Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Hujabadirisha msimamo wako Juu ya Makonda, Inaelekea umemfuatilia muda mrefu sana. Muache apumzike kijana.
 
Vyovyote itakavyokuwa...

Ninachotetea hapa tusichafue watu kwa chuki zetu bila hoja za msingi...

Kwamba baada ya 2030 nn kitatokea?

Mtampa sumu msingizie karma?
Huyo Makonda hachafuliwi, bali ni mchafu, Lowassa kwenda cdm haimaanishi alikuwa kiongozi msafi, bali ni ujinga wa uongozi wa cdm kumpokea kwa kujali kupata mgombea maarufu, na sio mgombea sahihi.

Kama hizi tetesi zinazoendelea kumuhusu Makonda zina ukweli, basi karma itakuwa imefanya yake, maana siasa hizo chafu amezifanya sana wakati wa utawala wa mwendazake. Hivyo tetea upendavyo, toa mifano mingi uitakavyo, lakini huo ndio ukweli.
 
Sipendi UNAFIKI, huko CCM nani hana tuhuma za uuaji, dhuluma na utesaji ?

Halafu kiongozi akiwa muuaji, mdhulumaji na mtesaji si anapelekwa mahakamani ?​
Mfumo wetu wa kutoa haki una udhaifu wa wazi. Huyo Makonda mwenyewe amekuwa akisema ni ngumu kupata haki kwenye hizi mahakama zetu.
 
Ulipeleka mahakamani hizi tuhuma?

Au ndiyo kawaida ya nyumbu kuimba kila aina ya wimbo anaoimba Dj
Makonda mwenyewe alikuwa anakiri hadharani kuwa huwezi kupata haki mahakamani, sasa uumpeleke ukitegemea kupata nini?
 
Nyie wauza danga msituletee uhuni wenu. Makonda atapatikana tu salama. Msifikiri mtaweza kuteka dola milele. Makonda hana cha kuomba radhi kwa yeyote. Mkitoa damu yake ystawakuta yaleyale. Nguvu ya umma haishindwi kitu.
Hakuna nguvu ya umma Tanzania, maana kama ni nguvu ya umma, bado huyo Makonda alishiriki kuiondoa chini ya utawala wa Magufuli. Labda useme nguvu ya kikanda, lakini sio ya umma.
 
Ni mfumo upi unamlinda Makonda?

Kipindi Magufuli yupo mlisema yeye ndio anamlinda, sasa hivi nani anamlinda?

Kwamba mamlaka hazijaamua kukusanya ushahidi na kwanini?

Halafu una umri gani wa kuniita dogo?
Unamshitaki vipi Makonda kwa uhalifu aliofanya kwa backup ya huyo Magufuli? Huyo Sabaya unayemtaja kwenye baadhi ya post zako, si hata huko mahakamani alisema wazi alichokuwa anafanya alitumwa na kiongozi aliyetangulia mbele ya haki?

Mamlaka sio ndio juzi zimesema alitumia madaraka vibaya, ama unajitoa ufahamu? Na hata hivyo hizo mamlaka bado hazijaamua kuchukua hatua vyema kwa kuhofia sehemu ya ushahidi wake kulenga moja kwa moja backup ya utawala uliopita. Yaani ikitokea utawala ukabadilika na kuaamua kupitia nini Makonda alifanya chini ya utawala wa Magufuli, ushahidi upo wazi.
 
Acheni unafiki..

Mnaua watu kisa mnaogopa kuharibiwa ugali, hamna uzalendo wowote kwa taifa hili...

Kama mna uhakika alitenda ubaya sumu za nini?

Kwanini msisubiri karma ifanye kaz?
Hizo sumu ndio karma zenyewe. Njia alizotumia kwa wengine, wahuni wenzake nao wanatumia hizo hizo.
 
Damu ya Manji inamtesa.

Mnafikiri Kikwete alijuwana na baba'ke manji bure bure? Mpaka afikie hatua ya "golo" kuwachiwa awe mlezi wake?

Ukoo wa Manji upo kwenye system zamani sana, Makonda na mwendazake hawakulijuwa hilo?
 
Acheni unafiki..

Mnaua watu kisa mnaogopa kuharibiwa ugali, hamna uzalendo wowote kwa taifa hili...

Kama mna uhakika alitenda ubaya sumu za nini?

