BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Utanikuta kipenzi nakusubiri 😍Nipo kazini...
Alafu leo ijumaa nawahi kurudi tapitia hapo si takukuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utanikuta kipenzi nakusubiri 😍Nipo kazini...
Alafu leo ijumaa nawahi kurudi tapitia hapo si takukuta
Kunywa maji kwa mangi, mwambie bill ntalipa mwisho wa mwezi 😀Ahahha unauliza majibu...
Unapigwa serious kuna watu hawapigi kuumiza ila wanapiga kuua....
Ongea sana ila ukijichanganya ukapita mitaa yetu huku.. utaelewa
Ila all ina all mtu anaye shauri tuachane na mwanamke sijui tupende wazazi wetu sijui tupende nini...
Wote wanaongea kutokana na hisia tu ya mda mfupi ndo mana wanasema """don't make a permanent decision based on temporary emotion"""
Kwani umemiss nini wewe 😂😂😂😂😂Utanikuta kipenzi nakusubiri 😍
Siku hiyo utasikia wewe alaaahKunywa maji kwa mangi, mwambie bill ntalipa mwisho wa mwezi 😀
UPO SAHIHI MNO.This is why situmii JF often, ukisema tu uko under 25 basi kila mtu atajiona anajua zaidi yako na kupotezea ulichoandika no matter how critical. Inavyoonekana humu kumejaa wazee waliopigika kila kona ya maisha.
KE upo wewe peke yako🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe na wewe ni mwanachama babe?
Ulienda wapi kipenziGen Z katika ubora wenu, je hujaona wengine wanaoenjoy Umeona wanaoteseka tu? Ndugu je ma uncle na aunt hamna wanaoenjoy?
Nipo mpenzi Kingdom, habari ya siku nyingi?Ulienda wapi kipenzi
Ebu njoo pm
Nishtukie kwako?🤣🤣🤣KE upo wewe peke yako
shtuka
🤣Nishtukie kwako?🤣🤣🤣
Mama yako aliyekuzaa ni mwanaume???Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada.
Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanaoitwa Wanawake.
Kama unataka mafanikio ewe mwanaume kataa ndoa, Wanawake ni matapel, wanawake hawafai, wanawake ni wabinafsi sana.
Ee Kijana wa kiume zingatia haya:
📌 Hakikisha unapenda wazazi wako na ndugu zako wa kuzaliwa
📌 Hakikisha una marafiki wachache wazuri
📌 Hakikisha una uhakika wa chakula mezani
Kwa kufanya hayo utaishi maisha marefu ya Raha na furaha.
Mm badi ni Kijana mdogo sana nipo below 24, lakini kwa jinsi watu wanavyo post nyuzo mbalimbali juu ya wanawake
Nimejifunza kama mwanauma anataka awe na furaha basi awe mbali na Hawa viumbe wanawake
😡😡 Kataa ndoa, chukua ndoa,😡😡
🤣🤣🤣 sawa nakuja pm🤣
Ruksa
Mkishauri wenzenu hivi, wapeni better options kama kutafuta hela na kuishi maisha yao kwa kuzingatia fact ya maisha kwamba si kila atakayetafuta hela atapata, hasa huku kwa third world dwellers, ndio maana kuna watu wameshazeeka hela hawana sababu ya uncertainties zilizopo kwa nchi masikini, kwa nchi zingine as long as unafanya kazi, pesa utapata.
Hizi options mnazowaoptia wenzenu za kuwapenda ndugu zao, kuwapenda wazazi na marafiki hazina msingi , kwasababu kwanza hao unaowapenda na kuwang’ang’ania wana watu wao wanaowapenda na kuambatana nao, you will one day try to fit in na kila mtu anakukataa yuko busy na mtuwe . Ndugu zetu/marafiki zetu wana waume/wake zao ambao usipokuwa makini utaanza kuwagombanisha ili uwe in control. Huwa tunawaona very toxic individuals sababu yenu yamewashinda. Kivipi uning’ang’anie mimi nduguyo wakati mi nina bwanaangu namng’ang’ania?
Kataa ndoa let’s be realistic and reasonable tufubdishane “the art of being alone” na kutafuta hobbies.
Sitawafundisha kila kitu 😂👋🏻