Vita vikipiganwa hamas hugeuka na kuwa wanawake na watotoHizo silaha wanazotumia na magari wametengeneza wao? Nyie mnawasifia kuvaa sare wakati kipindi vita inaendelea walioshia mashimoni wakaacha wanawake na watoto juu wengine wakageuka kuwa wanawake na watoto.
Vita imesimama ndo wanajifanya kuvaa magwanda na kupiga picha huku wakilazimisha mateka wapunge mikono.
Kama kweli ni wanaume na wameshinda vita kama mnavyowasifia awamu ya kwanza hii iishe vita iendelee kama mtaziona tena hizo gwanda na mbwembwe.
Uhuru siyo ihuruHao waliwafundiaha wapigania ihuru wa Afrika Kusini. Msumbiji Agola na sehemu nyingine nyingine.
Hiyo ni wrong number. Wanaunda silaha wenyewe tena chini ya ardhi.
afi sana, kwa umakini huo ni wazi kuwa hoja imekuingia mpaka ndani.Uhuru siyo ihuru
Waliwafundisha siyo waliwafundisha
Wewe mama shule ulienda kusoma ujinga
Ulifiris wazazi wako bure tu wewe
πππMimi na ushabiki mandazi wangu kwa Israel nilidhani Hamas waliuawa wote....naangalia naona jamaa wapo na gari mpya, buti mpya, combat na mazagzaga mapya, snipers wamevalia nguo zao za kuwazuia wasionekane kirahisi mpyaaa!
Wenzetu WA DRC wamevaa rain boot!
Ila wakianza kukamuliwa mavi hao magaidi tusisikie makelele ya free Palestinian au propaganda za watoto na wanawake kuuliwa.Jamaa ni jeshi kamili siku wakipata hiyo two state solution wakaanzisha vita Israel anaweza asichomoke ni Bora aendelee kukaza π
Ndio imetokea sasa, hao Hamas wataendelea kuishi mapangoni kama nyoka maana Gaza inaenda kuwa chini ya mamlaka za kipalestinakwa akili yako unadhani hivyo ila kwa ukweli hiyo haitatokea
Wanaokombolewa tunawaona kwenye TV ni wanaweke na watoto Ajabu mnawaita Taifa teuleHamas wanakomboa magaidi wenzao kuwapeleka kwenye uwanja wa vita ili wauawe
Usiwajibu hawaUnadhani kuokota okota ni rahisi eeh. Hiyo Gaza yote imejaa wapiganaji hapo Israeli akitaka afanikiwe auwe nchi nzima
iwe mapangoni iwe kwenye maboksi wataisho hapohapoNdio imetokea sasa, hao Hamas wataendelea kuishi mapangoni kama nyoka maana Gaza inaenda kuwa chini ya mamlaka za kipalestina