Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
Heehh makubwa. Mnataka akale kuku ulaya kama Lissu alivyoenda kula kuku Ubelgiji?
 
Zamani nilikuwa napenda sana comments zako. Naona bado bado ukogo vile vile ni mwana democrasia haswa.

Nilivyoendelea kukuwa nikajua wapuuzi tunao wapigia kelele na kuwa pigani humu mitandaoni na mitaani kumbe wanakula sahani moja na upande wa pili. Staki tena haya mambo ni ya kujiumiza bure bora nibaki katikati.

Sisi tunapiga kelele wao wanajali matumbo yao na familiya yao.

Ukiendelea kukua kuna siku utajua hiki nilichokiandika.
Leo ndio mmeanza kuwa wapole hivi??
 
Atavukaje boda? Kwa passport hii hii? Si inapigwa pini Kila alitaka clearance alarm inalia?.

Ili asiendelee kuchafua watu, apelekwe segere matata
Huyu drug dealer, ashindwi kusepa, kashirikiana Sana dealer wa drugs anaitwa daudi kanyau wa huko south. search humu utawaona makonda na kanyau mara kwa Mara alikuwa anakwenda kwa jamaa south
 
Kijana ameshachelewa, alikosa washauri na bado hana washauri.... Aliamini baada ya kifo cha mzee ndugu zake kutoka nyumbani wangeshika usukani, wakafeli na usukani ukaangukia kwa wenyewe...

Wakajaribu kumtisha mama awaogope na kuwasikiliza wakiamini atakuwa anawaogopa kwa uongo wa kumtishia kiti chake na influence ya ukanda, Mama chini ya Wasaigon na Chalinze akawa strong akilindwa na wenyewe...

Vijana wa mjini wameachiwa wamkung'utishe kimyakimya kimtaamtaa kama yeye alivyokuwa akideal nao gizani, nao sasa wanamalizana naye gizani.....kwa sasa yupo kizuizini Dar es salaam.

Kosa la ndugu zetu wa kanda ile, walijioverestimate na kushindwa kufanya proper calculation ya mifumo na mizizi yake....wenzao wanastrong hold maeneo nyeti na influence kubwa maeneo hayo, lakini ndugu zetu walivimbiwa na kuchokonoa kila mahala kiasi cha kufanya sasa isemwe, "No trust to them again"
Na wewe ukiwemo ulikuwa mpambe wake.

Leo unamgeuka jemedari wako?

Mbona mtakimbiana mwaka huu.

Bado kesi haijafika mahakamani
 
Evaluate your battles carefully, sometimes peace is more important than being right.......

Miaka ya nyuma nikiwa na mawazo machanga nilikuwa navutiwa sana na hizi siasa za gizani, hila, fitna, visasi, propaganda na kuchafuana. Lakini siku zilivyoenda nikafahamu kwamba nchi huwa haindeshwi hivyo, hasa kwenye taifa la watu ambao wanatamani kupiga hatua kubwa kimaendeleo.

Unaweza ukamfanyia visa Paul Makonda kinyume kabisa na utaratibu wa kisheria, lakini fahamu kwamba mpaka tulipofika hapa ishathibitika kwamba hakuna mtanzania asiyegusika. Awamu ya tano iwe somo kubwa kwa kizazi hiki na kijacho....
Brave mind...
 
Jamaa alinadiwa kama mpira wa kona.
Makonda alimnanga hadharani mchana kweupe.....

Mwendazake akadakia akisema ..."nimtumbue au nisimtumbue?"
Wananchi chawa.."Mtumbue...Mtumbue...Mtumbueee....."

Mwendazake " Nimemtumbua toka sasa..."
Mzee Kabwe akafa kwa presha siku mbili tatu baadaye.

We acha tuu ndugu yangu. Haya mambo watu wanayachukulia powa, lakini Makonda aliumiza watu na wakaumia kweli kweli. Unajua kama janga halijakupata, siyo rahisi kuelewa.

Mimi siku zote najiweka kwenye viatu vya Lissu aliyotendewa na utawala wa mwendazake, najiuliza ningefanyaje? mpaka leo sina jibu. Mwenyezi Mungu atupe nguvu! Imagine mpaka watu wanafika sehemu ya kumsimanga Lissu kwamba ali-fake zile risasi? Imagine!

Napenda siasa. Lakini nachukia dhulma kwa nguvu zangu zote. Hawa wanasiasa wanaodhulumu haki za walalahoi watachomwa moto hapa hapa duniani! Karma is real!
 
Makonda ametoa funzo kwa Vijana tukipewa madaraka tuwe na mipaka na umakini mkubwa kwenye kudeal na mambo.. tutende haki na sio kunyang'anya haki, tuache tamaa za mali bali tujikite kwenye utumishi na maadili yake..
Somo hilo likupate hasa wewe. Hapa JFs tu unatukana watu hovyo sijui una stress gani.
 
We acha tuu ndugu yangu. Haya mambo watu wanayachukulia powa, lakini Makonda aliumiza watu na wakaumia kweli kweli. Unajua kama janga halijakupata, siyo rahisi kuelewa.

Mimi siku zote najiweka kwenye viatu vya Lissu aliyotendewa na utawala wa mwendazake, najiuliza ningefanyaje? mpaka leo sina jibu. Mwenyezi Mungu atupe nguvu! Imagine mpaka watu wanafika sehemu ya kumsimanga Lissu kwamba ali-fake zile risasi? Imagine!

