Na walio wazalisha. Namjibia mtoa mada yy hakuzalisha hovyo hivyo hataki vya hovyohovyoMoja ya content isio vutia ni hii.
Yani hao singo maza mmewachafua sana kitaa harafu saivi unakuja na slogan yakwamba wazazi wamekuonya usiangukie pua kuoa singo maza wakati nyinyi wenyewe ndio chanzo kikubwa cha yote hayo.
NAKUULIZA UNATAKA HAO WAOLEWE NAWAKINA NANI SASA? ππππππππ
Avumilie tu π€£π€£π€£Ndo tupo β¦.sa itakuwajeπ₯΄
Kijana kosea yote ila usioe singo maza utachukia ndoa bure.......hao wa singo maza wana kila aina ya visirani.Mwaka huu nafikisha miaka 32 sina mke aisee...
wapenzi nilishakuwaga nao huko nyuma tulishaachanaga.. kwa changamoto za mahusiano kila nikitaka kuoa nakutana na mwanamke ana mtoto yaani.. familia yangu imeshanionya kuoa mwanamke mwenye mtoto..
yaani hapa sielewi kazi ninayo kipato cha kati ninacho..
Single Maza Saiv Imekua National Anthem [emoji23]Ebu DJ tulete single maza wote na ile ngoma ya,,"sisi ndio tukooooo tukooo,,"DJ waleteee
sas kam kuzaa n moja ya fashion inayotrend kwasasa kwanin tupitweππ,,vizaz vinaoza na p2Single Maza Saiv Imekua National Anthem [emoji23]
Ndiyo ni mwaminifu sababu hakutoa mimbaYaan mtu kazaa watoto wawili halafu mwamunifu. We nae
kama ni hivo ungekuta nimeshaoa mda ndugu.. siko mother sio my family choiceKwanza kabisa, usikate tamaa. Kila mtu ana wakati wake hasa katika kupata mke ambaye ni sahihi. Usikate tamaa kwa sababu ya changamoto za nyuma au maoni ya familia yako.
Pili, usikate tamaa ya kuoa mwanamke ambaye tayari ana mtoto. Watoto ni baraka na wanaweza kuongeza furaha katika maisha yako. Kila mtu ana historia yake na inaweza kuwa ni sehemu ya safari yako ya maisha.
Ni muhimu kufanya maamuzi yako mwenyewe na kutafuta mke ambaye unahisi ni sahihi kwako bila kujali maoni ya wengine.
Kumbuka, kila mtu ana haki ya kupata furaha na upendo katika haya maisha.
Una hakika hajawahi kutoa?Ndiyo ni mwaminifu sababu hakutoa mimba
Itakuwa 100,000 kwa mwezi mkuu, kaya masikini si wanapewa 28,000 kwa miezi miwili!Kipato cha kati ndo shilling ngapi kwa mwezi au wastani kwa siku
Na niwatamuEbu DJ tulete single maza wote na ile ngoma ya,,"sisi ndio tukooooo tukooo,,"DJ waleteee
Na niwatamu
Sasa familia yako inahusika vipi na wewe mwanamke unayetaka kumuowa?Mwaka huu nafikisha miaka 32 sina mke aisee...
wapenzi nilishakuwaga nao huko nyuma tulishaachanaga.. kwa changamoto za mahusiano kila nikitaka kuoa nakutana na mwanamke ana mtoto yaani.. familia yangu imeshanionya kuoa mwanamke mwenye mtoto..
yaani hapa sielewi kazi ninayo kipato cha kati ninacho..
AiseeYaani kabisa unatafuta jitu limezalishwa
Katika ex zako hakuna hata m,Moja unayemuona anafaa na umludie ??Mwaka huu nafikisha miaka 32 sina mke aisee...
wapenzi nilishakuwaga nao huko nyuma tulishaachanaga.. kwa changamoto za mahusiano kila nikitaka kuoa nakutana na mwanamke ana mtoto yaani.. familia yangu imeshanionya kuoa mwanamke mwenye mtoto..
yaani hapa sielewi kazi ninayo kipato cha kati ninacho..
Sunnakumbe ndo zako eeeh