Naandika haya kwa uchungu sana

Naandika haya kwa uchungu sana

Unaonyesha na kuwa Biology ticha, mifano huwezi kuonyesha au kutenda inapotakiwa.
 
Mapenzi yamenibadilisha siku hizi sinaga ubabee

Nishakuwa guta yaache moyoni niyabebe baby

Mi ndio kuku wako ukitaka mayai niyatage semaaa

Na ukiona na ujinga we nisitiri usinibwage

Sina matamanio nishavukaga huko
Sitolivua vazi la heshima ulonivika kwa upendo

Sina matarajio ya kuondoka kwako, dunia ishabadili wengi waka vituko

Imagine listening to this yammy's song na uko single yereuwiiiiuu wasisitize kung'ang'aniana hahaaaa
utakufa mapema sana
 
QUALIFIED BIOLOGY TEACHER Lakini bado umeshindwa kuwatambua hawa viumbe mpaka leo...!!
IMG_0685 (1)~2.jpeg

Au hujamaliza hicho kitabu bado?

Mana kuna VOL. 2,3-5 zimeendelea ..!!
 
Halafuu hizi mada za kataa Ndoa ni humu jamii forum tuu...huko nje life goes on...watu wanaona Kwa kishindoo Tena Kwa Ndoa za gharama kbsaaaa ..ila ukiingia humu unaweza sema watu hawataoa kbsaa😅😅..Vitisho ni vingi lkn Ndoa zipoo pale pale😅
 
Mtoto mdogo hata kitovu hakijakauka ushaanza kutoa ushauri wa kuchukia wanawake...acha kuruka step basi
 
Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada.

Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanaoitwa Wanawake.

Kama unataka mafanikio ewe mwanaume kataa ndoa, Wanawake ni matapel, wanawake hawafai, wanawake ni wabinafsi sana.

Ee Kijana wa kiume zingatia haya:

📌 Hakikisha unapenda wazazi wako na ndugu zako wa kuzaliwa

📌 Hakikisha una marafiki wachache wazuri

📌 Hakikisha una uhakika wa chakula mezani

Kwa kufanya hayo utaishi maisha marefu ya Raha na furaha.

Mm badi ni Kijana mdogo sana nipo below 24, lakini kwa jinsi watu wanavyo post nyuzo mbalimbali juu ya wanawake
Nimejifunza kama mwanauma anataka awe na furaha basi awe mbali na Hawa viumbe wanawake

😡😡 Kataa ndoa, chukua ndoa,😡😡
Yaan unatuletea stori! Za kusikia?? Mwanaume tumeumbwa kukabiliana na mambo kama hayo vipi ujiweke pembeni?

Tatizo lenu mnaiga wahindi, wakati waafrika tuna namna yetu yakuwaendesha wanawake.

Utasikia baby pumzika Leo niingie mim jikoni,

Mara akuguse Tako, mwenyewe unachekea.. kwann Sasa usije hapa ukiwa unalalamika?

Nyinyi mliozaliwa daslama ndo mnatusumbua na mapenzi yenu yakishenzi.

Sisi vijijini huku wenyewe wanajua, na tunaishi nao mpka tunakufa tunawaachia watoto wanalea.

Mkitaka muishi nao vzuri ulizeni Babu zenu walikuwa wanafanyaje? Sio mnaleta mapenzi ya kwenye maigizo.
 
Miss you bff
Me too bff 😍😍
Niliona umeniulizia selfika nikashindwa kukujibu nna ban kule 😹

Niko mzima wa afya ila naweweseka usiku, naota ndoto mbaya, nawaza sana lile tukio.
Na watu nawafahamu basi balaa tupu.🥹
 
Back
Top Bottom