Nabii Geor Davie rekebisha fundisho lako la uongo!

Nabii Geor Davie rekebisha fundisho lako la uongo!

Huyu muhuni nimecheza nae disco cave....tukitoka CTU Monduli tunamnunulia bia kabla hajaota kipara 🙂🙂🙂
Mimi nakubali ila kuhusu joka na uchawi ,hakuna haja ya kimsingizia huyo muhuni kitu ambacho hana
 
Huwa nafuatiilia mafundisho yako redioni kuona nini unafundisha. Jana kuna mafundisho kuhusu amri ipi iliyo kuu umeteleza. Jibu la Yesu ni: KATIKA AMRI HIZI HUTEGEMEA TORATI YOTE NA MANABII. Wewe umetoa tafsiri potofu (really very bad hermeneutics, sijui kama ni makusudi tu ili kujiuza au ni bahati mbaya), kwamba ati amri ya mapendo hutegemea anachosema nabii. Hii si sahihi.

Yesu alimaanisha yote yaliyoandikwa katika vitabu vya torati na manabii ambavyo wakati ule Wayahudi walikuwa navyo msingi wake umejengwa kwenye amri ya UPENDO. Usifanye promotion ya huduma yako kwa kugeuza tafsiri za maandiko na kutumia uelewa finyu wa waumini wako. Kuna vipindi vya maswali na majibu ulikuwa ukifanya vizuri lakini nataka kukurekevisha unapoanza kuwapoteza watu.

Fundisho kama la jana na mengine nitakusahihisha maana hata hiyo shahada yako ya uzamivu (Ph.D) naanza kuitilia mashaka. Hata tafsiri ya biblia ya kiingereza ya hiyo aya haiendani kabisa nawe na naona kila mara ukiwapotosha watu kufanya promotion ya cheo cha nabii. Correct yourself or else you will face God's judgment.

Kuna wakati pia uliongelea habari ya Ibrahim, tajiri na masikini Lazaro. Yesu aliposema WASIPOWASIKILIZA MUSA NA MANABII alimaanisha yale ambayo tayari yalishaandikwa kwenye maandiko ya Agano la kale na siyo manabii hawa wa mchongo wa enzi zetu!
Nabii anadanganya?
 
Huwa nafuatiilia mafundisho yako redioni kuona nini unafundisha. Jana kuna mafundisho kuhusu amri ipi iliyo kuu umeteleza. Jibu la Yesu ni: KATIKA AMRI HIZI HUTEGEMEA TORATI YOTE NA MANABII. Wewe umetoa tafsiri potofu (really very bad hermeneutics, sijui kama ni makusudi tu ili kujiuza au ni bahati mbaya), kwamba ati amri ya mapendo hutegemea anachosema nabii. Hii si sahihi.

Yesu alimaanisha yote yaliyoandikwa katika vitabu vya torati na manabii ambavyo wakati ule Wayahudi walikuwa navyo msingi wake umejengwa kwenye amri ya UPENDO. Usifanye promotion ya huduma yako kwa kugeuza tafsiri za maandiko na kutumia uelewa finyu wa waumini wako. Kuna vipindi vya maswali na majibu ulikuwa ukifanya vizuri lakini nataka kukurekevisha unapoanza kuwapoteza watu.

Fundisho kama la jana na mengine nitakusahihisha maana hata hiyo shahada yako ya uzamivu (Ph.D) naanza kuitilia mashaka. Hata tafsiri ya biblia ya kiingereza ya hiyo aya haiendani kabisa nawe na naona kila mara ukiwapotosha watu kufanya promotion ya cheo cha nabii. Correct yourself or else you will face God's judgment.

Kuna wakati pia uliongelea habari ya Ibrahim, tajiri na masikini Lazaro. Yesu aliposema WASIPOWASIKILIZA MUSA NA MANABII alimaanisha yale ambayo tayari yalishaandikwa kwenye maandiko ya Agano la kale na siyo manabii hawa wa mchongo wa enzi zetu!
Hawa manabii...mitume...nk wapo linked na USALAMA WA TAIFA.
 
Back
Top Bottom