Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Sep 17, 2023 #241 stow away said: Ndio hivyo sio kila kinachoandikwa ni cha kukiamini Click to expand... Sasa hapo mimi siwezi kukupangia Sent using Jamii Forums mobile app
stow away said: Ndio hivyo sio kila kinachoandikwa ni cha kukiamini Click to expand... Sasa hapo mimi siwezi kukupangia Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Sep 17, 2023 #242 Tsh said: Kwanini ilihali wanahisi mtu kufa anayekufa. Na kwanini mtu? Wanyama pia si wanakufa? Au hawana seli zinazokufa kabla hawajafa? Au harufu zao zinatofauti na binadamu? Maana sijawahi sikia mtu akisema bundi alilia ng'ombe akafa. Click to expand... Hujawahi kusikia ama hujawahi kufuatilia? Huko maporini mbona haya yanatokea sana tu Sent using Jamii Forums mobile app
Tsh said: Kwanini ilihali wanahisi mtu kufa anayekufa. Na kwanini mtu? Wanyama pia si wanakufa? Au hawana seli zinazokufa kabla hawajafa? Au harufu zao zinatofauti na binadamu? Maana sijawahi sikia mtu akisema bundi alilia ng'ombe akafa. Click to expand... Hujawahi kusikia ama hujawahi kufuatilia? Huko maporini mbona haya yanatokea sana tu Sent using Jamii Forums mobile app