Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Kibangu ina wenyewe, aache ndoto za alinacha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale kwa mzee wa upako anajenga septic tank kubwa la Lita 800 mil maana mji utakuwa kama Kijiji cha ChatoAnamnunua hadi mzee wa upako?
Dini zikikosa malengo ya kiroho huwa zinafujo sana.
Wajinga ndiyo waliwao, wajenga kwa mwenzako kwako kunabomokaNabii kijana Clear Malisa amedhamiria kuinunua Ubungo Kibangu yote akianzia Riverside hadi kwenye mpaka wa kambi ya Jeshi la Wananchi.
Tayari ameahidiwa fungu kubwa la pesa na Baba wake wa Kiroho aliyeko Marekani.
Pia michango inawndelea kuchangwa na kupokelewa hapo kanisani kwake Kingdom Embassy.
Wananchi wote mnahamasishwa mkachangie kwa moyo mmoja, toa sadaka yenye kuuma, toa kwa moyo mmoja na wala USIULIZEULIZE.
NB:-
Ndani ya mji huo kutakuwa na shopping malls, Hotel za kifahari, hospitali, na shule.
Pia kutakuwa na uwanja mdogo wa ndege kwa ajili ya wageni wanaotaka kwenda kwenye vivutio mbalimbali vya utalii wakitokea kweñye mji huo wa Malisa.
harafu kibaya zaidi hatua 20 kutoka lilipo kanisa lake kuna Msikiti...Anaanzaje kununua misikiti? Msanii umepata mwenzio huku
Hivi ile train ya ustaadh Rashid Gwajima imeanza kazi?Anamnunua hadi mzee wa upako?
Dini zikikosa malengo ya kiroho huwa zinafujo sana.
Dunia ina vibweka vyakePale kwa mzee wa upako anajenga septic tank kubwa la Lita 800 mil maana mji utakuwa kama Kijiji cha Chato
Jamani muacheni mkono wa baunsa atulieHivi ile train ya ustaadh Rashid Gwajima imeanza kazi?
Kuna miracle money, zikimwagika hapo misikiti watavunja wenyewe wakisaidiwa na sheikh Ponda!!Anaanzaje kununua misikiti? Msanii umepata mwenzio huku
Ile ya ulamaa Chidi alitupanga.Hivi ile train ya ustaadh Rashid Gwajima imeanza kazi?
Labda watagawiwa apartmentsWajinga ndiyo waliwao, wajenga kwa mwenzako kwako kunabomoka
Manabii wana uchawi mkaliSio rahisi kihivyo, kuna mahali SBS alinyimwa eneo ndio nikajua serikali ni zaidi ya uijuavyo. Kumbe hata matajiri na pesa zao zote kuna watu wanashindwa kuwanunua.
Ngoja tuvute subira tuone anawezawezaje?harafu kibaya zaidi hatua 20 kutoka lilipo kanisa lake kuna Msikiti...