Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Huyu amebebwa tu. Hata uwezo wake wa kuchezesha kwa sasa ni wa kawaida sana.Kweli mwanamama Jonesiya Rukyaa ANASTAHILI tuzo ya mwamuzi bora?!!! Mmmh
Miaka miwili ananyonyesha....amerudi juzi tu..
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app