Naapa kuwa sirudii tena kumsaidia Mtanzania -- never!

Wakomoro wapo tayari kufanya biashara na mkomoro mwenzao lakini sio mbongo.....

Nenda bandarini pale wanaofanya biashara comoro ni wacomoro wenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kisa nn
 
Wabongo ni watu wa ajabu saana,mwaka jana niliingia mkataba na vijana wa kazi za shamba.Nililima maharage kama hekari 12 hivi.Tumeenda nao vizuri, mpka maharage yalipo komaa na kuanza kukauka.. nilikuwa natembelea kila baada ya siku tatu..kuna siku nilipata dharula hivyo nikawa nimesafiri kama wiki nzima,ile wiki vijana walivuna maharage yote na kupiga..wakaacha kwa jirani gunia tatu tu.. zingine zote wametokomea nazo..nmewatafuta mpaka leo sijawapata..ila nmewasamehe Mungu atawalipa.
 
Mkuu pole ...mbali na Utanzania....vijana wengi was Saluni au Vinyozi wanatatizo makubwa ,waulizr wamiliki was Saluni....huyo tofauti yake n mjanja kavuka border
 
Imagine, wakenya ni mabingwa wa wizi lakini wakimwona mbongo huko Kenya hasa wachagga wanamwogopa balaa maana wanajua kupigwa ni nje nje.
wanijeria wanaosifika kwa wizi na mtandao mkubwa wa kitapeli duniani. Sehem wanayopigia mishe zao, wakiona kuna wabongo wawili watatu wamejisogeza eneo hilo basi wanajeria wanaihama hiyo sehemu ili kunusuru biashara zao.
 
Mkuu pole ...mbali na Utanzania....vijana wengi was Saluni au Vinyozi wanatatizo makubwa ,waulizr wamiliki was Saluni....huyo tofauti yake n mjanja kavuka border
Asante mkuu.. kwa kweli vijana wa saluni sikuwa nawafahamu before, lkn sasa kwa hii comment nahisi kama nimejifunza kitu.
 
Bongo ilishawahi kuletwa mashine ya kumkamata mwizi ila nayo pia iliibiwa.
Wabongo kwenye kitu inaitwa uaminifu bado tupo nyuma sana.
 
Pole sana mkuu.. Kwa kweli nimeshajifunza kuwa wabongo wakibebwa hawabebeki, japo kuna wale wachache kati ya wengi ambao wanaothamini wema wanaofanyiwa na wenzao.
 
Acha porojo, weka jina na pichake hapa ili akionekana kokote aogopwe kama ukoma
Hahahaha.. mkuu inamaana kila mtu unaemsaidia katika maisha yako ni lazima umpige picha! Kuna mkuu aliomba jina na address ya kijana nimeweka ila picha yake sina maana sikufikiria kama one day angefanya aliyoyafanya.
 
Umeongea ukweli na kunipa ushauri mzuri sana. Ila waswahili wanasema "mguu ulioumwa na nyoka, ukikanyaga jani unashtuka. Ki ukweli itanipa wakati mgumu sana kusaidia mtu nisiemfahamu, japo sijui huko baadae huenda nitasahau ni kibadili moyo kidogo.
 
Nyimyi watanganyika kazi zenu ni wizi na ujambazi ndio maana uaminifu kwenu ni zero tofauti na wazanzibar wanavoaminiwa ndani ya nchi yao mpaka njee ya nchi yao
Mzanzibar mmoja Johannesburg watu walimuamini sana maana alikua na kigari mfano wa kirikuu kwa hiyo maduka mengi anayajua walio Zambia,Tanzania wakawa wanatuma hela kwa ajili awanunulie vitu vinafungwa anapeleka kwenye maroli wanapima uzito unalipia yeye ni kuacha mzigo anachaji kazi unamlipa akafikia mpaka kununua gari yake ya kazi baadae akarudi kuoa huko Pemba akarudi SA huku gari kauza mambo ikaanzia hapo akaja na mkewe kipindi cha corona imekaza na Lockdown akamrudisha mkewe Pemba akaendelea kukaza baadae kapokea hrla za watu kadhaa akakimbia bila kununua mzigo ila kwa taarifa nilizozipata walimtafuta wamemrudisha kwa kaburu huko yupo jela kwa hiyo uaminifu ni tabia ya mtu sio pemba wala chunya...
 
Mkuu nataka kuja SA naomba nisaidie ila mimi nakuja na kianzio ili nisiwe mzigo kwako nimejichanga changa nmepata 1.5M ya kiTz na hela ya nauli pemben ila nmekua mzito kuja huko maana sijawahi kufika huko na sina ninae juana nae huko na nmeskia wa Tz weng wa huko unaweza ukafikiri n msaada kumbe umejipeleka kwenye mdomo wa mamba ila ww nahisi utakua tofaut kutokana na moyo wa kusaidi nataka nianzishe hata kuuza matunda tu ila nahitaji masaada wako unipe muongozo tu.
 
Lakini SA mbona hakuna complications kuingia?? Kinachowafanya hawa ndugu zetu kupita hizo njia za hatari mpaka wengine kuliwa na viboko ni nini??
 
wanijeria wanaosifika kwa wizi na mtandao mkubwa wa kitapeli duniani. Sehem wanayopigia mishe zao, wakiona kuna wabongo wawili watatu wamejisogeza eneo hilo basi wanajeria wanaihama hiyo sehemu ili kunusuru biashara zao.
😂😂wabongo nyoso
 
Pole mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…