stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Friji haligandishiUpo sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Friji haligandishiUpo sawa
Morocco na Libya kungejaa Bundi kila sehemuSijawahi sikia kuna watu wamefukiwa na kifusi bundi wakaja eneo hilo na kuanza kulia.
Mahospitalini wanapokufa watu daily yupo?
Vipi kwenye maeneo yenye vita na majanga ya asili yanaoua watu huko duniani?
Au ni bundi wa hapa kwetu tu ndo wamejaaliwa huo unusaji?
Sikuandika ili uamini lakiniUONGO UONGO UONGO UONGO Bundi ni Ndege tu na hizo ni Imani na Imani ni kuamini Ila hainamaana kwamba ni kweli
Hawaendi kila mahali hasa penye kadamnasiSijawahi sikia kuna watu wamefukiwa na kifusi bundi wakaja eneo hilo na kuanza kulia.
Mahospitalini wanapokufa watu daily yupo?
Vipi kwenye maeneo yenye vita na majanga ya asili yanaoua watu huko duniani?
Au ni bundi wa hapa kwetu tu ndo wamejaaliwa huo unusaji?
Ndio hivyo sio kila kinachoandikwa ni cha kukiamini
Ila wanafugwa km Ndege wengine hapo pia vipi au napo pia utabisha?
Manigga Bundi a.k.a uchoro wa kifoNi wiki 2 mfululizo maeneo nayoishi kuna jamaa alimleta mkewe kwao ambaye alitoka kujifungua mtoto wa kike. Ndani ya hizo wiki mbili katoto hako kachanga hakakua na afya nzuri usiku kalikua kanalia sana. Cha kushangaza Kanapolia au anamaliza tu bundi naye akawa analia sana hasa mida ya kuanzia saa saba usiku. Hii ni tofauti na siku za nyuma hatukua tukisikia hizo kelele za bundi na hata baada ya mtoto kufa hatujasikia tena. Hii ni ajabu sana! Binafsi sikuwah kuamini hilo
KabisaMorocco na Libya kungejaa Bundi kila sehemu
Kwanini ilihali wanahisi mtu kufa anayekufa.
IPO kisayansi, sio uchawi, bundi anauwezo wa ku nusa harufu ya uozo kutoka kwenye mwili wa binadamu, kama kuna mgonjwa anaumwa sana,Ni wiki 2 mfululizo maeneo nayoishi kuna jamaa alimleta mkewe kwao ambaye alitoka kujifungua mtoto wa kike. Ndani ya hizo wiki mbili katoto hako kachanga hakakua na afya nzuri usiku kalikua kanalia sana. Cha kushangaza Kanapolia au anamaliza tu bundi naye akawa analia sana hasa mida ya kuanzia saa saba usiku. Hii ni tofauti na siku za nyuma hatukua tukisikia hizo kelele za bundi na hata baada ya mtoto kufa hatujasikia tena. Hii ni ajabu sana! Binafsi sikuwah kuamini hilo
Thread 'Bundi si mchawi, ana uwezo mkubwa wa kunusa seli zilizokufa' KWELI - Bundi si mchawi, ana uwezo mkubwa wa kunusa seli zilizokufaUONGO UONGO UONGO UONGO
UONGOThread 'Bundi si mchawi, ana uwezo mkubwa wa kunusa seli zilizokufa' KWELI - Bundi si mchawi, ana uwezo mkubwa wa kunusa seli zilizokufa
Umefungua link hiyo?UONGO
Link imefanyaje?Umefungua link hiyo?
You are a trollLink imefanyaje?
Toka lini bundi wanakula mizoga? Bundi huwinda chakula haiNi kweli kabisa, kiumbe kinapotaka kufa huanza na kufa Kwa sehemu mbali mbali za mwili Ile siku moyo unasimama sio kwamba ndio kiumbe kimekufa ila kama chanzo ugonjwa basi kilishaanza kufa,
Sasa bundi mungu amempa sense ya kusikia harufu ya zile cell zinazokufa na hutua eneo hilo ili kula ule mzoga kipindi hicho nyie ndani mnamuita mgonjwa, dad's wakati bundi akitafuta pa kupita ili akale ndio hupiga kelele na kuita wengine kuwa Kuna chakula eneo lile
Wewe ni toloriYou are a troll
Hata wanyama wa porini hukamatwa na kufugwa kwenye bustani za wanyama ni sawa la conditioning tuuIla wanafugwa km Ndege wengine hapo pia vipi au napo pia utabisha?