Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Makonda haruhusiwi kuingia US, kwa sababu ya "kuwanyima watu haki ya kuishi".

Muuaji mnamshauri akimbie bila ya kufikishwa mahakamani? Siungi mkono yeye kuviziwa mafichoni, lakini ni halali kabisa kwa yeye kukamatwa na kufikishwa mahakamani ili ajibu tuhuma dhidi yake.

Waliopo kwenye vyombo vya dola, wanaeleza kwamba mtu huyu aliongoza kikundi cha kuwateka, kuwaua na kuwapoteza watu waliokuwa wakimkosoa marehemu na serikali yake, na kwamba kikundi hicho kiliaminika na kupewa nguvu na marehemu kuliko taasisi rasmi ya TISS. Kikundi hiki kiliwajibika moja kwa moja kwa marehemu. Kikundi hiki, kwa kauli za Siro, zaidi kilifahamika kama "Watu Wasiojulikana", japo walikuwa wanajulikana.

Huyu ni vema akamatwe mapema, ajibu tuhuma dhidi yake, awataje watu wake aliokuwa akiwatumia kuendesha uharamia. Mmoja tunaambiwa yupo mahabusu kule Kusini mwa nchi kwa kosa la kumpora fedha mfanyabiashara na kisha kumwua.

Sabaya wakati akiwapora watu fedha kwa nguvu, alikuwa akiwaambia kuwa, hii inaitwa Makonda style! Sabaya naye ni shahidi muhimu dhidi ya Makonda.

Sanane kapotezwa
Azory kapotezwa
Kanguye kapotezwa
Lisu alimanusura
Mo alitekwa na kuachiwa
Roman alitekwa na kuachiwa
GSM waliporwa mamilioni ya pesa kwa vitisho mbalimbali
Mengi aliporwa mamia ya mamilioni kwa kudanganywa
Familia ya Chacha kule Mwanza waliporwa kiwanja Capripoint
Kuna watu wengine waliporwa fedha kwa ahadi kuwa ataongea na marehemu walegezewe kodi na wawe karibu na Serikali.

Makonda atendewe haki, asiviziwe mitaani, apelekwe mahakamani kama alivyofanyiwa Sabaya, akajibu tuhuma mbalimbali, ikiwemo za mauaji. Makonda ni mwovu mkubwa, kwa kiasi kikubwa, zaidi ya Sabaya. Mwanafunzi wake wa uovu, Sabaya, yupo jela, mwalimu wake yupo huru. Hii siyo haki.
1. Mnyeti
2. Makonda
3. Sabaya
4. Polis aliyemnyoshea pistol Nape
5. Dickson Linje huyu yupo kibaha
6. George Makoye Nyengo

Hawa ni baadhi ya watu walikuwa wanaunda kundi la wasiojulikana.
 
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
Unasema "tumeishasamehe", wewe na nani? Nani amekutuma kutoa msamaha?
 
Huyu ni WA kufa mapema maana ndio alikuwa msimamizi mkuu was genge la wasiojulikana.

Pia ndiye aliyesimamia kupigwa risasi Tundu Lissu.

Hawezi kupona atamfuata shetani mwenzie kule kuzimu.
Atapona, haya kam shoot sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kulia lia tafuta hela
 
Hapana asife mapema apelekwe mahakamani ili naye aone mateso aliyosababishia wenzake japo hayatakua makubwa Kama Yale...muda huu nadhani anayakumbuka maneno ya chidi benz
Mkuu lile kundi lake la wasiojulikana lilikuwa na watu hatari na wengi walikuwa polisi na baadhi ya wanajeshi (kisirisiri kama Dickson Linje na Makoye Nyengo). Hawa wapo na hawatashindwa kumpambania huko jela.

Angalia vifo katiri walivyofanyiwa Akina Ben saanane, Azory na watu kibao.

Pia yeye baada kuuwa watu na kuwatupa fukwe za coco beach alisimamia wazikwe bila uchunguzi.

