Kipindi Msuva na Abrahaman mussa wanapewa tuzo wote ulikua ujaanza shabikia mpira?Ndio Mara ya kwanza naona dhawadi hii inatolewa kwa watu wawili. Hivi vigezo vya Fifa vimeshindwa kufuatwa kweli?🙄
Hii dhawadi alistahili Saidoo tu
Uzito wa tuzoNtibanzokiza tuzo 3
Mayele tuzo 3
Mkalaleee sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tukuchangie uende CAS???Kipengele cha pili ni Assist na tatu idadi ya mechi. Kwa hivi Saidoo kamzidi Mayele
Hii imetungwa 2023?Kipengele cha pili ni Assist na tatu idadi ya mechi. Kwa hivi Saidoo kamzidi Mayele
Unanifurahishaga sana 😁😁😁Mayele wamemwonea huruma...
Goal bora hakustahili hata, by the way kila mtu amepata chakee.Tuzo zamayele ni heavy achana nahizo zasaidoo et fair play
Tuzo zote zina uzito na ndo maana wametoa, na kila mtu kapata chakeee.Uzito wa tuzo
Rage ajengewe sanamu lake Msimbazi.Mayele wamemwonea huruma...
Jinga lingine hili.Kabisaa🙏wameona gongowazi watapiga kelele
Humu unatakiwa kuwa mvumilivu. Yaani Mtu anaamini Hakuna tofauti Kati ya kiungo Bora na mchezaji Bora? Tuvumiliane tu.Vina tofauti,
Uchezaji bora MVP ni kubwa kuliko chochotee.
Usishangae hadi refa U20 Afcon huwa hatupeleki Wala Cafcc au Cafcl maana refa Bora anakuwa huyu hao wengine wakojeKweli mwanamama Jonesiya Rukyaa ANASTAHILI tuzo ya mwamuzi bora?!!! Mmmh
Miaka miwili ananyonyesha....amerudi juzi tu..
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ameshukuru na ku-appreciate.Sema ulichokisikia wewe sasa
Ikijengwa kwa pembeni yake iwekwe ya Luc na ya Manara...Rage ajengewe sanamu lake Msimbazi.
Hawataki kabisa Mayele wao aguswe..bora uwaguse wake zao ila sio Mayele.. 😆Kabisaa🙏wameona gongowazi watapiga kelele
Tumtoe nani?Mbrazil wa singida na Akamiko... hawapo timu Bora?
Basi hapo rohoo kwatuu mwenyewee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Humu unatakiwa kuwa mvumilivu. Yaani Mtu anaamini Hakuna tofauti Kati ya kiungo Bora na mchezaji Bora? Tuvumiliane tu.
Hujui kizunguMbona nipo na tizama, sijasikia hapa.