Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!
Kama kuna watu wamepoteza wapendwa wao kuoitia yeye basi hayuko salama
 
Nilivyoendelea kukuwa nikajua wapuuzi tunao wapigia kelele na kuwa pigani humu mitandaoni na mitaani kumbe wanakula sahani moja na upande wa pili. Staki tena haya mambo ni ya kujiumiza bure bora nibaki katikati.

Sisi tunapiga kelele wao wanajali matumbo yao na familiya yao.

Ukiendelea kukua kuna siku utajua hiki nilichokiandika.

Chagua upande Bidada,, kukaa katikati ni kukosa uelekeo...

Wasaidie Wadanganyika.
 
We suffer more often in imagination than in reality - Seneca

Ifike mahali kama nchi tujaribu kukomaa na kuachana na hizi siasa mufilisi za kuviziana na kukomoana kama tuko Sicily au Colombia. Paul Makonda amefanya makosa mengi sana na ambayo yana ushahidi, hivyo apelekwe mahakamani ili liwe fundisho kwa wengine.

Kutishia kumuua au kumtesa kisaiokolojia bila kufuata sheria ni kutengeneza tatizo jingine kubwa zaidi siku za mbeleni. Serikali isitumie rasilimali zake katika kufanikisha michezo kama hii ambayo haina manufaa kwa nchi.
Street justice haijali sheria wala tatizo mbeleni, jino kwa jino tuu
 
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
Wewe Le Mutuz wewe, leo hii unamgeuka jamaa yako?🤣
 
Evaluate your battles carefully, sometimes peace is more important than being right.......

Miaka ya nyuma nikiwa na mawazo machanga nilikuwa navutiwa sana na hizi siasa za gizani, hila, fitna, visasi, propaganda na kuchafuana. Lakini siku zilivyoenda nikafahamu kwamba nchi huwa haindeshwi hivyo, hasa kwenye taifa la watu ambao wanatamani kupiga hatua kubwa kimaendeleo.

Unaweza ukamfanyia visa Paul Makonda kinyume kabisa na utaratibu wa kisheria, lakini fahamu kwamba mpaka tulipofika hapa ishathibitika kwamba hakuna mtanzania asiyegusika. Awamu ya tano iwe somo kubwa kwa kizazi hiki na kijacho....
Hizi busara hazina maana; Bashite ashughulikiwe kichwa chini miguu juu kama alivowatendea wengine, shubaaamit!😁
 
Makonda kusamehewa ni Kama mbigu na ardhi hata akae miaka 20 hakuna atakayemsamehe yule mbwa
 
Makonda kajiingiza 18 zao. It's just a matter of time. Kwa 5 doors zake alizoitangazia dunia, ameingia na kurahisisha kazi. Omba Rehema za Mungu damu za watu zinazomiuta ardhini mithili ya Kaini uziepuke. Mali za watu na dhuluma Mungu asikumbuke. Kila auaye kwa upanga hufa kwa upanga. Kejeli za Makonda kwa Mkuu wa KKKT madhabahuni hazitaenda bure. Pole.
 
Du…kweli Makonda jua limemchwea!
Hata Riz alimtuhumu madawa ya kulevya!
Kibao kimegeuka.
Ataponaje?
Kwani uongo ? Kuna mambo mengi gamjui;. Majuzi tu kuna maofisa fulani walikamata gari imejaa ngada; tamaa ikawajaa waladokoa kidogo; mzigo ulivyofika polisi ikaonekana sio wote waliokamata mzigo wakawekwa ndani; mpkana ninapozungumza hapa aliedokoa mzigo ni marehemu na nyepesi nyepesi zinasema ulikuwa mzigo wa mzee
 
Makonda hawezi kupata visa ya Ulaya Maghribi na EU nzima labda aende Belarus na Urusi.

Sasa akiondoka zile raha alizotwambia anakula atazilia na huko?
 
Back
Top Bottom