Napenda siasa. Lakini nachukia dhulma kwa nguvu zangu zote. Hawa wanasiasa wanaodhulumu haki za walalahoi watachomwa moto hapa hapa duniani! Karma is real!
Walisema eti zilikuwa plastic tu. Na mshahara ambao ungemsaidia ktk matibabu wakamnyanganya na ubunge akavuliwa. Mashila makubwa sana. Mungu atusamehe sisi watanzania tumetenda dhambi sana.
 
Hata mimi nimeshangaa kusikia Maria ni Mnyarwanda wakati ni mjukuu wa bibi Likokola Njiro Arusha............... naona ile rangi na pua ndio vinawachanganya... by the way huyo Kagame ndio atapokea nunda kama Bashite? mtu kamwe hawezi changanua ubongo wake?
Mengi huyajui. Huyu dada ni Muhangaza kutoka wilaya ya Ngara. Ingawa katika ubaradhuli wa mumewe sioni kwanini na yeye alaumiwe. Au ndo ule msemo......mchuma janga hula na nduguze?

Wenye mji wao wanasema wacha dunia izunguke kwenye mhimili wake,......!
 
We acha tuu ndugu yangu. Haya mambo watu wanayachukulia powa, lakini Makonda aliumiza watu na wakaumia kweli kweli. Unajua kama janga halijakupata, siyo rahisi kuelewa.

Mimi siku zote najiweka kwenye viatu vya Lissu aliyotendewa na utawala wa mwendazake, najiuliza ningefanyaje? mpaka leo sina jibu. Mwenyezi Mungu atupe nguvu! Imagine mpaka watu wanafika sehemu ya kumsimanga Lissu kwamba ali-fake zile risasi? Imagine!

Napenda siasa. Lakini nachukia dhulma kwa nguvu zangu zote. Hawa wanasiasa wanaodhulumu haki za walalahoi watachomwa moto hapa hapa duniani! Karma is real!
Hakuna mtu aliyeumizwa na makonda acha upumbavu wa kubeba ajenda za wengine. Kuwa busy
 
MNAMSHAMBULIA BASHITE....mi ninazimiss kauli zake za kishujaa tu....."

1.Mbunge yeyote hutakiwi kuoneka Dar es Salam wakati bunge kinaendelea,nikikukamata nitakusweka Lupango

2.Hapa Tanzania hakuna mtu anakula Raha Kama Mimi

3.Si ruhusa kuingia down town ndani ya jiji lake kama nguo hujanyoosha na umevaa yeboyebo sijui malapa,halafu unanukanuka kikwapa,MARUFUKU!

4.Wanawake wote mliozalishwa na kutelekezewa watoto mje mnione nataka niwashughulikie hao mabazazi!

5.Tutapima tezi dume wanaume wote jijini nyumba kwa nyumba!(alizua taharuki😂)

6.Kila alipokumbushwa sula la utata wa elimu yake jibu lake kuu kulikuwa"VITA YA MADAWA YA KULEVYA HAIJAWAHI MUACHA MTU SALAMA"

I miss you Daudi.
 
Evaluate your battles carefully, sometimes peace is more important than being right.......

Miaka ya nyuma nikiwa na mawazo machanga nilikuwa navutiwa sana na hizi siasa za gizani, hila, fitna, visasi, propaganda na kuchafuana. Lakini siku zilivyoenda nikafahamu kwamba nchi huwa haindeshwi hivyo, hasa kwenye taifa la watu ambao wanatamani kupiga hatua kubwa kimaendeleo.

Unaweza ukamfanyia visa Paul Makonda kinyume kabisa na utaratibu wa kisheria, lakini fahamu kwamba mpaka tulipofika hapa ishathibitika kwamba hakuna mtanzania asiyegusika. Awamu ya tano iwe somo kubwa kwa kizazi hiki na kijacho....
Nawe malcom lumumba mmehusika sana kuwatengenez wanasiasa kama hawa. Tubuni mliwapa kibri wakakuwa na kuzaliana wakawa wengi

Katiba Mpya bora itapunguza mambo kama haya.

Tufanye siasa za kimaendeleo tusonge mbele tanzania ni yetu sote.
 
Ashughulikiwe kihuninkama alivyoshughulikia watubwasio na hatia kihuni , Fala huyo , tena wamhasi kabisa
Unafurahia usiyoyajua na huyajui yaliyomo. Makonda ni wa leo na kesho, naona anawachezesha kwata
 
Walisema eti zilikuwa plastic tu. Na mshahara ambao ungemsaidia ktk matibabu wakamnyanganya na ubunge akavuliwa. Mashila makubwa sana. Mungu atusamehe sisi watanzania tumetenda dhambi sana.
Mpaka leo nikiwaza unyama aliofanyiwa Lissu, nashindwa la kusema.

Wacha watesi wake Mwenyezi Mungu awape wanachokistahili. To me that was the highest point of barbarism and sadism ever witnessed in our country.
 
Nawe malcom lumumba mmehusika sana kuwatengenez wanasiasa kama hawa. Tubuni mliwapa kibri wakakuwa na kuzaliana wakawa wengi

Katiba Mpya bora itapunguza mambo kama haya.

Tufanye siasa za kimaendeleo tusonge mbele tanzania ni yetu sote.
Katiba ya nyoko
 
Mpaka leo nikiwaza unyama aliofanyiwa Lissu, nashindwa la kusema.

Wacha watesi wake Mwenyezi Mungu awape wanachokistahili. To me that was the highest point of barbarism and sadism ever witnessed in our country.
Hizo sumu ulizolishwq zitakumaliza tu, mtoto mdogo umemezeshwa sumu na bahati mbaya unayotamani hayawezi kuwa
 
Kwaiyo Britannica Ni Buyobe wa Twitter ama lah onyesha acknowledgement kwa mwenye uzi
 
Back
Top Bottom