New City
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 2,880
- 3,794
Neno Zito sana hili mkuuDaima kumbuka hili: If you live like a dog you will die like a dog!
Tafsiri rahisi ni kwamba..ukiishi kwa upanga, utakufa kwa upanga.
Makonda yote anayoyapitia kwa sasa hakuna la bahati mbaya!
It is very easy for the oppressor to forget. It is never easy for the victim to forget. Kuna wengi huyu kijana ali turn maisha yao upside down. kuna watu walipoteza uhai wao simply because mawazo au vitu walivyoviamini vilipingana na wenye madaraka. Kuna waliopoteza wapendwa wao, wazazi, watoto, marafiki nk.
Unfortunately, hawana pa kusemea. hawana instagram. hawana facebook. hawana twitter. Wamemwachia Mungu wao afanye maamuzi.
Kama hizo mahakama zingekuwepo na zinatoa haki, hakika Makonda asingefanya aliyoyafanya. Kwa hiyo kuwaambia victims wake waende mahakamani..ni kama kuwasimanga. maana hata wewe sidhani kama unaamini mahakama zetu zinaweza kutenda haki pale mwenye fedha au madaraka akivunja sheria. Zikitenda haki ni selectively kwa wale waliopishana kauli na watawala.
Daima naamini kwamba Mungu ni wa wote. Wenye nacho na wasio nacho. Majira huyapanga apendavyo.
wasalaam,
Be blessed.