Naandika haya kwa uchungu sana

Naandika haya kwa uchungu sana

Me too bff 😍😍
Niliona umeniulizia selfika nikashindwa kukujibu nna ban kule 😹

Niko mzima wa afya ila naweweseka usiku, naota ndoto mbaya, nawaza sana lile tukio.
Na watu nawafahamu basi balaa tupu.🥹
Pole bff
Nashukuru kukuona ukiwa Hai
Nmekuulizia ndiyo
Nilitaka kujua kama upo okay
 
Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada.

Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanaoitwa Wanawake.

Kama unataka mafanikio ewe mwanaume kataa ndoa, Wanawake ni matapel, wanawake hawafai, wanawake ni wabinafsi sana.

Ee Kijana wa kiume zingatia haya:

📌 Hakikisha unapenda wazazi wako na ndugu zako wa kuzaliwa

📌 Hakikisha una marafiki wachache wazuri

📌 Hakikisha una uhakika wa chakula mezani

Kwa kufanya hayo utaishi maisha marefu ya Raha na furaha.

Mm badi ni Kijana mdogo sana nipo below 24, lakini kwa jinsi watu wanavyo post nyuzo mbalimbali juu ya wanawake
Nimejifunza kama mwanauma anataka awe na furaha basi awe mbali na Hawa viumbe wanawake

😡😡 Kataa ndoa, chukua ndoa,😡😡
Kwahiyo na ualimu wako wa bayoloji ndo ukaona uwadanganye wenzio hivi..!!??
 
Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada.

Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanaoitwa Wanawake.

Kama unataka mafanikio ewe mwanaume kataa ndoa, Wanawake ni matapel, wanawake hawafai, wanawake ni wabinafsi sana.

Ee Kijana wa kiume zingatia haya:

📌 Hakikisha unapenda wazazi wako na ndugu zako wa kuzaliwa

📌 Hakikisha una marafiki wachache wazuri

📌 Hakikisha una uhakika wa chakula mezani

Kwa kufanya hayo utaishi maisha marefu ya Raha na furaha.

Mm badi ni Kijana mdogo sana nipo below 24, lakini kwa jinsi watu wanavyo post nyuzo mbalimbali juu ya wanawake
Nimejifunza kama mwanauma anataka awe na furaha basi awe mbali na Hawa viumbe wanawake

😡😡 Kataa ndoa, chukua ndoa,😡😡
😁😁😁😁acha zako wewe ndoa inautamu wake
 
Mapenzi yamenibadilisha siku hizi sinaga ubabee

Nishakuwa guta yaache moyoni niyabebe baby

Mi ndio kuku wako ukitaka mayai niyatage semaaa

Na ukiona na ujinga we nisitiri usinibwage

Sina matamanio nishavukaga huko
Sitolivua vazi la heshima ulonivika kwa upendo

Sina matarajio ya kuondoka kwako, dunia ishabadili wengi waka vituko

Imagine listening to this yammy's song na uko single yereuwiiiiuu wasisitize kung'ang'aniana hahaaaa
Hawasemi kuwa single wanasema kutokuoa.

Kama mwanamume rijali na mwanamke rijali huwezi kutokuwa na mwenza siku zote, na mwanamke ndio kabisa kuna kipindi unataka “kuwekwa na mtu mmoja tu”
 
Hawasemi kuwa single wanasema kutokuoa.

Kama mwanamume rijali na mwanamke rijali huwezi kutokuwa na mwenza siku zote, na mwanamke ndio kabisa kuna kipindi unataka “kuwekwa na mtu mmoja tu”
''Kuwekwa na mtu mmoja tu''!

Nadhani hii inaweza kuwa moja ya sababu, ya wanawake wengi kupenda ndoa.
 
dogo ume WRONG. bila mwanamke utamalizia wapi haja ya mwili wako!?
imeandikwa;-
Mwanaume timilifu hautaishi kwa
"bakari nondo MWAM....''
tu, bali kwa kula TUNDA/MBUSUSU/PAPUCHI pia, ili kuimarisha AFYA ya UBONGO.
Eti hautaishi kwa Bakari Nondo Mwamnyeto, vijana siku hizi mmekuwa na akili tata sana.
 
''Kuwekwa na mtu mmoja tu''!

Nadhani hii inaweza kuwa moja ya sababu, ya wanawake wengi kupenda ndoa.
Unfortunately…

Hai guarantee hilo, Ndio maana kuna walioolewa wanatoka nje kwaajili ya hilo tu sababu ndani hawalipati.

Kila mtu ana sababu yake ya kupenda ndoa, yangu ni “companionship” na kujua “here is where i belong” na kuwekwa na mtu mmoja ikiwa “itawezekana”
 
Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada.

Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanaoitwa Wanawake.

Kama unataka mafanikio ewe mwanaume kataa ndoa, Wanawake ni matapel, wanawake hawafai, wanawake ni wabinafsi sana.

Ee Kijana wa kiume zingatia haya:

📌 Hakikisha unapenda wazazi wako na ndugu zako wa kuzaliwa

📌 Hakikisha una marafiki wachache wazuri

📌 Hakikisha una uhakika wa chakula mezani

Kwa kufanya hayo utaishi maisha marefu ya Raha na furaha.

Mm badi ni Kijana mdogo sana nipo below 24, lakini kwa jinsi watu wanavyo post nyuzo mbalimbali juu ya wanawake
Nimejifunza kama mwanauma anataka awe na furaha basi awe mbali na Hawa viumbe wanawake

😡😡 Kataa ndoa, chukua ndoa,😡😡
Wazazi wenyewe walioana...tapeli wewe
 
Sawa kaa mbali na wanawake.. utakachofanikiwa hapo ni kuwa legend wa kupiga nyeto
 
Hawasemi kuwa single wanasema kutokuoa.

Kama mwanamume rijali na mwanamke rijali huwezi kutokuwa na mwenza siku zote, na mwanamke ndio kabisa kuna kipindi unataka “kuwekwa na mtu mmoja tu”
Mmoja tu sounds cool till akusumbue au uachwe
 
Mtoto wa nje ya ndoa no mtoto wa zinaa na mtoto haramu

Vipi wewe ulizaliwa ndani ya ndoa kweli???
 
Back
Top Bottom