Naandika haya kwa uchungu sana

Me too bff 😍😍
Niliona umeniulizia selfika nikashindwa kukujibu nna ban kule 😹

Niko mzima wa afya ila naweweseka usiku, naota ndoto mbaya, nawaza sana lile tukio.
Na watu nawafahamu basi balaa tupu.🥹
Pole bff
Nashukuru kukuona ukiwa Hai
Nmekuulizia ndiyo
Nilitaka kujua kama upo okay
 
Kwahiyo na ualimu wako wa bayoloji ndo ukaona uwadanganye wenzio hivi..!!??
 
😁😁😁😁acha zako wewe ndoa inautamu wake
 
Hawasemi kuwa single wanasema kutokuoa.

Kama mwanamume rijali na mwanamke rijali huwezi kutokuwa na mwenza siku zote, na mwanamke ndio kabisa kuna kipindi unataka “kuwekwa na mtu mmoja tu”
 
Hawasemi kuwa single wanasema kutokuoa.

Kama mwanamume rijali na mwanamke rijali huwezi kutokuwa na mwenza siku zote, na mwanamke ndio kabisa kuna kipindi unataka “kuwekwa na mtu mmoja tu”
''Kuwekwa na mtu mmoja tu''!

Nadhani hii inaweza kuwa moja ya sababu, ya wanawake wengi kupenda ndoa.
 
dogo ume WRONG. bila mwanamke utamalizia wapi haja ya mwili wako!?
imeandikwa;-
Mwanaume timilifu hautaishi kwa
"bakari nondo MWAM....''
tu, bali kwa kula TUNDA/MBUSUSU/PAPUCHI pia, ili kuimarisha AFYA ya UBONGO.
Eti hautaishi kwa Bakari Nondo Mwamnyeto, vijana siku hizi mmekuwa na akili tata sana.
 
''Kuwekwa na mtu mmoja tu''!

Nadhani hii inaweza kuwa moja ya sababu, ya wanawake wengi kupenda ndoa.
Unfortunately…

Hai guarantee hilo, Ndio maana kuna walioolewa wanatoka nje kwaajili ya hilo tu sababu ndani hawalipati.

Kila mtu ana sababu yake ya kupenda ndoa, yangu ni “companionship” na kujua “here is where i belong” na kuwekwa na mtu mmoja ikiwa “itawezekana”
 
Wazazi wenyewe walioana...tapeli wewe
 
Sawa kaa mbali na wanawake.. utakachofanikiwa hapo ni kuwa legend wa kupiga nyeto
 
Hawasemi kuwa single wanasema kutokuoa.

Kama mwanamume rijali na mwanamke rijali huwezi kutokuwa na mwenza siku zote, na mwanamke ndio kabisa kuna kipindi unataka “kuwekwa na mtu mmoja tu”
Mmoja tu sounds cool till akusumbue au uachwe
 
Mtoto wa nje ya ndoa no mtoto wa zinaa na mtoto haramu

Vipi wewe ulizaliwa ndani ya ndoa kweli???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…