Wala tatizo halikuwa pesa, kwani kabla ya hiyo 150, 000 si ilikuwa 50, 000?tatizo ni kuipata ndio shida ipo , hayo matakwa yake hadi uipate ndio kuna shida.Habari zenu wadau kati ya jambo ambalo watu hasa wenye kiu ya kutoka au kwenda njee ya nchi walilo hitaji Ni pamoja na Bei ya passport kupungua.
Tangu serikali ianzishe mfumo wa passport za Ki Electronic Ni km miaka 3 imetimia ,HATI hyo ilipatikana kwa kiasi Cha shilling 150,000 Ila kwasasa itapatikana kwa sh Elfu 50,000 Tu.
Mungu amjalie maisha marefu Rais wetu Samia.
Vijana kazi kwenu.
Naanza kuona vijana mkienda South Africa.