Naangalia haya makabidhiano ya mateka sema Hawa Qasam brigade sio poa

Naangalia haya makabidhiano ya mateka sema Hawa Qasam brigade sio poa

Kama wapalestina ni 1900 halafu waisrael 50 yaani uwiano wa 38=1 hii ni kumaanisha Israel huwa inawadaka wapalestina kibao na kuwaweka ndani
na ni kumaanisha pia Israel inao uwezo mkubwa sana kupindukia kuwapita hao wapalestina.
Yaani wapalestina 38 ndo sawa=mwisraeli 1
Kwahiyo aliyeshika namba 50 darasani ana akili kubwa kuliko number 1 kwa sababu 50 ni kubwa kuliko moja??..
 
Mimi na ushabiki mandazi wangu kwa Israel nilidhani Hamas waliuawa wote....naangalia naona jamaa wapo na gari mpya, buti mpya, combat na mazagzaga mapya, snipers wamevalia nguo zao za kuwazuia wasionekane kirahisi mpyaaa!

Wenzetu WA DRC wamevaa rain boot!
Jamaa wako modern vibaya hapa Jews ajipange na Wana vibe sio poa
 
Jamaa ni jeshi kamili siku wakipata hiyo two state solution wakaanzisha vita Israel anaweza asichomoke ni Bora aendelee kukaza 😂
Wakati wa mapigano wanavaa kiraia, hawaonekani kabisa mtaani na hsyo magwanda, wakati wa maonyesho wanatinga Combat mpya kabisa na buti zake
 
Ila hapo wamechanganyikana na Islamic jihad pamoja na Quds kwa hiyo ni muunganiko wa vikundi vitatu na wote lengo lao ni moja kupigana na israel
Hilo swali limeulizwa na Kila chombo ila wote Wanajibu ni Qasam peke Yao
Vyovyote ilivyo wako organized sana
 
Wakati wa mapigano wanavaa kiraia, hawaonekani kabisa mtaani na hsyo magwanda, wakati wa maonyesho wanatinga Combat mpya kabisa na buti zake
Hawa ni wagumu wako trained sana
 
Wazee wa propaganda hao, wengi wamelambishwa vumbi ila wameokota okota raia wakawavisha gwanda na kuwashikisha silaha Ili waonekane wapo.
Sidhani mbona wanajiamini sana
 
Kama wapalestina ni 1900 halafu waisrael 50 yaani uwiano wa 38=1 hii ni kumaanisha Israel huwa inawadaka wapalestina kibao na kuwaweka ndani
na ni kumaanisha pia Israel inao uwezo mkubwa sana kupindukia kuwapita hao wapalestina.
Yaani wapalestina 38 ndo sawa=mwisraeli 1
Kichwa chako kina mavi
 
Hadi mateka WA "kiyahudi" walioachiwa na Hamas wamevalishwa nguo Safi, zawadi za kwenda nazo na Kadi za salama y kwaheli...
Kama wale wanajeshi wa kike ni kama walihidhiwa kwenye hotel ya nyota 5
 
Mnawapa sifa tu, hao wengi ni waoga wa vita. Ndo maana kioindi cha vita walikuwa wanarusha maroketi wamevaa kiraia. Kudhihirisha uoga wao ndo maana pamoja na vita kusitishwa lakini bado wanaficha sura kuogopa kwamba watagundulika kirahisi kwa sababu Hamas ndo raia wenyewe.
Unaelewa nini kuhusu vita kiongozi?
Unachosema ni sawa na kusema Sniper anayejificha kwa mazingira anaogopa vita? Vipi US na IDF wanaoutumia drones nao pia wanaogopa vita?
Vita ina kila aina ya mbinu.


Hao Hamas unao waona wakiwekwa wapambane na IDF kwenye uwanja wa kivita pasipo msaada wa air force, IDF wanatapata taabu, hao wanapambana kufa.

Israel imesaidiwa hadi missiles, fedha, vifaru, ndege vita, intel, mifumo ya ulinzi wa anga n.k lakini wamefeli.
 
K

Kama ni watu wa maana kabisa wameshindwa nini kuitoa Israel sasa?
Wee jamaa mbona unaongea kinyumenyume...unawalaumu wao kushindwa kuwatoa Israel au Israel kushindwa kuwatoa na kuwamaliza??
 
Unaelewa nini kuhusu vita kiongozi?
Unachosema ni sawa na kusema Sniper anayejificha kwa mazingira anaogopa vita? Vipi US na IDF wanaoutumia drones nao pia wanaogopa vita?
Vita ina kila aina ya mbinu.


Hao Hamas unao waona wakiwekwa wapambane na IDF kwenye uwanja wa kivita pasipo msaada wa air force, IDF wanatapata taabu, hao wanapambana kufa.

Israel imesaidiwa hadi missiles, fedha, vifaru, ndege vita, intel, mifumo ya ulinzi wa anga n.k lakini wamefeli.
😂😂
Maelezo mengi hayana maana yoyote.
Wanajeshi wa Israel wanapigana wamevaa magwanda kwanini hao ndugu zako mida wa vita wanavaa nguo za kiraia, na vita ikisitishwa wanavaa magwanda na kupiga picha.

Ukweli unaujua ambao ni kwamba unaowasifia hizo sifa hawana. Vita ikianza wanakuwa raia tena wanawake na watoto, ikisimamishwa eti ndo wanakuwa Hamas. Huo ni uoga uliopitiliza
 
Unadhani ni nchi yako ambayo haijali uhai wa raia wake? Ndo maana unaona ajabu kukomboa raia 50 kwa wafungwa 1900?

Unastajabisha sana

hakuna taifa liliowai kuuwa kikundi chote wanachopigana nacho maana kuna waliopo mafichoni na waliopo mbele kwenye vita na kuna waliokua wamejificha kwenye makazi ya watu
Sio anajali raia wake Israel ni Magaid Og wao ndio waliteka Wapalestina wengi zaid 10000+
Hamas wakichukua waisrael wachache tu lkn ao ao lengo liwe ivi kama Ubao unavyosoma Israel m1 Palestina 50 lengo la HAMAS kuwakomboa raia wao Palestina waliotekwa na Israel ambao wanateswa sana uko Israel kwa Magaid!!!
 
Back
Top Bottom