Huyu auwawe TU. Full stop
 
We suffer more often in imagination than in reality - Seneca

Ifike mahali kama nchi tujaribu kukomaa na kuachana na hizi siasa mufilisi za kuviziana na kukomoana kama tuko Sicily au Colombia. Paul Makonda amefanya makosa mengi sana na ambayo yana ushahidi, hivyo apelekwe mahakamani ili liwe fundisho kwa wengine.

Kutishia kumuua au kumtesa kisaiokolojia bila kufuata sheria ni kutengeneza tatizo jingine kubwa zaidi siku za mbeleni. Serikali isitumie rasilimali zake katika kufanikisha michezo kama hii ambayo haina manufaa kwa nchi.

Daima kumbuka hili: If you live like a dog you will die like a dog!

Tafsiri rahisi ni kwamba..ukiishi kwa upanga, utakufa kwa upanga.

Makonda yote anayoyapitia kwa sasa hakuna la bahati mbaya!

It is very easy for the oppressor to forget. It is never easy for the victim to forget. Kuna wengi huyu kijana ali turn maisha yao upside down. kuna watu walipoteza uhai wao simply because mawazo au vitu walivyoviamini vilipingana na wenye madaraka. Kuna waliopoteza wapendwa wao, wazazi, watoto, marafiki nk.

Unfortunately, hawana pa kusemea. hawana instagram. hawana facebook. hawana twitter. Wamemwachia Mungu wao afanye maamuzi.

Kama hizo mahakama zingekuwepo na zinatoa haki, hakika Makonda asingefanya aliyoyafanya. Kwa hiyo kuwaambia victims wake waende mahakamani..ni kama kuwasimanga. maana hata wewe sidhani kama unaamini mahakama zetu zinaweza kutenda haki pale mwenye fedha au madaraka akivunja sheria. Zikitenda haki ni selectively kwa wale waliopishana kauli na watawala.

Daima naamini kwamba Mungu ni wa wote. Wenye nacho na wasio nacho. Majira huyapanga apendavyo.

wasalaam,
 
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
Wewe Ni fortunatus BUYOBE au umecopy na Kuna kupaste hapa from Twitter? britanicca
 
wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,
huyo mke wa Makonda sio mnyarwanda kwao ni hapo murukulazo anakozaliwa mbunge msataafu Kashaza
 
Visasi CYO POA hatujui siasa sitapindukaje mbeleni hili taifa tutaliaribu wenyewe kwa kuvisiana na kutengeneza visasi

Makonda ajaitaidi amalizane na wanaomdai na kuwaomba radh Kama alivyofanya mwenzio kheri james
 
Wanalipwa ndo maana kelele mingi, tunajuwa ukweli kuwa hao wapenda mabadiliko nao wana maboss ambao wako upande wa pili, hatuhangaiki tena.

Kwa ufupi upinzani ni ka genge ambako kqzi yake ni kuisaidia serikali kufanya mambo yake.

Lazima vikelele kelele viwepo.ndo nchi ibaenda.

Bure kabisa
Hahahahaahha wapo kwenye payroll?? Noma kweli luckyline
 
Kijana ameshachelewa, alikosa washauri na bado hana washauri.... Aliamini baada ya kifo cha mzee ndugu zake kutoka nyumbani wangeshika usukani, wakafeli na usukani ukaangukia kwa wenyewe...

Wakajaribu kumtisha mama awaogope na kuwasikiliza wakiamini atakuwa anawaogopa kwa uongo wa kumtishia kiti chake na influence ya ukanda, Mama chini ya Wasaigon na Chalinze akawa strong akilindwa na wenyewe...

Vijana wa mjini wameachiwa wamkung'utishe kimyakimya kimtaamtaa kama yeye alivyokuwa akideal nao gizani, nao sasa wanamalizana naye gizani.....kwa sasa yupo kizuizini Dar es salaam.

