Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Makonda haruhusiwi kuingia US, kwa sababu ya "kuwanyima watu haki ya kuishi".

Muuaji mnamshauri akimbie bila ya kufikishwa mahakamani? Siungi mkono yeye kuviziwa mafichoni, lakini ni halali kabisa kwa yeye kukamatwa na kufikishwa mahakamani ili ajibu tuhuma dhidi yake.

Waliopo kwenye vyombo vya dola, wanaeleza kwamba mtu huyu aliongoza kikundi cha kuwateka, kuwaua na kuwapoteza watu waliokuwa wakimkosoa marehemu na serikali yake, na kwamba kikundi hicho kiliaminika na kupewa nguvu na marehemu kuliko taasisi rasmi ya TISS. Kikundi hiki kiliwajibika moja kwa moja kwa marehemu. Kikundi hiki, kwa kauli za Siro, zaidi kilifahamika kama "Watu Wasiojulikana", japo walikuwa wanajulikana.

Huyu ni vema akamatwe mapema, ajibu tuhuma dhidi yake, awataje watu wake aliokuwa akiwatumia kuendesha uharamia. Mmoja tunaambiwa yupo mahabusu kule Kusini mwa nchi kwa kosa la kumpora fedha mfanyabiashara na kisha kumwua.

Sabaya wakati akiwapora watu fedha kwa nguvu, alikuwa akiwaambia kuwa, hii inaitwa Makonda style! Sabaya naye ni shahidi muhimu dhidi ya Makonda.

Sanane kapotezwa
Azory kapotezwa
Kanguye kapotezwa
Lisu alimanusura
Mo alitekwa na kuachiwa
Roman alitekwa na kuachiwa
GSM waliporwa mamilioni ya pesa kwa vitisho mbalimbali
Mengi aliporwa mamia ya mamilioni kwa kudanganywa
Familia ya Chacha kule Mwanza waliporwa kiwanja Capripoint
Kuna watu wengine waliporwa fedha kwa ahadi kuwa ataongea na marehemu walegezewe kodi na wawe karibu na Serikali.

Makonda atendewe haki, asiviziwe mitaani, apelekwe mahakamani kama alivyofanyiwa Sabaya, akajibu tuhuma mbalimbali, ikiwemo za mauaji. Makonda ni mwovu mkubwa, kwa kiasi kikubwa, zaidi ya Sabaya. Mwanafunzi wake wa uovu, Sabaya, yupo jela, mwalimu wake yupo huru. Hii siyo haki.
Noma sana!
 
Mku huu ushauri ni mzuri sana.
Ila kubwa zaidi awaombe Watanzania Msamaha huu utamsaidia sana kwani tulio na huruma ni wengi.
Aombe msamaha kama aliowahi kuomba Rais Moi hili asipolifanya ninaamini atakuja kujutia wakati huo yuko Jela au la japokuwa simwombei hili limkute kabisa kwani ameshajifunza kuendana na mazingira au anayoyapitia aliyekuwa Mku wa Wilaya ya Hai
Makonda bado hajajifunza ukisoma alichokiandika ni kama bado anaamini yeye ni untouchable na bado ananguvu sana.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kijana ameshachelewa, alikosa washauri na bado hana washauri.... Aliamini baada ya kifo cha mzee ndugu zake kutoka nyumbani wangeshika usukani, wakafeli na usukani ukaangukia kwa wenyewe...

Wakajaribu kumtisha mama awaogope na kuwasikiliza wakiamini atakuwa anawaogopa kwa uongo wa kumtishia kiti chake na influence ya ukanda, Mama chini ya Wasaigon na Chalinze akawa strong akilindwa na wenyewe...

Vijana wa mjini wameachiwa wamkung'utishe kimyakimya kimtaamtaa kama yeye alivyokuwa akideal nao gizani, nao sasa wanamalizana naye gizani.....kwa sasa yupo kizuizini Dar es salaam.

Kosa la ndugu zetu wa kanda ile, walijioverestimate na kushindwa kufanya proper calculation ya mifumo na mizizi yake....wenzao wanastrong hold maeneo nyeti na influence kubwa maeneo hayo, lakini ndugu zetu walivimbiwa na kuchokonoa kila mahala kiasi cha kufanya sasa isemwe, "No trust to them again"
 
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili

Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo ….

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
Kwamb aende ukweniiiii Haka nako ni kakipengele
 
Huyu ni vema akamatwe mapema, ajibu tuhuma dhidi yake, awataje watu wake aliokuwa akiwatumia kuendesha uharamia. Mmoja tunaambiwa yupo mahabusu kule Kusini mwa nchi kwa kosa la kumpora fedha mfanyabiashara na kisha kumwua.
Kwanini serikali inapata kigugumizi kumkamata?! Hii kauli ya kina kirefu cha maji yaliyotulia inaashiria nini!

Who is behind him!
 
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili

Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo ….

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
Kumbe baadhi nchi anaweza kwenda lakini hao jamaa hawezi kuwakimbia hata nje wapo ni familia
 
Kama anaweza kutoka hapa nchini na atoke kwa kweli, ule utetezi wake jana kwenye hauingii akilini kabisa, yaweza kua alikua kweli na nia njema katika kuwaletea watu haki na ustawi mwema lakini ndini yake alikua na roho mbaya kwa wengine, ni kusema alizidisha harakati zake mpaka kuguswa maisha na maslahi ya watu na pasipo yeye kuangalia usalama wake kesho ambayo ndio leo yake.
Alipo kua na wakati mzuri kwake alisahau kua nyakati hazidumu.
 
Wanaweza wakafanikiwa wakamshtaki au hata kumuua lakini kesho ataokea mwingine naye atataka kulipiza kisasi kwasababu anazo zijua mchezo wa visasi hauna mwisho ndiyo maana watu Aina ya Mandela ni adimu Sana lakini wanatoa fundisho kubwa Duniani.
 
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili

Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo ….

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
Atoke hadharani aombe radhi kwa aliyofanya ya hovyo kwa umma na watu binafsi, hayaondoki hayo milele bila hiyo namna, ushamba, sifa za kijinga na uroho wa mali ukauzunisha hata kupoteza wengi.
 
Mfano ungelikua wewe ndo Makonda kwa aliyoyafanya yngekimbilia nchi gani?

Maana hata US ambaye ndo kiranja kampiga Pini huyo mtu
 
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili

Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo ….

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
Unamshauri huyo mpuuzi wanini,acha aliwe kichwa mbuzi yule!
 
Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,
Bro uovu wa huyu jambawazi ulikuwa mkubwa mno, asilalamike kwani ni 'shoka kwa shoka', 'sururu kwa sururu' 'damu kwa damu'
'ukatili kwa ukatili'
 
Makonda ametoa funzo kwa Vijana tukipewa madaraka tuwe na mipaka na umakini mkubwa kwenye kudeal na mambo.. tutende haki na sio kunyang'anya haki, tuache tamaa za mali bali tujikite kwenye utumishi na maadili yake..
Ali Hapi alikua nae anaelekea huko nadhani Kuna wakubwa walimng'ata sikio akatulia.
 
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili

Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo ….

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
Huyu ni WA kufa mapema maana ndio alikuwa msimamizi mkuu was genge la wasiojulikana.

Pia ndiye aliyesimamia kupigwa risasi Tundu Lissu.

Hawezi kupona atamfuata shetani mwenzie kule kuzimu.
 
Back
Top Bottom