Naanza kuamini Bundi kulia usiku Mahali palipo na mgonjwa ni ishara mbaya

Naanza kuamini Bundi kulia usiku Mahali palipo na mgonjwa ni ishara mbaya

Kwanini ilihali wanahisi mtu kufa anayekufa.

Na kwanini mtu? Wanyama pia si wanakufa? Au hawana seli zinazokufa kabla hawajafa? Au harufu zao zinatofauti na binadamu? Maana sijawahi sikia mtu akisema bundi alilia ng'ombe akafa.
Hujawahi kusikia ama hujawahi kufuatilia? Huko maporini mbona haya yanatokea sana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom