Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Screenshot_20231102_120808_Remix.png
 
Nyie wauza danga msituletee uhuni wenu. Makonda atapatikana tu salama. Msifikiri mtaweza kuteka dola milele. Makonda hana cha kuomba radhi kwa yeyote. Mkitoa damu yake ystawakuta yaleyale. Nguvu ya umma haishindwi kitu.
Kwani amepotea?
 
Jwtz wanasaidiaje mhalifu?

Walio kwenye kambi ya mwendazake (Magufuli) una maanisha hawagusiki?

Sabaya hakua kwenye kambi hii?
Sabaya alikuwa kidampa tu. Hakuwa na ulinzi wa wanajeshi wa Ikulu. Sabaya angeweza kuvamia clouds ya kina Ruge?

Hilo swali la kwanza kuwa jwtz wanasaidiaje wananchi unaniuliza mimi kwa kutumia vigezo na akili gani? Muulize aliyesema.

Kuhusu hiyo kambi siyo wote. Wenye influence.
 
Nielimishe zaidi mkuu...

Unaposema najitoa akili unamaanisha najua Makonda hagusiki halafu najifanya kuuliza kinafiki?

Kwa tuhuma zinazoongelewa humu kuhusu Makonda na hajawahi kufungwa...

Wewe unaona nani anazuia hilo kufanyika?

Tumeona Sabaya akienda jela, nini kinashindikana kwa Makonda?
Dogo acha hasira Kuna kitu kinaitwa karma kinafanya kazi kama watu walililalamika kutotendewa haki na makonda akalindwa na mfumo
Karma itatenda kazi umlilie usimlilie

ushahidi unaweza kuoatikana ikiwa mamlaka zitaamua
 
Sabaya alikuwa kidampa tu. Hakuwa na ulinzi wa wanajeshi wa Ikulu. Sabaya angeweza kuvamia clouds ya kina Ruge?

Hilo swali la kwanza kuwa jwtz wanasaidiaje wananchi unaniuliza mimi kwa kutumia vigezo na akili gani? Muulize aliyesema.

Kuhusu hiyo kambi siyo wote. Wenye influence.
Maelezo kuhusu shutuma za Makonda hua zinanifanya nijiulize huenda Makonda ni allien... au shutuma ni za uongo...

Haiwezekani binadamu wa kawaida ukawa na shutuma lukuki kama hizo then ulindwe...
 
Wakiamua hata ukihama wanakufuata huko. Unakumbuka yule jamaa wa Rwanda aliyeuwawa huko kwa Madiba?
 
Na ushahidi upo?

Nini kinawazuia kupeleka ushahidi ili apelekwe mahakamani?

Ukimtoa Ben, Akwilina na Manji

Wengine bado wapo hai, unataka kunambia wanamuogopa Makonda?

Tuseme hao wengine hawana uelewa wa kisheria, vipi kuhusu Tundu Lissu?

Unataka kunambia Lissu anamuogopa Makonda?
Unajua makondo akiwa mwenezi hapa juzi kati alimtishia kumuua GSm na RB ipo. lakini baada siku 2 akateuliwa Rc wa Arusha

Ccm inalea wahalifu
 
Dogo acha hasira Kuna kitu kinaitwa karma kinafanya kazi kama watu walililalamika kutotendewa haki na makonda akalindwa na mfumo
Karma itatenda kazi umlilie usimlilie

ushahidi unaweza kuoatikana ikiwa mamlaka zitaamua
Ni mfumo upi unamlinda Makonda?

Kipindi Magufuli yupo mlisema yeye ndio anamlinda, sasa hivi nani anamlinda?

Kwamba mamlaka hazijaamua kukusanya ushahidi na kwanini?

Halafu una umri gani wa kuniita dogo?
 
Maelezo kuhusu shutuma za Makonda hua zinanifanya nijiulize huenda Makonda ni allien... au shutuma ni za uongo...

Haiwezekani binadamu wa kawaida ukawa na shutuma lukuki kama hizo then ulindwe...
Dogo usukuma usikupofushe macho
Makonda alitenda jina wakati wa magu kwa niaba ya magu, raisi na mwenyekiti mfu wa ccm
 
Ni mfumo upi unamlinda Makonda?

Kipindi Magufuli yupo mlisema yeye ndio anamlinda, sasa hivi nani anamlinda?

Kwamba mamlaka hazijaamua kukusanya ushahidi na kwanini?

Halafu una umri gani wa kuniita dogo?
Nimesema ana RB ya kutishia kuua GSM mbona aliteuliwa RC jiulize we kichwa maji
 
Kwenye maisha haya mojawapo ya jaliwa bora ni kujaliwa kuwa mnyenyekevu, unaweza kufanya mambo yote mema na mazuri kwa maslahi ya wengi haswa walio dhaifu lakini kama haupo humble utaonekana mbaya kuliko hata ubaya.
Kama Makonda angekuwa na unyenyekevu katika kazi zake angekuwa mtu na kiongozi bora mno lakini vile ilivyo kinyume chake historia itamhesabu kama mtu mbaya na kiongozi mbaya kuwahi kuwepo katika taifa hili.
 
Back
Top Bottom