Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo wizo wangu majukumu mengi, vipi wewe uko poa?? 😹😹
Wizo nifungulie biashara basi, mwenzio niko jobless nadanga tuuu....Nipo wizo wangu majukumu mengi, vipi wewe uko poa?? 😹😹
Nimeona mention zako nacheka, wizo Xmas tunakuchinja tukule na pilau na thoda umezidi 🤣🤣
utakufa mapema sanaMapenzi yamenibadilisha siku hizi sinaga ubabee
Nishakuwa guta yaache moyoni niyabebe baby
Mi ndio kuku wako ukitaka mayai niyatage semaaa
Na ukiona na ujinga we nisitiri usinibwage
Sina matamanio nishavukaga huko
Sitolivua vazi la heshima ulonivika kwa upendo
Sina matarajio ya kuondoka kwako, dunia ishabadili wengi waka vituko
Imagine listening to this yammy's song na uko single yereuwiiiiuu wasisitize kung'ang'aniana hahaaaa
Pambe tuuu mi hata vijora nauza tena kwa uaminifu mkubwaa wizo akeeJamani wizo wangu usidange njoo tuuze vijora basi 😹
Miss you bffHayo maneno si mageni jikoni, Labda kwa wageni wa jiji 😹
Usije kumuhonga cazee extro mauzo ya vijora wizo 😹😹😹Pambe tuuu mi hata vijora nauza tena kwa uaminifu mkubwaa wizo akee
Akuuuuhhh....weeeeehhh kwa uzuri gani alonao 🤣Usije kumuhonga cazee extro mauzo ya vijora wizo 😹😹😹
Yaan unatuletea stori! Za kusikia?? Mwanaume tumeumbwa kukabiliana na mambo kama hayo vipi ujiweke pembeni?Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada.
Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanaoitwa Wanawake.
Kama unataka mafanikio ewe mwanaume kataa ndoa, Wanawake ni matapel, wanawake hawafai, wanawake ni wabinafsi sana.
Ee Kijana wa kiume zingatia haya:
📌 Hakikisha unapenda wazazi wako na ndugu zako wa kuzaliwa
📌 Hakikisha una marafiki wachache wazuri
📌 Hakikisha una uhakika wa chakula mezani
Kwa kufanya hayo utaishi maisha marefu ya Raha na furaha.
Mm badi ni Kijana mdogo sana nipo below 24, lakini kwa jinsi watu wanavyo post nyuzo mbalimbali juu ya wanawake
Nimejifunza kama mwanauma anataka awe na furaha basi awe mbali na Hawa viumbe wanawake
😡😡 Kataa ndoa, chukua ndoa,😡😡
Me too bff 😍😍Miss you bff