Wewe hufai kabisa, inamaana usingekosa mkopo ungendelea kuiunga mkono? Haya mengine yanayondelea Nchini kwako sio sababu ya kutoiunga mkono CCM ila tu kukosa mkopo?Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza mimi Raia mtanzania ninaapa kutokuiunga mkono CCM chini ya Samia kwa kutukosesha mikopo wanafunzi wa vyuoni na wengine tumeishafika chuo tukitegemea tungepata walau boom itusaidie maisha ya chuo, kwa maandamano yoyote ya kuipinga serikali nitaunga mkono Chama chochote cha upinzani.
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza mimi Raia mtanzania ninaapa kutokuiunga mkono CCM chini ya Samia kwa kutukosesha mikopo wanafunzi wa vyuoni na wengine tumeishafika chuo tukitegemea tungepata walau boom itusaidie maisha ya chuo, kwa maandamano yoyote ya kuipinga serikali nitaunga mkono Chama chochote cha upinzani.
Uamuzi kama huu niliuchukua February 5 mwaka 1984 na sijawahi kuujutiaKama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza mimi Raia mtanzania ninaapa kutokuiunga mkono CCM chini ya Samia kwa kutukosesha mikopo wanafunzi wa vyuoni na wengine tumeishafika chuo tukitegemea tungepata walau boom itusaidie maisha ya chuo, kwa maandamano yoyote ya kuipinga serikali nitaunga mkono Chama chochote cha upinzani.
Ni hivi nyie vijana muanzishe kitu chenu. Vijana wote milioni kumi. Tumfafute kiongozi kama Warioba atuongoze kwa serikali ya mpitoBasi ni hatari, inabidi kuwaza kuhama nchi
1984 wakati wa chama kimoja. Una umri gani, altertive yako ilikuwa ni nini? Kulikuwa na chama kimoja tu.Uamuzi kama huu niliuchukua February 5 mwaka 1984 na sijawahi kuujutia
Mimi nimezinduka leoUamuzi kama huu niliuchukua February 5 mwaka 1984 na sijawahi kuujutia
Time will tellNi hivi nyie vijana muanzishe kitu chenu. Vijana wote milioni kumi. Tumfafute kiongozi kama Warioba atuongoze kwa serikali ya mpito
Tulia dogo mambo ni mengi ila nimeongea main point ilionigusaWewe hufai kabisa, inamaana usingekosa mkopo ungendelea kuiunga mkono? Haya mengine yanayondelea Nchini kwako sio sababu ya kutoiunga mkono CCM ila tu kukosa mkopo?