Nabii Geor Davie rekebisha fundisho lako la uongo!

Nabii Geor Davie rekebisha fundisho lako la uongo!

Ni vipi Nabii wa uongo ambaye amezoea kusema uongo anaweza kurekebisha uongo wake mmoja?

Sote tunajua wazi Geor Davie ni nabii wa uongo wa kawaida kabisa, kumwambia arekebishe uongo wake ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa halafu utugemee acheze.
 
Wewe una agenda yako. Mada inamuongelea George Davie ila wewe unamshambulia Yesu, Ina maana Kuna shida mahali. Utakuwa na mapepo ambayo yakiona jina la Yesu Kristo yanalipuka.
Hata hayo mapepo hawapo na huyo yesu hayupo.

Mada inahusu 'Nabii" ambaye kazi yake ni kuhubiri habari za huyo Yesu.

Ambaye kiuhalisia huyo Yesu hayupo.
 
Yule ni tapeli... Nabii gani anashauri mtu aliyekosa pesa benki eti atoe fungu la kumi kwa ajili ya ulinzi wa huo mkopo?
 
Huwa nafuatiilia mafundisho yako redioni kuona nini unafundisha. Jana kuna mafundisho kuhusu amri ipi iliyo kuu umeteleza. Jibu la Yesu ni: KATIKA AMRI HIZI HUTEGEMEA TORATI YOTE NA MANABII. Wewe umetoa tafsiri potofu (really very bad hermeneutics, sijui kama ni makusudi tu ili kujiuza au ni bahati mbaya), kwamba ati amri ya mapendo hutegemea anachosema nabii. Hii si sahihi.

Yesu alimaanisha yote yaliyoandikwa katika vitabu vya torati na manabii ambavyo wakati ule Wayahudi walikuwa navyo msingi wake umejengwa kwenye amri ya UPENDO. Usifanye promotion ya huduma yako kwa kugeuza tafsiri za maandiko na kutumia uelewa finyu wa waumini wako. Kuna vipindi vya maswali na majibu ulikuwa ukifanya vizuri lakini nataka kukurekevisha unapoanza kuwapoteza watu.

Fundisho kama la jana na mengine nitakusahihisha maana hata hiyo shahada yako ya uzamivu (Ph.D) naanza kuitilia mashaka. Hata tafsiri ya biblia ya kiingereza ya hiyo aya haiendani kabisa nawe na naona kila mara ukiwapotosha watu kufanya promotion ya cheo cha nabii. Correct yourself or else you will face God's judgment.

Kuna wakati pia uliongelea habari ya Ibrahim, tajiri na masikini Lazaro. Yesu aliposema WASIPOWASIKILIZA MUSA NA MANABII alimaanisha yale ambayo tayari yalishaandikwa kwenye maandiko ya Agano la kale na siyo manabii hawa wa mchongo wa enzi zetu!
Huyo grandmaster mwabudu mashetani namzingatia?
 
Mimi nipo na nathibitishika kwa kuonekana.

Huyo Yesu hayupo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika yupo.

Huyo Yesu ni illusion tu.
Una uthibitisho gani kama huyo mama yako na baba yako kuwa ni wazazi wako kuwa hawakukuokota jalalani ulikotupwa na mama yako halali mwehu mujiuza madanguro wakakulea kama mtoto wao?

Au una uthibitisho gani kuwa babu wa babu wa babu wa babu mzaa babu wa babu alikuwa babu wao?
 
Huwa nafuatiilia mafundisho yako redioni kuona nini unafundisha. Jana kuna mafundisho kuhusu amri ipi iliyo kuu umeteleza. Jibu la Yesu ni: KATIKA AMRI HIZI HUTEGEMEA TORATI YOTE NA MANABII. Wewe umetoa tafsiri potofu (really very bad hermeneutics, sijui kama ni makusudi tu ili kujiuza au ni bahati mbaya), kwamba ati amri ya mapendo hutegemea anachosema nabii. Hii si sahihi.

Yesu alimaanisha yote yaliyoandikwa katika vitabu vya torati na manabii ambavyo wakati ule Wayahudi walikuwa navyo msingi wake umejengwa kwenye amri ya UPENDO. Usifanye promotion ya huduma yako kwa kugeuza tafsiri za maandiko na kutumia uelewa finyu wa waumini wako. Kuna vipindi vya maswali na majibu ulikuwa ukifanya vizuri lakini nataka kukurekevisha unapoanza kuwapoteza watu.

Fundisho kama la jana na mengine nitakusahihisha maana hata hiyo shahada yako ya uzamivu (Ph.D) naanza kuitilia mashaka. Hata tafsiri ya biblia ya kiingereza ya hiyo aya haiendani kabisa nawe na naona kila mara ukiwapotosha watu kufanya promotion ya cheo cha nabii. Correct yourself or else you will face God's judgment.

Kuna wakati pia uliongelea habari ya Ibrahim, tajiri na masikini Lazaro. Yesu aliposema WASIPOWASIKILIZA MUSA NA MANABII alimaanisha yale ambayo tayari yalishaandikwa kwenye maandiko ya Agano la kale na siyo manabii hawa wa mchongo wa enzi zetu!
Wewe kuingia chaka ni pale unapomwamini Geodavie au hata kusikiliza mafundisho yake.
 
Eti nabiii 😄

Wajinga waliwao

Ova

Yule wa Kongo amewaambia matusi yenu hayawezi kuingia kwenye vieiti. Matusi yanaingia kwenye boda boda, bajaji na daladala. Lakini siyo kwenye V8. Yeye ni mwendo wa kufunga vioo tu.
😛
 
Tumbo likiwa ndio msukumo wa maisha, hutashangaa kuona wakifanya hivyo. Injili za matumbo ndio hizi sasa.
 
