Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Subiri Rais Samia atoke madarakani. Ni kifo tu ndiyo kitamuokoa Makonda kuingia jelaHapa unataka kusema Dpp hajawahi kuzisikia hizi tuhuma kwa Makonda?
Mbona Sabaya iliwezekana, Makonda ana kinga yeyote dhidi ya jinai?