Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Daima kumbuka hili: If you live like a dog you will die like a dog!

Tafsiri rahisi ni kwamba..ukiishi kwa upanga, utakufa kwa upanga.

Makonda yote anayoyapitia kwa sasa hakuna la bahati mbaya!

It is very easy for the oppressor to forget. It is never easy for the victim to forget. Kuna wengi huyu kijana ali turn maisha yao upside down. kuna watu walipoteza uhai wao simply because mawazo au vitu walivyoviamini vilipingana na wenye madaraka. Kuna waliopoteza wapendwa wao, wazazi, watoto, marafiki nk.

Unfortunately, hawana pa kusemea. hawana instagram. hawana facebook. hawana twitter. Wamemwachia Mungu wao afanye maamuzi.

Kama hizo mahakama zingekuwepo na zinatoa haki, hakika Makonda asingefanya aliyoyafanya. Kwa hiyo kuwaambia victims wake waende mahakamani..ni kama kuwasimanga. maana hata wewe sidhani kama unaamini mahakama zetu zinaweza kutenda haki pale mwenye fedha au madaraka akivunja sheria. Zikitenda haki ni selectively kwa wale waliopishana kauli na watawala.

Daima naamini kwamba Mungu ni wa wote. Wenye nacho na wasio nacho. Majira huyapanga apendavyo.

wasalaam,
Neno Zito sana hili mkuu
Be blessed.
 
south africa wanamtani amekimbiza watu na sijui kama kijambio kitasalimika
 
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
Makonda ni "Vyeomania/powermania". Hivi kwa waraka ule wa Pompeo dhidi yake, EU ataruhusiwa kuingia?......hilo wazo la kwenda shule nami nakazia, anaweza kuwa transformed positively labda.
 
R.I.P Wilson Kabwe, former Mkurugenzi Wa Jiji la Dar...
Jamaa alinadiwa kama mpira wa kona.
Makonda alimnanga hadharani mchana kweupe.....

Mwendazake akadakia akisema ..."nimtumbue au nisimtumbue?"
Wananchi chawa.."Mtumbue...Mtumbue...Mtumbueee....."

Mwendazake " Nimemtumbua toka sasa..."
Mzee Kabwe akafa kwa presha siku mbili tatu baadaye.
 
Uzuri nchi hii sahivi tumeingia kwenye dunia ya kudhania kwa kuuana pindi tunapobadirisha utawala, onyo tu ni kwamba.. Ueni leo mko madarakani ila msisahahu huu utaratibu utaendelezwa vilivyo hata baada ya utawala wenu.

Familia zenu zitapata tabu sana na kusaga meno make mmeamua tuishi kwa visasi na damu

Msidhani kila mtanzania anamchukia Makonda ama anawapenda nyie, ipo siku na nyie mtafuatia
 
R.I.P Wilson Kabwe, former Mkurugenzi Wa Jiji la Dar...
Haya maisha jamani namkumbuka binti wa marehemu Wilson Kabwe bila kumung'unya aliukataa mkono wa Makonda......... mshenzy kabisa.

Nakumbuka alivyomwandama mtoto wa Freeman Mbowe kwa kumtangaza hadharani ni mgonjwa wa corona as if yeye ni daktari wa taifa... Makonda utalipia machungu yote uliotusababishia watanzania
 
Tanzania ni kubwa.
Kusema kitu ni kikubwa inategemea wewe ni mdogo kiasi gani....
Panya anamwona paka ni mkubwa...
Paka anamwona mbwa ni mkubwa...
Mbwa anamwona binadamu mkubwa....

NB: A Big fish in a little pond (Everything we hear is an opinion not a fact. Everything we see is a perspective not the truth)
 
Huwa kauli zako zina uhalisia , ngoja tusubiri
 
Hakika kikijitokeza chama kizuri cha Siasa chenye maono yanayogusa wengi kitajipatia wafuasi wa kutosha.

