Naangalia kipindi cha Tv hapa anaongea Nakaaya Sumari

Naangalia kipindi cha Tv hapa anaongea Nakaaya Sumari

Unashughulikaga na vitu vya ajabu sana
Mimi ni mtu mcheshi sana na pia ni mkimya sana.

Mcheshi sio kwà KILA mtu. Hapa kwasababu hatuonekani naweza kuwa mcheshi zaidi.

Integrity yangu huwa imejaa udadisi sana...ambao una ucheshi ndani yake....
 
Sio kweli bhana. Nancy ana hela sana yule bi dada. Nimesikia anasema alienda Dar akiwa na 30k tu. Tena akasema...akawa anaweka dila kama pazia la dirisha.

Weee.. Aasubutu!...Nancy hawezi kamwe kumuacha Ndugu yake ateseke vile!
Hizo ni story baba yao alikua na uwezo
 
wewe utakuwa ulikuja mjini na gari ya mmkaa, alisema mwanaume aliezaa nae ni mwanaume anaependa kitonga a.k.a marioo anapenda kulelewa na wanawake anapenda kudangia mishangazi na sio kwamba anaitwa marioo huyu msanii kwanza wakati naakaya anapata huyo mtoto huyo marioo msanii alikuwa hata hana umaarufuu
Aliamua kumsagia jamaa kunguni,jamaa ni mpambanaji sana anabiashara yake plus tender kma zote
 
Dunia inakwenda kasi mmno aisee
Nakaaya huyu huyu alie kwenye media kunyanyaswa na “mawane” Marioo????!!!!!!
 
Back
Top Bottom