Kosa la ndugu zetu wa kanda ile, walijioverestimate na kushindwa kufanya proper calculation ya mifumo na mizizi yake....wenzao wanastrong hold maeneo nyeti na influence kubwa maeneo hayo, lakini ndugu zetu walivimbiwa na kuchokonoa kila mahala kiasi cha kufanya sasa isemwe, "No trust to them again"
Odds zipo kwa mhindi Sasa lazima madereva aliwe
 
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
Wewe unamdanganya mwenzio jinai haifi. Huyu tunaye tu lazima mkono wa sheria umwangukie asagike tikitiki.
 
We suffer more often in imagination than in reality - Seneca

Ifike mahali kama nchi tujaribu kukomaa na kuachana na hizi siasa mufilisi za kuviziana na kukomoana kama tuko Sicily au Colombia. Paul Makonda amefanya makosa mengi sana na ambayo yana ushahidi, hivyo apelekwe mahakamani ili liwe fundisho kwa wengine.

Kutishia kumuua au kumtesa kisaiokolojia bila kufuata sheria ni kutengeneza tatizo jingine kubwa zaidi siku za mbeleni. Serikali isitumie rasilimali zake katika kufanikisha michezo kama hii ambayo haina manufaa kwa nchi.
Kwenye Instagram ya Makonda si ameorodhesha makundi yanayotaka kumtoa roho? Alitengeneza maadui ndani na nje ya siasa kwa hiyo akipata matatizo huwezi kujua ni kundi lipi limemletea matatizo. Ahame tuu nchi, serikali haiwezi kumsaidia wala kumlinda. Na huwezi kuilaumu serikali kwa lolote litakalotekea kwa sababu Makonda anaishi uraiani kama raia mwingine yoyote.
 
Mkuu umeandika vizuri sana. Hakika nchi yetu ilipitia mahali pagumu sana. Viongozi walioko madaraka hawatakiwi kuendeleza hili. Mwendazake aliumiza baadhi ya watu wa kanda fulani akifikiri ndio kutibu shida aliyohisi ipo. Hata hivyo, kujumuisha watu wa kanda fulani kwenye adhabu moja kisa wapo wawili ama watu wenye shida sio suluhu. Matokeo yake wale waovu waliungwa mkono na wale wema na jiwe akaonekana mpumbavu na mbaguzi. Hili la sasa la kutaka kuhusisha maovu ya mwendazake na watu wa kanda fulani ni makosa yale yale. Ni ushauri sahihi kwamba tusiendelee na huu utaratibu. Wale wenye makosa washughukikiwe na wabebe msabala wao na sio kuwaunganisha watu wote wenye vinasaba na mhalifu kwamba nao ni wahalifu.
Hii swala ya kuchukia kanda moja haina maana. Na haya mambo ya kisasi usidhani yataisha au hao unaodhani wameshika maeneo nyeti wataendelea kuyashika. Ni heri Makonda akamatwe apelekwe katika vyombo vya sheria. Nakiri Makonda alijisahau, alidhani yeye ni yeye. Lakini kwa nimjuavyo Makonda ndivyo alivyo, ni mtu wa kupenda kutumia majina ya wakubwa ili kupata akitakacho.

Hii tabia anayo hata kabla hajawa na madaraka ya Ukuu wa Wilaya au Mkoa. Amekuwa akijisiia kuwa na kikundi cha maovu. Akishitakiwa atapata muda wa kujutia matendo yake mabaya na yaliyo kinyume cha sheria ktk jamii.
Ila na hao watu wanaodhania sasa wameshika nchi muda wao unahesabika, hivyo wasijisahau na kuwa kama Makonda, mambo ubadilika. Visasi ni vibaya. Ila sheria ikitumika ni haki sahihi.

Tuepushe nchi yetu isiwe kama Ethiopia, ambayo sasa watu ni kulipizana visasi. Kabila moja lilijisahau na kushika kila kitu, leo wengine wanalipiza. Matokeo yake kabila linaloonewa sasa likaingia vitani. Na makabila mengine yakaamka nayo kugombea keki ya nchi.
Huu ndo ubaya wa visasi. Hakuna atakae tawala milele. Ukitenda baya kwa mwenzio wapo watakao kutenda pia. Hivyo wasijisahau wakadhani sasa nchi ipo mikononi mwao.
 
Back
Top Bottom