Naandika haya kwa uchungu sana

Naandika haya kwa uchungu sana

Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada.

Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanaoitwa Wanawake.

Kama unataka mafanikio ewe mwanaume kataa ndoa, Wanawake ni matapel, wanawake hawafai, wanawake ni wabinafsi sana.

Ee Kijana wa kiume zingatia haya:

[emoji419] Hakikisha unapenda wazazi wako na ndugu zako wa kuzaliwa

[emoji419] Hakikisha una marafiki wachache wazuri

[emoji419] Hakikisha una uhakika wa chakula mezani

Kwa kufanya hayo utaishi maisha marefu ya Raha na furaha.

Mm badi ni Kijana mdogo sana nipo below 24, lakini kwa jinsi watu wanavyo post nyuzo mbalimbali juu ya wanawake
Nimejifunza kama mwanauma anataka awe na furaha basi awe mbali na Hawa viumbe wanawake

[emoji35][emoji35] Kataa ndoa, chukua ndoa,[emoji35][emoji35]
Nilifikiri labda unauzoefu japo kidogo na ndoa kumbe ni zero. Nina miaka sio chini ya 16 kwenye ndoa, sasa umepewa ubalozi wa nyumba kumi hapa jf ndio uulete kwenye ndoa zetu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kijana acha kabisa wewe hata bado hujaacha kunuka maziwa.
 
Mwanaume ukitaka maisha ya furaha, nunua gari lako la off road, liboreshe vizuuri anza kula off road trips na kukutana na wadau wa 4*4 Clubs mnapiga monde kidogo mawazo ya fedha sana hao ndio familia.

Ukisogea umri kidogo unampa mdada mliekutana huko zawadi ya mimba, usioe.

Ambania ndoto zako, ishi kwa raha na starehe kiasi kizuri.
Kwani hao wanawake mnaowana ni hatari kwenu, magari yenyewe sio hatari? Maana watu wengi wamenunua magari na wamepata ajali wamekufa.
 
This is why situmii JF often, ukisema tu uko under 25 basi kila mtu atajiona anajua zaidi yako na kupotezea ulichoandika no matter how critical. Inavyoonekana humu kumejaa wazee waliopigika kila kona ya maisha. Toka humu nenda YouTube utakuta Black Pillers, Blue Pillers na Red Pillers na watu unaolingana nao umri dunia nzima. Anza na jamaa anaitwa Hamza.

Hii community ni for boomers na desperates. Get out.

Either way, kazi ni kupiga vitoto vya watu na kupotea, hakuna kitu kinaitwa mapenzi kama uko under 30.
 
Dogo mbona umepanic kwa shida wanazopitia wenzio. Tulia yakukute.
Uwe na first hand experience ndo uje ushauri watu.
Nnachoweza kukushauri ni uachane na wanawake unaowataka wewe, uwezo wa kuwa nao huna.
Tafuta binti wa kawaida ambae tayari anakupenda utulie nae, akizingua tafuta tena wa hivyo hivyo. Ukizaa zaa na wa hivyo hivyo hivyo na siku ukioa uoe wa hivyo hovyo.
 
Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada.

Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanaoitwa Wanawake.

Kama unataka mafanikio ewe mwanaume kataa ndoa, Wanawake ni matapel, wanawake hawafai, wanawake ni wabinafsi sana.

Ee Kijana wa kiume zingatia haya:

📌 Hakikisha unapenda wazazi wako na ndugu zako wa kuzaliwa

📌 Hakikisha una marafiki wachache wazuri

📌 Hakikisha una uhakika wa chakula mezani

Kwa kufanya hayo utaishi maisha marefu ya Raha na furaha.

Mm badi ni Kijana mdogo sana nipo below 24, lakini kwa jinsi watu wanavyo post nyuzo mbalimbali juu ya wanawake
Nimejifunza kama mwanauma anataka awe na furaha basi awe mbali na Hawa viumbe wanawake

😡😡 Kataa ndoa, chukua ndoa,😡😡
Screenshot_20241122_025509.jpg

Wazazi wako wangekataa ndoa usingekuwepo kuandika hii thread. Ndoa ni tombola, you either get a wrong and terrible wife hapo lazima utajuta kuoa lakini ukipata the right woman nawe ukawa ni mume sahihi kwake utaamini ya kuwa you're the happiest man on earth.
20yrs plus ndani ya ndoa na mpaka leo huwa nafurahia choice/bahati yangu.
 
Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada.

Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanaoitwa Wanawake.

Kama unataka mafanikio ewe mwanaume kataa ndoa, Wanawake ni matapel, wanawake hawafai, wanawake ni wabinafsi sana.

