Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
TEMBEAANA YESUUUU TEMBEEA NA YESUUUU AMEN HALLELUYA AMEN
SHIKAMOOOOMAMAAA
UBARIKIWE
KAZIIENDELEE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TEMBEAANA YESUUUU TEMBEEA NA YESUUUU AMEN HALLELUYA AMEN
Thus immigration awatumii tu kitambulisho cha NIDA kuhalalisha uhalali wa kupewa pasipoti wanaunganisha na others supportive document.Sasa hapo kosa ni la nani?
Kihallai inabidi uwe na documents zipi/ ngapi ili upate passport?Thus immigration awatumii tu kitambulisho cha NIDA kuhalalisha uhalali wa kupewa pasipoti wanaunganisha na others supportive document.
Nduhu yangua acha tu.. customer service kwa hapa Tz, Tasisi za serikali/watu binafsi ni shida tupuHahahaha vip mzee [emoji23][emoji1787] alikurushia Nini..
Nafikrir izo east African passport ni za zamani?Sasa faida ya EA passport iko wapi? nna rafiki yangu yeye ana hold ya EA na ya TZ. Sielewi anapata faida gani kuhold zote mbili. Mana kama movement within EA ndo kama ivo kitambulisho ama permit tu inakuvukisha border.
Huna kazi?Ukifika uhamiaji sehemu ya kazi andika "MHITIMU WA SHULE" baba hii hawachomoi ..watasema weka vyeti vyako tu basi ..Kama huna vyeti hapo andika wewe ni "SINA KAZI" [emoji23][emoji23] halafu uone Kama hutopata Gamba.
Mbona simple tu kupata wakuu..
Lete barua ya kaziUnaweza kutafuta driving licence ili kwenye kazi unaandika dereva .
Sabubu ya safari nasafirisha gari za IT kwenda congo,zambia , rwanda etc.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Inategemeana na safarii yako na wwe ni nani means,mkulima,mfanyakazi, mfanyabiashara,ila key points vyeti vya kuzaliwa chako na cha mmoja wa mzazi wako.Zaidi google details zitakiwazo kulingana na uhusika wako.Kihallai inabidi uwe na documents zipi/ ngapi ili upate passport?
Zinatumika bado lakini na nafikiri unaweza ku apply maana nilienda immigation office nikakuta bango la kuonesha hizo passport zote zinazotolewa.Nafikrir izo east African passport ni za zamani?
Waliopandisha bei walilenga nini ?Habari zenu wadau kati ya jambo ambalo watu hasa wenye kiu ya kutoka au kwenda njee ya nchi walilo hitaji Ni pamoja na Bei ya passport kupungua.
Tangu serikali ianzishe mfumo wa passport za Ki Electronic Ni km miaka 3 imetimia ,HATI hyo ilipatikana kwa kiasi Cha shilling 150,000 Ila kwasasa itapatikana kwa sh Elfu 50,000 Tu.
Mungu amjalie maisha marefu Rais wetu Samia.
Vijana kazi kwenu.
Naanza kuona vijana mkienda South Africa.
Zinatolewa bado na ni za electronic nazoInamaana unamaanisha hadi sasa bado wanatoa hizo za east Africa? Siyo kwamba uki apply unapewa electronic passport?
Leta source wewe hii habari haipo bro.. nipo kwenye pqge za Uhamiaji lakini hii yako ni kamba
Kumbe unaangalia mitandaoniCheki hapo mkuuView attachment 1798854