Niliwahi kufanya kazi kwake pale Yolanda City - Kisongo (makazi yake ameyapa jina hilo )kwenye suala la ukarimu yupo vyema

Ila mahubiri yake yamejaa utata mwingi sana kiasi kwamba huwezi kuelewa anamwabudu nani

Mahubiri yake mwanzo mwisho siku zote ni kujisifia yeye tu pia hurefer vifungu vichache na kujipigia promo

Ila namuelewa ni jamaa mwenye kipaji cha ushawishi kupitia huo ujanja ujanja

All in all ana msafara wa gari takribani 16 hivyo pesa inahitajika ...nani anatoa ni hao wajinga acha wanyooshwe
 
Kitendo cha kumita tu Geo Davie nabii tayari umeshakua nyumbu tulia uendelee kudanganywa
 
Huwa nafuatiilia mafundisho yako redioni kuona nini unafundisha. Jana kuna mafundisho kuhusu amri ipi iliyo kuu umeteleza. Jibu la Yesu ni: KATIKA AMRI HIZI HUTEGEMEA TORATI YOTE NA MANABII. Wewe umetoa tafsiri potofu (really very bad hermeneutics, sijui kama ni makusudi tu ili kujiuza au ni bahati mbaya), kwamba ati amri ya mapendo hutegemea anachosema nabii. Hii si sahihi.

Yesu alimaanisha yote yaliyoandikwa katika vitabu vya torati na manabii ambavyo wakati ule Wayahudi walikuwa navyo msingi wake umejengwa kwenye amri ya UPENDO. Usifanye promotion ya huduma yako kwa kugeuza tafsiri za maandiko na kutumia uelewa finyu wa waumini wako. Kuna vipindi vya maswali na majibu ulikuwa ukifanya vizuri lakini nataka kukurekevisha unapoanza kuwapoteza watu.

Fundisho kama la jana na mengine nitakusahihisha maana hata hiyo shahada yako ya uzamivu (Ph.D) naanza kuitilia mashaka. Hata tafsiri ya biblia ya kiingereza ya hiyo aya haiendani kabisa nawe na naona kila mara ukiwapotosha watu kufanya promotion ya cheo cha nabii. Correct yourself or else you will face God's judgment.

Kuna wakati pia uliongelea habari ya Ibrahim, tajiri na masikini Lazaro. Yesu aliposema WASIPOWASIKILIZA MUSA NA MANABII alimaanisha yale ambayo tayari yalishaandikwa kwenye maandiko ya Agano la kale na siyo manabii hawa wa mchongo wa enzi zetu!
Huyu mshkaji tapeli tu.......
Mie nimekulia Arusha enzi hizo muhuni kabla hajaota kipara....kimsingi ni mchawi pia anafuga joka. 👍
 
mnahangaika nini na watu wanaojiita manabii wakati rangi ya mikono ni tofauti na ya uso kwa karoraiti? mnataka mfanywe nini ndio mkimbie toka kwa hao matapeli?
 
Huwa nafuatiilia mafundisho yako redioni kuona nini unafundisha. Jana kuna mafundisho kuhusu amri ipi iliyo kuu umeteleza. Jibu la Yesu ni: KATIKA AMRI HIZI HUTEGEMEA TORATI YOTE NA MANABII. Wewe umetoa tafsiri potofu (really very bad hermeneutics, sijui kama ni makusudi tu ili kujiuza au ni bahati mbaya), kwamba ati amri ya mapendo hutegemea anachosema nabii. Hii si sahihi.

Yesu alimaanisha yote yaliyoandikwa katika vitabu vya torati na manabii ambavyo wakati ule Wayahudi walikuwa navyo msingi wake umejengwa kwenye amri ya UPENDO. Usifanye promotion ya huduma yako kwa kugeuza tafsiri za maandiko na kutumia uelewa finyu wa waumini wako. Kuna vipindi vya maswali na majibu ulikuwa ukifanya vizuri lakini nataka kukurekevisha unapoanza kuwapoteza watu.

Fundisho kama la jana na mengine nitakusahihisha maana hata hiyo shahada yako ya uzamivu (Ph.D) naanza kuitilia mashaka. Hata tafsiri ya biblia ya kiingereza ya hiyo aya haiendani kabisa nawe na naona kila mara ukiwapotosha watu kufanya promotion ya cheo cha nabii. Correct yourself or else you will face God's judgment.

Kuna wakati pia uliongelea habari ya Ibrahim, tajiri na masikini Lazaro. Yesu aliposema WASIPOWASIKILIZA MUSA NA MANABII alimaanisha yale ambayo tayari yalishaandikwa kwenye maandiko ya Agano la kale na siyo manabii hawa wa mchongo wa enzi zetu!
Kwani huyo Geor Dave yupo huku ,ungemtafuta direct umchane
 
Huyu mshkaji tapeli tu.......
Mie nimekulia Arusha enzi hizo muhuni kabla hajaota kipara....kimsingi ni mchawi pia anafuga joka. 👍
Umeliona joka ?na umeona akiwanga au story za vijiweni ?
 
Umeliona joka ?na umeona akiwanga au story za vijiweni ?
Huyu muhuni nimecheza nae disco cave....tukitoka CTU Monduli tunamnunulia bia kabla hajaota kipara 🙂🙂🙂
 
Back
Top Bottom