Ee Kijana wa kiume zingatia haya:

📌 Hakikisha unapenda wazazi wako na ndugu zako wa kuzaliwa

📌 Hakikisha una marafiki wachache wazuri

📌 Hakikisha una uhakika wa chakula mezani

Kwa kufanya hayo utaishi maisha marefu ya Raha na furaha.

Mm badi ni Kijana mdogo sana nipo below 24, lakini kwa jinsi watu wanavyo post nyuzo mbalimbali juu ya wanawake
Nimejifunza kama mwanauma anataka awe na furaha basi awe mbali na Hawa viumbe wanawake

😡😡 Kataa ndoa, chukua ndoa,😡😡
Wee wasikudanganye wandu wa jf. Wanawake ni watamu sana ukijua kuwa mbususu zao huwezi kumiliki bali ni muda wako tuu wakuisasambua
 
Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada.

Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanaoitwa Wanawake.

Kama unataka mafanikio ewe mwanaume kataa ndoa, Wanawake ni matapel, wanawake hawafai, wanawake ni wabinafsi sana.

Ee Kijana wa kiume zingatia haya:

📌 Hakikisha unapenda wazazi wako na ndugu zako wa kuzaliwa

📌 Hakikisha una marafiki wachache wazuri

📌 Hakikisha una uhakika wa chakula mezani

Kwa kufanya hayo utaishi maisha marefu ya Raha na furaha.

Mm badi ni Kijana mdogo sana nipo below 24, lakini kwa jinsi watu wanavyo post nyuzo mbalimbali juu ya wanawake
Nimejifunza kama mwanauma anataka awe na furaha basi awe mbali na Hawa viumbe wanawake

😡😡 Kataa ndoa, chukua ndoa,😡😡
Chukua mwanamke anayekupenda wala si UMPENDAYE.....
Ukikuwa utaelewa....
Na mwisho pole sana...WANAUME TUMEUMBIWA MATESO......
 
Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada.

Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanaoitwa Wanawake.

Kama unataka mafanikio ewe mwanaume kataa ndoa, Wanawake ni matapel, wanawake hawafai, wanawake ni wabinafsi sana.

Ee Kijana wa kiume zingatia haya:

📌 Hakikisha unapenda wazazi wako na ndugu zako wa kuzaliwa

📌 Hakikisha una marafiki wachache wazuri

📌 Hakikisha una uhakika wa chakula mezani

Kwa kufanya hayo utaishi maisha marefu ya Raha na furaha.

Mm badi ni Kijana mdogo sana nipo below 24, lakini kwa jinsi watu wanavyo post nyuzo mbalimbali juu ya wanawake
Nimejifunza kama mwanauma anataka awe na furaha basi awe mbali na Hawa viumbe wanawake

😡😡 Kataa ndoa, chukua ndoa,😡😡
hayo ni mawazo ya kitoto ukikua utayaacha
 
Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada.

Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanaoitwa Wanawake.

Kama unataka mafanikio ewe mwanaume kataa ndoa, Wanawake ni matapel, wanawake hawafai, wanawake ni wabinafsi sana.

Ee Kijana wa kiume zingatia haya:

📌 Hakikisha unapenda wazazi wako na ndugu zako wa kuzaliwa

📌 Hakikisha una marafiki wachache wazuri

📌 Hakikisha una uhakika wa chakula mezani

Kwa kufanya hayo utaishi maisha marefu ya Raha na furaha.

Mm badi ni Kijana mdogo sana nipo below 24, lakini kwa jinsi watu wanavyo post nyuzo mbalimbali juu ya wanawake
Nimejifunza kama mwanauma anataka awe na furaha basi awe mbali na Hawa viumbe wanawake

😡😡 Kataa ndoa, chukua ndoa,😡😡
Bado ujakomaaa ukikomaa utakuja na walaka mwingine 🤣🤣🤣🤣
 
Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada.

Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanaoitwa Wanawake.

Kama unataka mafanikio ewe mwanaume kataa ndoa, Wanawake ni matapel, wanawake hawafai, wanawake ni wabinafsi sana.

Ee Kijana wa kiume zingatia haya:

📌 Hakikisha unapenda wazazi wako na ndugu zako wa kuzaliwa

📌 Hakikisha una marafiki wachache wazuri

📌 Hakikisha una uhakika wa chakula mezani

Kwa kufanya hayo utaishi maisha marefu ya Raha na furaha.

Mm badi ni Kijana mdogo sana nipo below 24, lakini kwa jinsi watu wanavyo post nyuzo mbalimbali juu ya wanawake
Nimejifunza kama mwanauma anataka awe na furaha basi awe mbali na Hawa viumbe wanawake

😡😡 Kataa ndoa, chukua ndoa,😡😡
Wewe na hao nduguzo unaowapenda mimba zenu zilibebwa na wanaume?
 
Back
Top Bottom