Naangalia haya makabidhiano ya mateka sema Hawa Qasam brigade sio poa

Vita vikipiganwa hamas hugeuka na kuwa wanawake na watoto
 
Hao waliwafundiaha wapigania ihuru wa Afrika Kusini. Msumbiji Agola na sehemu nyingine nyingine.

Hiyo ni wrong number. Wanaunda silaha wenyewe tena chini ya ardhi.
Uhuru siyo ihuru
Waliwafundisha siyo waliwafundisha

Wewe mama shule ulienda kusoma ujinga

Ulifiris wazazi wako bure tu wewe
 
Uhuru siyo ihuru
Waliwafundisha siyo waliwafundisha

Wewe mama shule ulienda kusoma ujinga

Ulifiris wazazi wako bure tu wewe
afi sana, kwa umakini huo ni wazi kuwa hoja imekuingia mpaka ndani.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Jamaa ni jeshi kamili siku wakipata hiyo two state solution wakaanzisha vita Israel anaweza asichomoke ni Bora aendelee kukaza πŸ˜‚
Ila wakianza kukamuliwa mavi hao magaidi tusisikie makelele ya free Palestinian au propaganda za watoto na wanawake kuuliwa.
 
kwa akili yako unadhani hivyo ila kwa ukweli hiyo haitatokea
Ndio imetokea sasa, hao Hamas wataendelea kuishi mapangoni kama nyoka maana Gaza inaenda kuwa chini ya mamlaka za kipalestina
 
Hamas wanakomboa magaidi wenzao kuwapeleka kwenye uwanja wa vita ili wauawe
Wanaokombolewa tunawaona kwenye TV ni wanaweke na watoto Ajabu mnawaita Taifa teule

lkn linateka adi watoto tena wakike!! Awa ni MAGAID lkn walikuwa wanaishi kinafiki Kudanganya ulimwengu kuwa wao watu Wazuli

lkn Hiii Vita upepo umetuonesha nyeti za kuku nani alikuwa anajua kuwa IDF inawakamata adi watoto tena wakike!!!!!! Aibu naona mm IDF na Israel ni Magaidi Og,
 
Inawadaka kwani nzi hao wanavamiwa vijijini tena watoto na wazee na wengi tu wameshauliwa au kufariki na wanalazimishwa waseme walipo Hamas...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…