Mngoni asiyepiga gambe
Senior Member
- May 4, 2017
- 151
- 318
- Thread starter
- #21
Au wakijitahid watapata 1 dhidi ya MC Alger nyumbaniSafari hii nyuma mwiko watamaliza bila point hata moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au wakijitahid watapata 1 dhidi ya MC Alger nyumbaniSafari hii nyuma mwiko watamaliza bila point hata moja.
Kuna raha ya aina yake kushuhudia jiran akishenyetwaNani kakuruhusu kuangalia champions League ? subiri mechi zenu za kina mama
Ukweli ni kuwa Yanga ilifanya uzembe nyumbani kwenye ile game ya Al Hilal, ile game Yanga alikuwa na uwezo wa kushinda. Game ngumu kabisa ya away ni ya Usm Alger, inaibidi Yanga apate matokeo game zote mbili za Mazembe, amfunge Usm Alger nyumbani pamoja na kupata matokeo mechi ya marudiano na Al Hilal. Ukiachana na changamoto ya wachezaji, huyo kocha nae kama hajitambui bado.Kama kuna mtu aliwadanganya deportivo de utopolo (Yanga) kuwa Mazembe ameshuka kiwango basi mjiandae kushenyetwa nje ndani jamaa wanapeleka moto sio poa.
Wa kunyumba mjiandae kwa mpapaso square nje ndaniUnatuaibisha wangoni mlongo wangu!
Brother hao Al Hilal waliocheza Dsm sio wale wanaocheza wakiwa Maurtania yaan jamaa wako aggressive sio poa Mazembe walijikaza sanaUkweli ni kuwa Yanga ilifanya uzembe nyumbani kwenye ile game ya Al Hilal, ile game Yanga alikuwa na uwezo wa kushinda. Game ngumu kabisa ya away ni ya Usm Alger, inaibidi Yanga apate matokeo game zote mbili za Mazembe, amfunge Usm Alger nyumbani pamoja na kupata matokeo mechi ya marudiano na Al Hilal. Ukiachana na changamoto ya wachezaji, huyo kocha nae kama hajitambui bado.
pale kocha sijui kama atauona mwakaUkweli ni kuwa Yanga ilifanya uzembe nyumbani kwenye ile game ya Al Hilal, ile game Yanga alikuwa na uwezo wa kushinda. Game ngumu kabisa ya away ni ya Usm Alger, inaibidi Yanga apate matokeo game zote mbili za Mazembe, amfunge Usm Alger nyumbani pamoja na kupata matokeo mechi ya marudiano na Al Hilal. Ukiachana na changamoto ya wachezaji, huyo kocha nae kama hajitambui bado.
Kufungwa ni kufungwa tu. Hapo zinahesabiwa alamaBora wao wameambulia kamoja..nyie mliambulia yai
Vipi kikosi kipana hakifuzu?Al hilal na Mc alger wanafuzu kwenye hili kundi.
Kwa vichekesho kama hivi tubonyeze namba ngapi?Ukweli ni kuwa Yanga ilifanya uzembe nyumbani kwenye ile game ya Al Hilal, ile game Yanga alikuwa na uwezo wa kushinda. Game ngumu kabisa ya away ni ya Usm Alger, inaibidi Yanga apate matokeo game zote mbili za Mazembe, amfunge Usm Alger nyumbani pamoja na kupata matokeo mechi ya marudiano na Al Hilal. Ukiachana na changamoto ya wachezaji, huyo kocha nae kama hajitambui bado.
Naitunza hii tarehe 14 nitakurudiaAsante Mungu mimi sio mbumbumbu
Kaliwasaidia mini sasa?Bora wao wameambulia kamoja..nyie mliambulia yai
Hii michuano ina hesabu zake. Lile goli linaweza kuipeleka Simba hatua inayofuata.Kaliwasaidia mini sasa?
Na Deportivo de MAKOLO je?watashika nafasi ya ngapi?Kama kuna mtu aliwadanganya deportivo de utopolo kuwa Mazembe ameshuka kiwango basi mjiandae kushenyetwa nje ndani jamaa wanapeleka moto sio poa.
Hilo goli ndio limeiweka Simba nafasi ya piliHii michuano ina hesabu zake. Lile goli linaweza kuipeleka Simba hatua inayofuata.
Nimependa Hili.Jina DePORTIVE DE UTOPOLOKama kuna mtu aliwadanganya deportivo de utopolo kuwa Mazembe ameshuka kiwango basi mjiandae kushenyetwa nje ndani jamaa wanapeleka moto sio poa.
Mpaka sasa wako nafasi ya Tatu..Na Deportivo de MAKOLO je?watashika nafasi ya ngapi?
Tusisahau msimu uliopita Yanga hadi raundi hii walikuwa na point 1 tu na kila mtu aliikatia tamaa kufuzuMpaka sasa wako nafasi ya Tatu..
Usisahau Ila Nyinyi mko nafasi ya nne..
Simba ana point 3
Nyie mna point 0