britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
- Thread starter
- #301
Nam andUtukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nam andUtukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
KumekuchaNam and
MALCOM LUMUMBA unaonekana ni muumini na mfuasi mtiifu sana wa Paul Makonda, nachelea kukuita mfuasi na muumini wa mtu huyo sababu nikiuangalia ukuu wako hapa jukwaani najiona ninakukosea heshima , ila acha na iwe hivyo, maana juu yake umekuwa mtetezi mkuu na huku moyo ukikuvuja damu juu yake. Hautaki wakati wowote watu wayakumbuke mabaya aliyoyatenda, wakati humu jukwaani wewe ni guru wa historia ukiwakumbusha watu matukio mbalimbali lakini ya Makonda hutaki wayakumbuke.Evaluate your battles carefully, sometimes peace is more important than being right.......
Unaweza ukamfanyia visa Paul Makonda kinyume kabisa na utaratibu wa kisheria, lakini fahamu kwamba mpaka tulipofika hapa ishathibitika kwamba hakuna mtanzania asiyegusika. Awamu ya tano iwe somo kubwa kwa kizazi hiki na kijacho....
DuuhUshauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!
Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,
Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi
- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!
Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!
Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!
Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.
Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote
Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!
Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa
Britanicca
Uliandika wakati ule, na umeandika tena wakati huu.Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!
Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,
Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi
- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!
Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!
Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!
Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.
Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote
Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!
Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa
Britanicca
SaaitakuwajeAtavukaje boda? Kwa passport hii hii? Si inapigwa pini Kila alitaka clearance alarm inalia?.
Ili asiendelee kuchafua watu, apelekwe segere matata
MALCOM LUMUMBA unaonekana ni muumini na mfiasi mtiifu sana wa Paul Makonda, nachelea kukuita mfuasi na muumini wa mtu huyo sababu nikiuangalia ukuu wako hapa jukwaani najiona ninakukosea heshima, ila acha na iwe hivyo, maana juu yake umekuwa mtetezi mkuu na huku moyo ukijuvuja damu juu yake. Hautaki wakati eiwote watu wayakumbuke mabaya aliyoyatenda wakati humu jukwaani wewe ni guru wa historia ukiwakumbusha watu matukio mbalimbali lakini ta Makonda hutski wayakumbuke.
Unasemaje sasaMakonda bado hajajifunza ukisoma alichokiandika ni kama bado anaamini yeye ni untouchable na bado ananguvu sana.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Una umri ganiUtawala wa dikteta ndio ulikuwa unateka watu na kuwadhulu, JK utawala wake haukuwa na mambo ya kishamba
Mkuu unamfahamu vizuri huyu kijanaUshauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!
Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,
Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi
- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!
Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!
Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!
Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.
Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote
Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!
Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa
Britanicca
😂😂Mbona mafumbo mengi mengi kuna nini aiseee, si mseme tu kama tayari jamaa kavikwa jezi za Simba
Yupo likizo !Comrade Paul Christian Makonda!Mzalendo anaependeka Arusha na Tz kwa ujumla na mchapakazi Rais wa 2030!!Mimi sichangii huu uzi
😱🙄 !Uliandika wakati ule, na umeandika tena wakati huu.
Tunaweza tukasema uliandika , yametokea
Kwanini sasa unamshabikia muuaji, mdhulumaji na mtesaji Makonda?Kuniita mimi mfuasi wa Paul Makonda ni kunivunjia mno heshima na kudharau mchango wangu mkubwa niliowahi kuutoa ndani ya taifa hili kupinga utawala kandamizi wa Raisi Magufuli, nikihatarisha maslahi yangu na uhai wangu.