6WaS9
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 2,562
- 3,028
Ongea na mzazi afuatilie affidavit/kiapo mahakamani ni Tshs. 5000..Niliambiwa TIN namba au kitambulisho vha mjasiliamali nikakwama hapo, nikakwama pia cheti cha kuzaliwa cha mzazi mmoja na pia barua ya mwaliko kule nakoenda au sababu ya mashiko ya safari, nkakwama hapo pia mkuu
Ngoja wadau waongezee hapa..