Du…kweli Makonda jua limemchwea!Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!
Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,
Kuna Mawili
Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi
Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!
Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!
Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!
Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo ….
Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote
Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!
Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa
Britanicca
Ha ha ha!Jamaa wa VX na wanachama wa chama fulani? Code ngumu hii
Wanalipwa ndo maana kelele mingi, tunajuwa ukweli kuwa hao wapenda mabadiliko nao wana maboss ambao wako upande wa pili, hatuhangaiki tena.Hata mm nilikuwa najiuliza kwann Ids ni zilezile kwa mambo yale yale?...Toka 2016 nijiunge rasmi humu ndani. Watu wanalipwa kumpambania mtu mtandaoni
Unamaanisha tutoe wafungwa wote jela, na watuhumiwa wote mahabusu wawe huru,Huyu kijana asamehewe tu na yeye aishi kwa Uhuru.
Serikali ikichukua hatua mapema kumshitaki Makonda kwa matumizi mabaya ya madaraka, ndiyo pona yake.We suffer more often in imagination than in reality - Seneca
Ifike mahali kama nchi tujaribu kukomaa na kuachana na hizi siasa mufilisi za kuviziana na kukomoana kama tuko Sicily au Colombia. Paul Makonda amefanya makosa mengi sana na ambayo yana ushahidi, hivyo apelekwe mahakamani ili liwe fundisho kwa wengine. Kutishia kumuua au kumtesa kisaiokolojia bila kufuata sheria ni kutengeneza tatizo jingine kubwa zaidi siku za mbeleni. Serikali isitumie rasilimali zake katika kufanikisha michezo kama hii ambayo haina manufaa kwa nchi.
Tell herZamani nilikuwa napenda sana comments zako. Naona bado bado ukogo vile vile ni mwana democrasia haswa.
Nilivyoendelea kukuwa nikajua wapuuzi tunao wapigia kelele na kuwa pigani humu mitandaoni na mitaani kumbe wanakula sahani moja na upande wa pili. Staki tena haya mambo ni ya kujiumiza bure bora nibaki katikati.
Sisi tunapiga kelele wao wanajali matumbo yao na familiya yao.
Ukiendelea kukua kuna siku utajua hiki nilichokiandika.
Makonda muoga mno anaogopa mashogaNaona na wewe kati ya yale makundi alietaja makonda kama upo hivi
Du mpaka sasa ulikuwa hujaelewa?Zamani nilikuwa napenda sana comments zako. Naona bado bado ukogo vile vile ni mwana democrasia haswa.
Nilivyoendelea kukuwa nikajua wapuuzi tunao wapigia kelele na kuwa pigani humu mitandaoni na mitaani kumbe wanakula sahani moja na upande wa pili. Staki tena haya mambo ni ya kujiumiza bure bora nibaki katikati.
Sisi tunapiga kelele wao wanajali matumbo yao na familiya yao.
Ukiendelea kukua kuna siku utajua hiki nilichokiandika.
Ndg nikajuwa wanaowindwa kama swala v simba ni wa nje ya chama pendwa,kumbe hadi ndani kwa ndani!!.Kweli cheo ni mapambo ya muda ishi na watu vema.Maskini hafilisiki.We suffer more often in imagination than in reality - Seneca
Ifike mahali kama nchi tujaribu kukomaa na kuachana na hizi siasa mufilisi za kuviziana na kukomoana kama tuko Sicily au Colombia. Paul Makonda amefanya makosa mengi sana na ambayo yana ushahidi, hivyo apelekwe mahakamani ili liwe fundisho kwa wengine. Kutishia kumuua au kumtesa kisaiokolojia bila kufuata sheria ni kutengeneza tatizo jingine kubwa zaidi siku za mbeleni. Serikali isitumie rasilimali zake katika kufanikisha michezo kama hii ambayo haina manufaa kwa nchi.
Daaaah sijui yule binti wa late kabwe aliyegoma kumpa mkono wakati uleR.I.P Wilson Kabwe, former Mkurugenzi Wa Jiji la Dar...
Lakini wanasema uoga ndiyo akili,Makonda muoga mno anaogopa mashoga
Makonda haruhusiwi kuingia US, kwa sababu ya "kuwanyima watu haki ya kuishi".Mku huu ushauri ni mzuri sana.
Ila kubwa zaidi awaombe Watanzania Msamaha huu utamsaidia sana kwani tulio na huruma ni wengi.
Aombe msamaha kama aliowahi kuomba Rais Moi hili asipolifanya ninaamini atakuja kujutia wakati huo yuko Jela au la japokuwa simwombei hili limkute kabisa kwani ameshajifunza kuendana na mazingira au anayoyapitia aliyekuwa Mku wa Wilaya ya Hai
Wanalipwa ndo maana kelele mingi, tunajuwa ukweli kuwa hao wapenda mabadiliko nao wana maboss ambao wako upande wa pili, hatuhangaiki tena.
Kwa ufupi upinzani ni ka genge ambako kqzi yake ni kuisaidia serikali kufanya mambo yake.
Lazima vikelele kelele viwepo.ndo nchi ibaenda.
Bure kabisa