Naangalia kipindi cha Tv hapa anaongea Nakaaya Sumari

[emoji15] Kumbe!!!
 
Huyo Nancy ana hela gani?....mjini kuone hivi hivi[emoji848]
 
Sasa kisa kuchukuliana bwana ndo amuache ndugu yake? Km huyo Luca si ashamuoa yeye Nancy, kwan kosa LA nakaaya nn? Huyo mumewe malayaa ndo ange deal nae,

Hivi ndugu wanakubali vipi Nancy amtenge Nakaaya na uwezo wa kumtunza anao?? Khaaah
Nani ana uwezo wa kumtunza mwenzie?[emoji23][emoji23]
 
Watz wengi wana shida ufahamu na uelewa hafifu wa wanayoyasikia. Wengine ndio hao waliojazana serikalini na kuishia kusaini mikataba ya hovyo hovyo kwa sababu ya uvivu wa kusoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…