Naapa kuachana na CCM

Naapa kuachana na CCM

Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza mimi Raia mtanzania ninaapa kutokuiunga mkono CCM chini ya Samia kwa kutukosesha mikopo wanafunzi wa vyuoni na wengine tumeishafika chuo tukitegemea tungepata walau boom itusaidie maisha ya chuo, kwa maandamano yoyote ya kuipinga serikali nitaunga mkono Chama chochote cha upinzani.
Wewe hufai kabisa, inamaana usingekosa mkopo ungendelea kuiunga mkono? Haya mengine yanayondelea Nchini kwako sio sababu ya kutoiunga mkono CCM ila tu kukosa mkopo?
 
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza mimi Raia mtanzania ninaapa kutokuiunga mkono CCM chini ya Samia kwa kutukosesha mikopo wanafunzi wa vyuoni na wengine tumeishafika chuo tukitegemea tungepata walau boom itusaidie maisha ya chuo, kwa maandamano yoyote ya kuipinga serikali nitaunga mkono Chama chochote cha upinzani.
IMG_20240922_035102.jpg
 
Watu wanatekwa umekaa kimya, zinaletwa kodi kandamizi umekaa kimya...

Leo umekosa hela ya pombe kitambaa cheupe unaanza mayowe. Kula chuma.
 
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza mimi Raia mtanzania ninaapa kutokuiunga mkono CCM chini ya Samia kwa kutukosesha mikopo wanafunzi wa vyuoni na wengine tumeishafika chuo tukitegemea tungepata walau boom itusaidie maisha ya chuo, kwa maandamano yoyote ya kuipinga serikali nitaunga mkono Chama chochote cha upinzani.
Uamuzi kama huu niliuchukua February 5 mwaka 1984 na sijawahi kuujutia
 
Wewe hufai kabisa, inamaana usingekosa mkopo ungendelea kuiunga mkono? Haya mengine yanayondelea Nchini kwako sio sababu ya kutoiunga mkono CCM ila tu kukosa mkopo?
Tulia dogo mambo ni mengi ila nimeongea main point ilionigusa
 
Back
Top Bottom