Naangalia kipindi cha Tv hapa anaongea Nakaaya Sumari

Naangalia kipindi cha Tv hapa anaongea Nakaaya Sumari

Dah...MARIOO mtu mbad sana....sio poa kabisa asee!!!! Jamaa anaonekana mtata sana.....

Na lile domo....hazamagi kweli chumvini yule bwege?!!Dah ..dadeki wallah!! MARIOO[emoji3451]
Hivi umri wa Nakaaya si anafaa kabisa kua mamake Marioo? Au mradi inapita basi haina noma?
 
Dah...MARIOO mtu mbad sana....sio poa kabisa asee!!!! Jamaa anaonekana mtata sana.....

Na lile domo....hazamagi kweli chumvini yule bwege?!!Dah ..dadeki wallah!! MARIOO[emoji3451]
Kichwa maji a.k.a ngumu kumeza kitu hta hujaelewa tayari ushaandika comment karibia ishirin ...anaezungumziwa sio marioo huyo unaemjua ni mwingine kabisaa tena kipindi icho hyu marioo wa sa iv kuna uwezekano alikuwa darasa la tatu

Acha kukurupuka we fala
 
wewe utakuwa ulikuja mjini na gari ya mmkaa, alisema mwanaume aliezaa nae ni mwanaume anaependa kitonga a.k.a marioo anapenda kulelewa na wanawake anapenda kudangia mishangazi na sio kwamba anaitwa marioo huyu msanii kwanza wakati naakaya anapata huyo mtoto huyo marioo msanii alikuwa hata hana umaarufuu
Mwambie huyo fala...kipindi icho hyo marioo msanii alikuwa darasa la tatu au la nne
 
Back
Top Bottom