Evaluate your battles carefully, sometimes peace is more important than being right.......
Miaka ya nyuma nikiwa na mawazo machanga nilikuwa navutiwa sana na hizi siasa za gizani, hila, fitna, visasi, propaganda na kuchafuana. Lakini siku zilivyoenda nikafahamu kwamba nchi huwa haindeshwi hivyo, hasa kwenye taifa la watu ambao wanatamani kupiga hatua kubwa kimaendeleo.
Unaweza ukamfanyia visa Paul Makonda kinyume kabisa na utaratibu wa kisheria, lakini fahamu kwamba mpaka tulipofika hapa ishathibitika kwamba hakuna mtanzania asiyegusika. Awamu ya tano iwe somo kubwa kwa kizazi hiki na kijacho....