Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Ni mnafiki tayari. Kwanini umtetee muuaji eti kwa vile kuna wauaji wengine. Nitajie mwana CCM mwingine aliyeua na kudhulumu watu kama Makonda
Mwaka 1974 Mzee Nyerere aliwashughulikia kina Peter Siyovelwa, Emilio Mzee na Peter Kisumo ambao walikuwa ni maafisa waandamizi wa vyombo vya usalama kwasababu alikuwa na MORAL HIGH GROUND.

Mtu ambaye anafukuza maelfu ya watu kwenye makazi yao ambayo wamekaa zaidi ya miaka 300 na kuwapa waarabu wawinde sungura hawezi kumwajibisha dhulumati mwenzake. Acha mzaha wewe.

Hii hapa orodha fupi ya wauaji, watekaji na madhulumati ya kimataifa:
Nchimbi, Mwinyi, Samia, Jakaya, Mkapa, Kinana, Magufuli, Makamba, Chenge, Lowassa, Rostam, Dewji, Zungu, Nape, Membe, GSM (The List Goes On). Haya yameua, yameteka na kudhulumu watanzania mpaka leo hii nchi ni masikini.

Ukitaka nitaje mambanga yao binafsi, BE MY GUEST. Lakini fahamu lazima tutatafutana.​
 
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
Kazi sana
 
Back
Top Bottom