're too Naive.
 
Heshima kwenu Wanajamvi,

Mimi kama Katibu wa Tawi la Lemara CDM,Wilaya ya Arusha.
Naandaa mashtaka ya kumtimua Lema katika Chama chetu kwasababu ya kukiuka taratibu,kanuni na miongozo ya chama.

Mh Lema alikuwa mjumbe wa kamati kuu kupitia nafasi yake ya Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini.Mh Lema hakugombea nafasi hii kubwa na nyeti ambayo ilimwezesha kuwa mjumbe wa Kamati Kuu.

Mheshimiwa Lema sasa ni Mwanachama wa kawaida sana mamlaka yake ya nidhamu ni Tawi ambalo Mimi ni Katibu wake.

Tumemwona Lema kupitia vyombo mbali mbali vya chama akikibagaza chama chetu na kuwabagaza Viongozi wakuu.

Shughuli ya kumtimua Lema ipo ngazi ya Tawi si wilaya,Mkoa,Kanda wala Taifa.

Ngongo kwasasa Lemara.
Ww ndio unafanya Team Mbowe tuonekane hamnazo
 

Attachments

  • Screenshot_20250118-184737.png
    Screenshot_20250118-184737.png
    384.4 KB · Views: 1
Heshima kwenu Wanajamvi,

Mimi kama Katibu wa Tawi la Lemara CDM,Wilaya ya Arusha.
Naandaa mashtaka ya kumtimua Lema katika Chama chetu kwasababu ya kukiuka taratibu,kanuni na miongozo ya chama.

Mh Lema alikuwa mjumbe wa kamati kuu kupitia nafasi yake ya Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini.Mh Lema hakugombea nafasi hii kubwa na nyeti ambayo ilimwezesha kuwa mjumbe wa Kamati Kuu.

Mheshimiwa Lema sasa ni Mwanachama wa kawaida sana mamlaka yake ya nidhamu ni Tawi ambalo Mimi ni Katibu wake.

Tumemwona Lema kupitia vyombo mbali mbali vya chama akikibagaza chama chetu na kuwabagaza Viongozi wakuu.

Shughuli ya kumtimua Lema ipo ngazi ya Tawi si wilaya,Mkoa,Kanda wala Taifa.

Ngongo kwasasa Lemara.
Safi sana. Mtimueni kama Shinyanga walivyomgimua Ntobi.
 
Safi sana katibu, ni muda wa kukisafisha chama!!
 
Mchungaji Msigwa ndio msaidizi wake maalumu 😄
Umewahi kumwona Mch kasoma miezi miwili ?.
Msigwa hajawahi kubeba Bible au Msalaba na kutembea hadharani lakini vipande vya fedha vilimfanye abebe picha ya Mama Abdul.

Usisahau Msigwa alipewa nguo za misaada badala ya kugawa akafungua duka na kuanza kuuza.

Msigwa kaenda CCM kutafuta hela huo muda wa kurekodi atautoa wapi ?.
 
Acheni udikteta uchwara. Mnataka nyie muwe na mawazo sawa kama visahani?
Ni kweli Lema kakosa staha na kajiharibia mwenyewe. Kuna mambo ya kusema hadharani na kuna mambo ya kusema kwenye vikao. Pamoja na kwamba naunga mkono Mbowe apumzike lakini nasema Lema hana adabu!
 
Mkuu unaona cdm ni kama Republican nini? Yaani mtu kuwa mjumbe wa kamati ya cdm unaona kawa superior sana, au asipokuwa mjumbe wa kamati kuu anakuwa kapoteza nini?
Mikutano ya Tawi itamhusu.
 
Heshima kwenu Wanajamvi,

Mimi kama Katibu wa Tawi la Lemara CDM,Wilaya ya Arusha.
Naandaa mashtaka ya kumtimua Lema katika Chama chetu kwasababu ya kukiuka taratibu,kanuni na miongozo ya chama.

Mh Lema alikuwa mjumbe wa kamati kuu kupitia nafasi yake ya Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini.Mh Lema hakugombea nafasi hii kubwa na nyeti ambayo ilimwezesha kuwa mjumbe wa Kamati Kuu.

Mheshimiwa Lema sasa ni Mwanachama wa kawaida sana mamlaka yake ya nidhamu ni Tawi ambalo Mimi ni Katibu wake.

Tumemwona Lema kupitia vyombo mbali mbali vya chama akikibagaza chama chetu na kuwabagaza Viongozi wakuu.

Shughuli ya kumtimua Lema ipo ngazi ya Tawi si wilaya,Mkoa,Kanda wala Taifa.

Ngongo kwasasa Lemara.
Yaani wewe mfungulia maji machafu kwenye bwawa la Lemara ndo wa kumtoa uanachama Lema?! Aisee?
 
Heshima kwenu Wanajamvi,

Mimi kama Katibu wa Tawi la Lemara CDM,Wilaya ya Arusha.
Naandaa mashtaka ya kumtimua Lema katika Chama chetu kwasababu ya kukiuka taratibu,kanuni na miongozo ya chama.

Mh Lema alikuwa mjumbe wa kamati kuu kupitia nafasi yake ya Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini.Mh Lema hakugombea nafasi hii kubwa na nyeti ambayo ilimwezesha kuwa mjumbe wa Kamati Kuu.

Mheshimiwa Lema sasa ni Mwanachama wa kawaida sana mamlaka yake ya nidhamu ni Tawi ambalo Mimi ni Katibu wake.

Tumemwona Lema kupitia vyombo mbali mbali vya chama akikibagaza chama chetu na kuwabagaza Viongozi wakuu.

Shughuli ya kumtimua Lema ipo ngazi ya Tawi si wilaya,Mkoa,Kanda wala Taifa.

Ngongo kwasasa Lemara.
Timu Dj wepesi kama pamba, kazi kulialia jf kila siku
 
Umewahi kumwona Mch kasoma miezi miwili ?.
Msigwa hajawahi kubeba Bible au Msalaba na kutembea hadharani lakini vipande vya fedha vilimfanye abebe picha ya Mama Abdul.

Usisahau Msigwa alipewa nguo za misaada badala ya kugawa akafungua duka na kuanza kuuza.

Msigwa kaenda CCM kutafuta hela huo muda wa kurekodi atautoa wapi ?.
Namfahamu mchungaji Msigwa tangu nikiwa The Highlands sec school na ametuuzia sana Cadet za Shule na Salim ASAS

Alijulukana kama " Wagada"

Mchungaji Msigwa ni fighter ndio sababu Mshauri mkuu wa CCM amemsajili 😂😂
 
Back
Top Bottom