Mngoni asiyepiga gambe
Senior Member
- May 4, 2017
- 151
- 318
Kama kuna mtu aliwadanganya deportivo de utopolo kuwa Mazembe ameshuka kiwango basi mjiandae kushenyetwa nje ndani jamaa wanapeleka moto sio poa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari Mwarabu Mweusi kamaliza kazi.
Ila hao Mazembe wa moto sio kama tunavyodanganyanaTayari Mwarabu Mweusi kamaliza kazi.
Mazembe imejipata. Haijafikia kilee kiwango chao. Lakini wanakuja.Ona kenge hii
mkabane mapaja huko lubumbash vinginevyo mshenyeto palepaleOna kenge hii
Naomba nikutunzie risiti hadi tarehe 14Wewe ni kati ya waangaliaji wa mpira kwenye livescore. Haya tupe matokeo...Mazembe wako amechapika 2 kwa 1. Bao safi la mrundi Jean Claude Girinimugisha...
Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.View attachment 3172675
Unatuaibisha wangoni mlongo wangu!Naomba nikutunzie risiti hadi tarehe 14
Bora wao wameambulia kamoja..nyie mliambulia yaiWewe ni kati ya waangaliaji wa mpira kwenye livescore. Haya tupe matokeo...Mazembe wako amechapika 2 kwa 1. Bao safi la mrundi Jean Claude Girinimugisha...
Safari hii nyuma mwiko watamaliza bila point hata moja.Kama kuna mtu aliwadanganya deportivo de utopolo (Yanga) kuwa Mazembe ameshuka kiwango basi mjiandae kushenyetwa nje ndani jamaa wanapeleka moto sio poa.
Wambie mkuuNani kakuruhusu kuangalia champions League ? subiri mechi zenu za kina mama
Ndicho ulichobaki nacho, kama kilele cha mafanikio!Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.View attachment 3172675
Sisi ndiyo Simba SC AKA;Ndicho ulichobaki nacho, kama kilele cha mafanikio!
Mapema tuuAl hilal na Mc alger wanafuzu kwenye hili kundi.