MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,967
- Thread starter
-
- #201
[emoji15] Kumbe!!!wewe utakuwa ulikuja mjini na gari ya mmkaa, alisema mwanaume aliezaa nae ni mwanaume anaependa kitonga a.k.a marioo anapenda kulelewa na wanawake anapenda kudangia mishangazi na sio kwamba anaitwa marioo huyu msanii kwanza wakati naakaya anapata huyo mtoto huyo marioo msanii alikuwa hata hana umaarufuu
Huyo Nancy ana hela gani?....mjini kuone hivi hivi[emoji848]Brother hawaelewani wale wawili km chuo na paka ,walichukuliana bwana(ambae kamuoa Nancy Luca yule)
Wameelewana miàka km 7 au sita hivi...Nancy kwao Kwa kua ndo ana Hela baasi the whole familia wanampenda sana , Nakaaya ni kama alitengwa flani hivi na familia yake,asemayo naweza kubali maana Kuna kipindi alipitia magumu sanaaa huyu dada
Nancy ana karohi flani hivi kauchoyo
Nani ana uwezo wa kumtunza mwenzie?[emoji23][emoji23]Sasa kisa kuchukuliana bwana ndo amuache ndugu yake? Km huyo Luca si ashamuoa yeye Nancy, kwan kosa LA nakaaya nn? Huyo mumewe malayaa ndo ange deal nae,
Hivi ndugu wanakubali vipi Nancy amtenge Nakaaya na uwezo wa kumtunza anao?? Khaaah
Nancy ana hela wewe! ACHA ubishi!!Huyo Nancy ana hela gani?....mjini kuone hivi hivi[emoji848]
Ulimsikiliza jana kwenye kipindi?
Nani? Nancy na Luca?Na washaachana
Hili nalo[emoji57][emoji57]Nancy ana hela wewe! ACHA ubishi!!
NdioNani? Nancy na Luca?
Watz wengi wana shida ufahamu na uelewa hafifu wa wanayoyasikia. Wengine ndio hao waliojazana serikalini na kuishia kusaini mikataba ya hovyo hovyo kwa sababu ya uvivu wa kusoma.wewe utakuwa ulikuja mjini na gari ya mmkaa, alisema mwanaume aliezaa nae ni mwanaume anaependa kitonga a.k.a marioo anapenda kulelewa na wanawake anapenda kudangia mishangazi na sio kwamba anaitwa marioo huyu msanii kwanza wakati naakaya anapata huyo mtoto huyo marioo msanii alikuwa hata hana umaarufuu
kabisaWatz wengi wana shida ufahamu na uelewa hafifu wa wanayoyasikia. Wengine ndio hao waliojazana serikalini na kuishia kusaini mikataba ya hovyo hovyo kwa sababu ya uvivu wa kusoma.
Wee tenaaa!! Walaa hunishughurishiiiii.Kemea hii poverty mentality, ndugu zako hawana jukumu la kukutunza, kupewa hisani sio takwa la kisheria.
Luca na Nancy wameachanaaa?? Wee sema kweliii??Na washaachana
Huyo Nancy dear [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nani ana uwezo wa kumtunza mwenzie?[emoji23][emoji23]
Tatizo Zumaridi hawekagi hizo videos youtube...ninge copy na kupasteHapana ,ilitakiwa uweke video clip tuone mkuu.
Au sio? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watz wengi wana shida ufahamu na uelewa hafifu wa wanayoyasikia. Wengine ndio hao waliojazana serikalini na kuishia kusaini mikataba ya hovyo hovyo kwa sababu ya uvivu wa kusoma.
Umekazia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kabisa
HahaaaUnajambajamba hovyo hovyo jamvin.
Nyauww
Ndiyo, apo ulipo unaweza kuta una cheo kikubwa tuu huko ccm lakini umeshindwa kuelewa interview simple tuu ya Nakaaya,Umekazia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siyo lazima kuonyesha mbele ya hadhara kama una matatizo ya akili mkuuChuga bila bange haiwezekan
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari sanaNdiyo, apo ulipo unaweza kuta una cheo kikubwa tuu huko ccm lakini umeshindwa kuelewa interview simple tuu ya Nakaaya,