Naanza kuwaona vijana South Africa baada ya bei ya Passport kushuka

Naanza kuwaona vijana South Africa baada ya bei ya Passport kushuka

MfalmewaKiha

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2017
Posts
1,191
Reaction score
1,240
Habari zenu wadau kati ya jambo ambalo watu hasa wenye kiu ya kutoka au kwenda njee ya nchi walilo hitaji Ni pamoja na Bei ya passport kupungua.

Tangu serikali ianzishe mfumo wa passport za Ki Electronic Ni km miaka 3 imetimia ,HATI hyo ilipatikana kwa kiasi Cha shilling 150,000 Ila kwasasa itapatikana kwa sh Elfu 50,000 Tu.

Mungu amjalie maisha marefu Rais wetu Samia.

Vijana kazi kwenu.

Naanza kuona vijana mkienda South Africa.
 
Hatimae kitu kimeshuka bei
images%20(2).jpg
images%20(3).jpg
 
Habari zenu wadau kati ya jambo ambalo watu hasa wenye kiu ya kutoka au kwenda njee ya nchi walilo hitaji Ni pamoja na Bei ya passport kupungua,

Tangu serikali ianzishe mfumo wa passport za Ki Electronic Ni km miaka 3 imetimia ,HATI hyo ilipatikana kwa kiasi Cha shilling 150,000 Ila kwasasa itapatikana kwa sh Elfu 50,000 Tu

Mungu amjalie maisha marefu Rais wetu Samiah,

Vijana kazi kwenu.
Naanza kuona vijana mkienda South Africa.
Inaanza lini hiyo bei ya elf 50
 
Habari zenu wadau kati ya jambo ambalo watu hasa wenye kiu ya kutoka au kwenda njee ya nchi walilo hitaji Ni pamoja na Bei ya passport kupungua,

Tangu serikali ianzishe mfumo wa passport za Ki Electronic Ni km miaka 3 imetimia ,HATI hyo ilipatikana kwa kiasi Cha shilling 150,000 Ila kwasasa itapatikana kwa sh Elfu 50,000 Tu

Mungu amjalie maisha marefu Rais wetu Samiah,

Vijana kazi kwenu.
Naanza kuona vijana mkienda South Africa.
Imeshushwa lini?
 
Back
Top Bottom