Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Sasa hapo mimi siwezi kukupangiaNdio hivyo sio kila kinachoandikwa ni cha kukiamini
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapo mimi siwezi kukupangiaNdio hivyo sio kila kinachoandikwa ni cha kukiamini
Hujawahi kusikia ama hujawahi kufuatilia? Huko maporini mbona haya yanatokea sana tuKwanini ilihali wanahisi mtu kufa anayekufa.
Na kwanini mtu? Wanyama pia si wanakufa? Au hawana seli zinazokufa kabla hawajafa? Au harufu zao zinatofauti na binadamu? Maana sijawahi sikia mtu akisema bundi alilia ng'ombe akafa.