Connection ya nn KILA kitu kipo wazi au unapesa za kuliwa.Mwenye connection ya kupata passport kwa bei elekezi anione pm
KILA kitu online hata kwa simu tu unajaza fomu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Connection ya nn KILA kitu kipo wazi au unapesa za kuliwa.Mwenye connection ya kupata passport kwa bei elekezi anione pm
Ilipanda sana toka Tshs 10,000 hadi 150,000 sijui lengo lilikuwa nini?HATI hyo ilipatikana kwa kiasi Cha shilling 150,000 Ila kwasasa itapatikana kwa sh Elfu 50,000 Tu
Cheki hapo mkuuView attachment 1798854
Huijui michadema ya JF na uongo ni sawa na chanda na pete
Yaani mtu anaongea utadhani nauli ya Sauzi ni kama kupanda Super Feo ya Mbinga au Buti la zungu Ntwara.
Everyday is Saturday............................... 😎
FYI, a passport is a privilege not a right.Vijana wahamasishwe passport ni haki yao ya kikatiba. Wakiweza watoke nje kusuuza macho hata nchi jirani.
Sawa mkuu nmekipata vyema ila moja ya viambata uwa ni Invitation letter. Ulikivukaje kiunzi hiki, tupe umate umate nasi.Hakuna kitu kama hicho! Wengi tuna passport tumezipata bila hata yakuwa na safari! Nimekuja safiri miezi 6 baada yakupata passport
Taarifa ya 2015.Cheki hapo mkuuView attachment 1798854
Umeangalia ni mwaka gani hii?Cheki hapo mkuuView attachment 1798854
Nice tip, Leo naamkia kwa mwenyekiti wangu Siyajali.Sikuwa na hiyo barua wala nini! Barua za Serikali za mitaa hua zinasaidia sana kama hujaajiriwa sehemu yoyote! Kama umeajiriwa, introduction letter inakubeba vizuri tu
Msafiri haogopi bei
Passport lini ilikuwa 10000?Ilipanda sana toka Tshs 10,000 hadi 150,000 sijui lengo lilikuwa nini?
Jiongeze mle mle uhamiajiSawa mkuu nmekipata vyema ila moja ya viambata uwa ni Invitation letter. Ulikivukaje kiunzi hiki, tupe umate umate nasi.
Unataka kuniambia kitambulisho cha kuntambulisha mtu kuwa ni raia hakiaminiki? Kama wanaotoa kitambulisho cha urai si wataalamu wa mambo ya urai, nani wataalamu?NIDA hawana wataalamu wa kujua uraia wa mtu hapo ni hatari ya kutoa passport kwa wageni
Huu ni usumbufu sana. NIDA walichukua taarifa hizo zote. Hadi habari ya mama na baba. Hata vyeti vya kuzaliwa. Washirikiane data base. We mtu uende na kitambulisho cha NIDA na hiyo pesa yao. Hayo mambo mengine ni urasimu na kukwamishana kusiko na msingi.Hakikisha umejaza kwanza ile form yao ya online,umeilipia ile Tshs 20,000 kwanza,then attach picha kwenye ile form,then submit! Jinsi unavyojibu maswali yao kwenye ile online form yao,ndiyo unavyotengeneza maswali! Nenda kwa mwanasheria akuandalie affidavit kama wazazi hawapo hai,kama wapo hai andaa vyetu vyao vya kuzalia vya kwao,hapa hua Cheti cha kuzaliwa cha Baba
1. Unapoenda uhamiaji! Make sure una documents hizi!
a) Barua ya kutoka serikali za mitaa au kutoka ulikoajiriwa.
b) NIDA
c) Cheti chako chakuzaliwa
d) Affidavit au Cheti cha kuzaliwa cha Mshua
e) Tshs 130,000/= Cash uwe nazo mkononi,watakuambia ulipe pale kwao wana Bank ya NMB! Hii yakulipia kwao nazungumzia kama upo Dsm,kwa mkoani sijui
Last reviewed 2015Cheki hapo mkuuView attachment 1798854