Alistalikopaul
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 720
- 1,995
Ahadi za hovyo hizi yaani si utabadili I'd tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira sio maneno wala kuhamasisha watu kwenye jogging kisha unachukua simu unampigia Mayele halafu anakuahidi mbele ya wajinga wajinga kuwa watashinda mchezo huo, Big No.
Mpira ni sayansi, hata kujazana vip uwanjani kama huna uwezo huna tu, kikosi cha Yanga chenye wazee kama Simba, wachezaji walioshindikana huko walikotoka hakiwezi kuifunga TP Mazembe hata tukalale makaburini mwaka mzima.
Na ninaahidi kwa namna nilivyowaona Mazembe na walivyo na mikakati, Yanga akishinda Leo najiondoa rasmi humu JF na sitoonekana tena.Kama hiyo haitoshi, nitawavulia kofia rasmi kuwa wao wameshindikana.
Tusidanganyane hapa.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Ungeahidi kutowa takoo ndio ningekuelewa, lakini ID si unazo 10 hizi?Mpira sio maneno wala kuhamasisha watu kwenye jogging kisha unachukua simu unampigia Mayele halafu anakuahidi mbele ya wajinga wajinga kuwa watashinda mchezo huo, Big No.
Mpira ni sayansi, hata kujazana vip uwanjani kama huna uwezo huna tu, kikosi cha Yanga chenye wazee kama Simba, wachezaji walioshindikana huko walikotoka hakiwezi kuifunga TP Mazembe hata tukalale makaburini mwaka mzima.
Na ninaahidi kwa namna nilivyowaona Mazembe na walivyo na mikakati, Yanga akishinda Leo najiondoa rasmi humu JF na sitoonekana tena.Kama hiyo haitoshi, nitawavulia kofia rasmi kuwa wao wameshindikana.
Tusidanganyane hapa.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Zuwena FC timu ya kimama mnarudi nyuma waarabu wanachomeka chuma 3 [emoji13][emoji13]Utopolo ni timu ya kijinga tu
Si utafungua account nyingine tupe ahadi ya video mfano "unakata gogo Kkoo ".Mpira sio maneno wala kuhamasisha watu kwenye jogging kisha unachukua simu unampigia Mayele halafu anakuahidi mbele ya wajinga wajinga kuwa watashinda mchezo huo, Big No.
Mpira ni sayansi, hata kujazana vip uwanjani kama huna uwezo huna tu, kikosi cha Yanga chenye wazee kama Simba, wachezaji walioshindikana huko walikotoka hakiwezi kuifunga TP Mazembe hata tukalale makaburini mwaka mzima.
Na ninaahidi kwa namna nilivyowaona Mazembe na walivyo na mikakati, Yanga akishinda Leo najiondoa rasmi humu JF na sitoonekana tena.Kama hiyo haitoshi, nitawavulia kofia rasmi kuwa wao wameshindikana.
Tusidanganyane hapa.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Aje na ile id yake ya zamani sio hii mpya.Ni upumbavu kujiaminisha kipumbavu , kitu kinachoitwa mpira chochote kinaweza kutokea Leicester City alichukua ubingwa wa EPL, Simba aliwahi kutolewa FA na mashujaa , Saudi kamfunga Argentina nk
Wewe una nini dadaIla Yanga mashabiki wake wana mdomo sana, nawaombea njaa
Sina kituWewe una nini dada
[emoji106]Sina kitu
Uje na ID mpya 🤓🤓Mpira sio maneno wala kuhamasisha watu kwenye jogging kisha unachukua simu unampigia Mayele halafu anakuahidi mbele ya wajinga wajinga kuwa watashinda mchezo huo, Big No.
Mpira ni sayansi, hata kujazana vip uwanjani kama huna uwezo huna tu, kikosi cha Yanga chenye wazee kama Simba, wachezaji walioshindikana huko walikotoka hakiwezi kuifunga TP Mazembe hata tukalale makaburini mwaka mzima.
Na ninaahidi kwa namna nilivyowaona Mazembe na walivyo na mikakati, Yanga akishinda Leo najiondoa rasmi humu JF na sitoonekana tena.Kama hiyo haitoshi, nitawavulia kofia rasmi kuwa wao wameshindikana.
Tusidanganyane hapa.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app