Naangalia kipindi cha Tv hapa anaongea Nakaaya Sumari

Naangalia kipindi cha Tv hapa anaongea Nakaaya Sumari

wewe utakuwa ulikuja mjini na gari ya mmkaa, alisema mwanaume aliezaa nae ni mwanaume anaependa kitonga a.k.a marioo anapenda kulelewa na wanawake anapenda kudangia mishangazi na sio kwamba anaitwa marioo huyu msanii kwanza wakati naakaya anapata huyo mtoto huyo marioo msanii alikuwa hata hana umaarufuu
[emoji15] Kumbe!!!
 
Brother hawaelewani wale wawili km chuo na paka ,walichukuliana bwana(ambae kamuoa Nancy Luca yule)
Wameelewana miàka km 7 au sita hivi...Nancy kwao Kwa kua ndo ana Hela baasi the whole familia wanampenda sana , Nakaaya ni kama alitengwa flani hivi na familia yake,asemayo naweza kubali maana Kuna kipindi alipitia magumu sanaaa huyu dada
Nancy ana karohi flani hivi kauchoyo
Huyo Nancy ana hela gani?....mjini kuone hivi hivi[emoji848]
 
Sasa kisa kuchukuliana bwana ndo amuache ndugu yake? Km huyo Luca si ashamuoa yeye Nancy, kwan kosa LA nakaaya nn? Huyo mumewe malayaa ndo ange deal nae,

Hivi ndugu wanakubali vipi Nancy amtenge Nakaaya na uwezo wa kumtunza anao?? Khaaah
Nani ana uwezo wa kumtunza mwenzie?[emoji23][emoji23]
 
wewe utakuwa ulikuja mjini na gari ya mmkaa, alisema mwanaume aliezaa nae ni mwanaume anaependa kitonga a.k.a marioo anapenda kulelewa na wanawake anapenda kudangia mishangazi na sio kwamba anaitwa marioo huyu msanii kwanza wakati naakaya anapata huyo mtoto huyo marioo msanii alikuwa hata hana umaarufuu
Watz wengi wana shida ufahamu na uelewa hafifu wa wanayoyasikia. Wengine ndio hao waliojazana serikalini na kuishia kusaini mikataba ya hovyo hovyo kwa sababu ya uvivu wa kusoma.
 
Back
Top Bottom