Naandika haya kwa uchungu sana

kizazi cha wanaume wanaoendeshwa na emotions na wanawake wanaomix emotions na akili
 
Thank you.
 
Ushapigwa tukio jipe muda akili itakaa sawa
 
24yrs maisha yameshakushinda? Mzee utatoboa 30 kweli?
 
24 ?
 
Yaani inaonekana Bado upo porini sana.wadada wazuri kiasi hiki wanaoipamba Dunia Kisha unatushauri tukaenao mbali,ushauri wapekee ni kuwa pambana sana upate pesa wanawake wazuri wasiokuwa na shaka wapo Kila eneo la nchi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…