Naangalia haya makabidhiano ya mateka sema Hawa Qasam brigade sio poa

Naangalia haya makabidhiano ya mateka sema Hawa Qasam brigade sio poa

Jamaa ni jeshi kamili siku wakipata hiyo two state solution wakaanzisha vita Israel anaweza asichomoke ni Bora aendelee kukaza 😂
Mimi na ushabiki mandazi wangu kwa Israel nilidhani Hamas waliuawa wote....naangalia naona jamaa wapo na gari mpya, buti mpya, combat na mazagzaga mapya, snipers wamevalia nguo zao za kuwazuia wasionekane kirahisi mpyaaa!

Wenzetu WA DRC wamevaa rain boot!
 
Wazee wa propaganda hao, wengi wamelambishwa vumbi ila wameokota okota raia wakawavisha gwanda na kuwashikisha silaha Ili waonekane wapo.
Kama uliwahi kupita japo katika paramilitary program kama ya JKT basi utagundua kwamba hao walioshika silaha sio mburula ni watu wa maana kabisa. Bunduki kwao ni kama ugali maharage tu Kwa huku Bongo
 
K
Kama uliwahi kupita japo katika paramilitary program kama ya JKT basi utagundua kwamba hao walioshika silaha sio mburula ni watu wa maana kabisa. Bunduki kwao ni kama ugali maharage tu Kwa huku Bongo
Kama ni watu wa maana kabisa wameshindwa nini kuitoa Israel sasa?
 
K

Kama ni watu wa maana kabisa wameshindwa nini kuitoa Israel sasa?
Hujaelewa mantiki ya sentensi yangu nilikuwa nikimjibu mchangiaji aliyesema hao ni raia waliovalishwa uniform. Ishu kubwa ilikuwa kujaribu kumweleza hao ni watu wenye monekano wa kujiamini washikapo silaha na si raia kama ilivyoelezwa na mshua hapo juu.
Nb.
Israel imeshindwa pia kuwamaliza Hamas coz dalili mojawapo ya kushindwa ni kitendo Cha Israel kukubali condition ya exchange ya wapalestina 1900 Kwa waisrel chini ya idadi ya mateka 50
 
Israel imeshindwa pia kuwamaliza Hamas coz dalili mojawapo ya kushindwa ni kitendo Cha Israel kukubali condition ya exchange ya wapalestina 1900 Kwa waisrel chini ya idadi ya mateka 50
Kama wapalestina ni 1900 halafu waisrael 50 yaani uwiano wa 38=1 hii ni kumaanisha Israel huwa inawadaka wapalestina kibao na kuwaweka ndani
na ni kumaanisha pia Israel inao uwezo mkubwa sana kupindukia kuwapita hao wapalestina.
Yaani wapalestina 38 ndo sawa=mwisraeli 1
 
Kama wapalestina ni 1900 halafu waisrael 50 yaani uwiano wa 38=1 hii ni kumaanisha Israel huwa inawadaka wapalestina kibao na kuwaweka ndani
na ni kumaanisha pia Israel inao uwezo mkubwa sana kupindukia kuwapita hao wapalestina.
Pointing nzuri! Pengine!
 
Hujaelewa mantiki ya sentensi yangu nilikuwa nikimjibu mchangiaji aliyesema hao ni raia waliovalishwa uniform. Ishu kubwa ilikuwa kujaribu kumweleza hao ni watu wenye monekano wa kujiamini washikapo silaha na si raia kama ilivyoelezwa na mshua hapo juu.
Nb.
Israel imeshindwa pia kuwamaliza Hamas coz dalili mojawapo ya kushindwa ni kitendo Cha Israel kukubali condition ya exchange ya wapalestina 1900 Kwa waisrel chini ya idadi ya mateka 50
Hao raia hamna wanajeshi hapo msitufunge kamba
 
Back
Top Bottom