Kwanini msisubiri karma ifanye kaz?
Karma ndo hii walimwengu wanataka kumdedisha
 
Damu ya Manji inamtesa.

Mnafikiri Kikwete alijuwana na baba'ke manji bure bure? Mpaka afikie hatua ya "golo" kuwachiwa awe mlezi wake?

Ukoo wa Manji upo kwenye system zamani sana, Makonda na mwendazake hawakulijuwa hilo?
Sioni kama kuna namna Makonda anaweza kubaki salama
 
Unamshitaki vipi Makonda kwa uhalifu aliofanya kwa backup ya huyo Magufuli? Huyo Sabaya unayemtaja kwenye baadhi ya post zako, si hata huko mahakamani alisema wazi alichokuwa anafanya alitumwa na kiongozi aliyetangulia mbele ya haki?

Mamlaka sio ndio juzi zimesema alitumia madaraka vibaya, ama unajitoa ufahamu? Na hata hivyo hizo mamlaka bado hazijaamua kuchukua hatua vyema kwa kuhofia sehemu ya ushahidi wake kulenga moja kwa moja backup ya utawala uliopita. Yaani ikitokea utawala ukabadilika na kuaamua kupitia nini Makonda alifanya chini ya utawala wa Magufuli, ushahidi upo wazi.
Doh sio nyinyi mnaosema kila siku Samia amekuja kuwaponya majereha ya utawala wa Magufuli...

Kama Makonda alikua jeraha kwanini lisiponywe kwa yeye kushitakiwa?
 
Doh sio nyinyi mnaosema kila siku Samia amekuja kuwaponya majereha ya utawala wa Magufuli...

Kama Makonda alikua jeraha kwanini lisiponywe kwa yeye kushitakiwa?
Samia sio katili wala mlevi wa madaraka kama alivyokuwa Magufuli, huo ndio ukweli. Yeye ni laghai na tapeli kama walaghai wengine.

Makonda atashitakiwa tu iwapo ccm itaacha mtindo wa kulindana, lakini uhalifu wake uko wazi.
 
Samia sio katili wala mlevi wa madaraka kama alivyokuwa Magufuli, huo ndio ukweli. Yeye ni laghai na tapeli kama walaghai wengine.

Makonda atashitakiwa tu iwapo ccm itaacha mtindo wa kulindana, lakini uhalifu wake uko wazi.
Hueleweki mkuu...

Hili ndio tatizo la kua compromised, utashindwa kuelewa hata adui yako nani!
.
Na hapa ndio hua namsifu Raisi Samia.
 
Hueleweki mkuu...

Hili ndio tatizo la kua compromised, utashindwa kuelewa hata adui yako nani!
.
Na hapa ndio hua namsifu Raisi Samia.
Unadhani nikisema mama Samia sio katili ni ishara kuwa namkubali? Sina popote namkubali huyo mama kiutendaji, lakini sio dhalimu kama Magufuli. Huyo Makonda ni baadhi ya watu waliofaidika na siasa chafu za Magufuli, na kama kweli amelishwa sumu itakuwa ni jambo la kupongeza sana, kwani analipwa uhayawani aliokuwa anaona sifa kuwafanyia wakosoaji wa Magufuli. Kwahiyo kama unamkubali huyo Samia, mkubali kimpango wako.
 
Doh sio nyinyi mnaosema kila siku Samia amekuja kuwaponya majereha ya utawala wa Magufuli...

Kama Makonda alikua jeraha kwanini lisiponywe kwa yeye kushitakiwa?
Hapana haja kushitakiwa kwa nini akajaze vyoo huko magerezani,kizazi cha uovu ni kukiangamiza mapema kabla hakilijaza taifa, Kama sio sasa amini ipo siku neno TANZIA litahusika na litabarikiwa kwa mikono miwili.
 
Unadhani nikisema mama Samia sio katili ni ishara kuwa namkubali? Sina popote namkubali huyo mama kiutendaji, lakini sio dhalimu kama Magufuli. Huyo Makonda ni baadhi ya watu waliofaidika na siasa chafu za Magufuli, na kama kweli amelishwa sumu itakuwa ni jambo la kupongeza sana, kwani analipwa uhayawani aliokuwa anaona sifa kuwafanyia wakosoaji wa Magufuli. Kwahiyo kama unamkubali huyo Samia, mkubali kimpango wako.
Hahaha sawa sawa bwana Tindo
 
Back
Top Bottom