Bado kiu ya watanzania ni kubwa sana wengi wanakuja na kujinadi kwamba watakata kiu ya wananchi kumbe wanakata kiu yao binafsi na kufanya safari yetu Kuwa ndefu zaidi.
Utakufa kabla hujakiona. Pokea unabii huo.

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
 
R.I.P Wilson Kabwe alikuwa mkurugenzi wa Jiji DSM alimbuliwa kwa sababu ya Makonda . Makonda damu za watu zinakuhangaisha na ujue baada ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadan kesi za kudai magari yetu na pesa ulizoficha ndani kwako baada ya kutupora tutazitaka
 
Mke wa Bashite ni mmeru na sasa wapo maeneo ya kwa msola njiro Arusha.

Eti rwanda 😂
By the way Bashite ameanza kupiga kelele kwasababu ameshapata taarifa kuwa file lake lipo kwenye final stage kabla halijafika kwa DPP.

NB: britanicca ungefanya citation kuwa huu uzi wako ni copy and paste kutoka Twitter kwa fbuyobe.
Hata mimi nimeshangaa kusikia Maria ni Mnyarwanda wakati ni mjukuu wa bibi Likokola Njiro Arusha............... naona ile rangi na pua ndio vinawachanganya... by the way huyo Kagame ndio atapokea nunda kama Bashite? mtu kamwe hawezi changanua ubongo wake?
 
...
Kutishia kumuua au kumtesa kisaiokolojia bila kufuata sheria ni kutengeneza tatizo jingine kubwa zaidi siku za mbeleni. Serikali isitumie rasilimali zake katika kufanikisha michezo kama hii ambayo haina manufaa kwa nchi.
Na nchi yoyote ambapo kuna matatizo ya visasi, kuuana nk ilianza the same as we move, jambo lolote hujirudi hata kama ni kwa njia nyingine.

Mfano Sankara aliuawa zaidi ya miaka 30 huko but just see what happening majuzi, mtu kala kichapo cha miaka jera.
 
nani
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
mkhuu Britanicca ipo ivi,,kila unachopanda ndio utachovuna..
nature ndio ipo ivo..ushauri wako waweza kuwa mzuri ila is too late for him..
 
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
Mtajuana wenyewe na makonda wenu, msituchoshe, zamu ya kunyolewa imefika atie maji mapema kabla hajanyolewa upara
 
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
Akamatwe katili huyu kama ilivyokuwa kwa Sabaya sijui mamlaka zinasubiri nini!
 
Iliniuma sana maana marehemu nilibahatika kufanya nae kazi Mbeya na Mwanza. Siku anatumbuliwa nilipata psychological trauma 😡Makonda Lazima ajue Karma is real bro
Kwa kweli huyo mzee alikua mtu wa watu. Nahisi ni wivu tu wa huyo kijana, nadhani matako yamemuelemea.
 
Mkuu umeandika vizuri sana. Hakika nchi yetu ilipitia mahali pagumu sana. Viongozi walioko madaraka hawatakiwi kuendeleza hili. Mwendazake aliumiza baadhi ya watu wa kanda fulani akifikiri ndio kutibu shida aliyohisi ipo. Hata hivyo, kujumuisha watu wa kanda fulani kwenye adhabu moja kisa wapo wawili ama watu wenye shida sio suluhu. Matokeo yake wale waovu waliungwa mkono na wale wema na jiwe akaonekana mpumbavu na mbaguzi. Hili la sasa la kutaka kuhusisha maovu ya mwendazake na watu wa kanda fulani ni makosa yale yale. Ni ushauri sahihi kwamba tusiendelee na huu utaratibu. Wale wenye makosa washughukikiwe na wabebe msabala wao na sio kuwaunganisha watu wote wenye vinasaba na mhalifu kwamba nao ni wahalifu.
Ni watu wa kanda gani waliumizwa na Magufuli? Na waliumizwaje? Naomba kufahamu kidogo
 
Back
Top Bottom