Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Mimi nipo na nathibitishika kwa kuonekana.Kama wewe upo kwanini Yesu Kristo asiwepo?.
Hata ninyi mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Yesu, Kwa vile hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe na kujidhihirisha mwenyewe kwamba yupo.Wewe wasema.
Hata hayo mapepo hawapo na huyo yesu hayupo.Wewe una agenda yako. Mada inamuongelea George Davie ila wewe unamshambulia Yesu, Ina maana Kuna shida mahali. Utakuwa na mapepo ambayo yakiona jina la Yesu Kristo yanalipuka.
Binadamu akishapumbazwa na manabii uchwara Akili yake hujaa Pumba sana.Binadamu akishashiba makande hujaa kiburi sana.
Mkuu hivi ni waziri yupi huyo?Kweli kabisa....wanadam hawasikiii
Ova
Huyo grandmaster mwabudu mashetani namzingatia?Huwa nafuatiilia mafundisho yako redioni kuona nini unafundisha. Jana kuna mafundisho kuhusu amri ipi iliyo kuu umeteleza. Jibu la Yesu ni: KATIKA AMRI HIZI HUTEGEMEA TORATI YOTE NA MANABII. Wewe umetoa tafsiri potofu (really very bad hermeneutics, sijui kama ni makusudi tu ili kujiuza au ni bahati mbaya), kwamba ati amri ya mapendo hutegemea anachosema nabii. Hii si sahihi.
Yesu alimaanisha yote yaliyoandikwa katika vitabu vya torati na manabii ambavyo wakati ule Wayahudi walikuwa navyo msingi wake umejengwa kwenye amri ya UPENDO. Usifanye promotion ya huduma yako kwa kugeuza tafsiri za maandiko na kutumia uelewa finyu wa waumini wako. Kuna vipindi vya maswali na majibu ulikuwa ukifanya vizuri lakini nataka kukurekevisha unapoanza kuwapoteza watu.
Fundisho kama la jana na mengine nitakusahihisha maana hata hiyo shahada yako ya uzamivu (Ph.D) naanza kuitilia mashaka. Hata tafsiri ya biblia ya kiingereza ya hiyo aya haiendani kabisa nawe na naona kila mara ukiwapotosha watu kufanya promotion ya cheo cha nabii. Correct yourself or else you will face God's judgment.
Kuna wakati pia uliongelea habari ya Ibrahim, tajiri na masikini Lazaro. Yesu aliposema WASIPOWASIKILIZA MUSA NA MANABII alimaanisha yale ambayo tayari yalishaandikwa kwenye maandiko ya Agano la kale na siyo manabii hawa wa mchongo wa enzi zetu!
Una uthibitisho gani kama huyo mama yako na baba yako kuwa ni wazazi wako kuwa hawakukuokota jalalani ulikotupwa na mama yako halali mwehu mujiuza madanguro wakakulea kama mtoto wao?Mimi nipo na nathibitishika kwa kuonekana.
Huyo Yesu hayupo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika yupo.
Huyo Yesu ni illusion tu.
Wewe kuingia chaka ni pale unapomwamini Geodavie au hata kusikiliza mafundisho yake.Huwa nafuatiilia mafundisho yako redioni kuona nini unafundisha. Jana kuna mafundisho kuhusu amri ipi iliyo kuu umeteleza. Jibu la Yesu ni: KATIKA AMRI HIZI HUTEGEMEA TORATI YOTE NA MANABII. Wewe umetoa tafsiri potofu (really very bad hermeneutics, sijui kama ni makusudi tu ili kujiuza au ni bahati mbaya), kwamba ati amri ya mapendo hutegemea anachosema nabii. Hii si sahihi.
Yesu alimaanisha yote yaliyoandikwa katika vitabu vya torati na manabii ambavyo wakati ule Wayahudi walikuwa navyo msingi wake umejengwa kwenye amri ya UPENDO. Usifanye promotion ya huduma yako kwa kugeuza tafsiri za maandiko na kutumia uelewa finyu wa waumini wako. Kuna vipindi vya maswali na majibu ulikuwa ukifanya vizuri lakini nataka kukurekevisha unapoanza kuwapoteza watu.
Fundisho kama la jana na mengine nitakusahihisha maana hata hiyo shahada yako ya uzamivu (Ph.D) naanza kuitilia mashaka. Hata tafsiri ya biblia ya kiingereza ya hiyo aya haiendani kabisa nawe na naona kila mara ukiwapotosha watu kufanya promotion ya cheo cha nabii. Correct yourself or else you will face God's judgment.
Kuna wakati pia uliongelea habari ya Ibrahim, tajiri na masikini Lazaro. Yesu aliposema WASIPOWASIKILIZA MUSA NA MANABII alimaanisha yale ambayo tayari yalishaandikwa kwenye maandiko ya Agano la kale na siyo manabii hawa wa mchongo wa enzi zetu!
Eti nabiii π
Wajinga waliwao
Ova
DNA.Una uthibitisho gani kama huyo mama yako na baba yako kuwa ni wazazi wako kuwa hawakukuokota jalalani ulikotupwa na mama yako halali mwehu mujiuza madanguro wakakulea kama mtoto wao?
DNA.Au una uthibitisho gani kuwa babu wa babu wa babu wa babu mzaa babu wa babu alikuwa babu wao?
Huyu mshkaji tapeli tu.......Huwa nafuatiilia mafundisho yako redioni kuona nini unafundisha. Jana kuna mafundisho kuhusu amri ipi iliyo kuu umeteleza. Jibu la Yesu ni: KATIKA AMRI HIZI HUTEGEMEA TORATI YOTE NA MANABII. Wewe umetoa tafsiri potofu (really very bad hermeneutics, sijui kama ni makusudi tu ili kujiuza au ni bahati mbaya), kwamba ati amri ya mapendo hutegemea anachosema nabii. Hii si sahihi.
Yesu alimaanisha yote yaliyoandikwa katika vitabu vya torati na manabii ambavyo wakati ule Wayahudi walikuwa navyo msingi wake umejengwa kwenye amri ya UPENDO. Usifanye promotion ya huduma yako kwa kugeuza tafsiri za maandiko na kutumia uelewa finyu wa waumini wako. Kuna vipindi vya maswali na majibu ulikuwa ukifanya vizuri lakini nataka kukurekevisha unapoanza kuwapoteza watu.
Fundisho kama la jana na mengine nitakusahihisha maana hata hiyo shahada yako ya uzamivu (Ph.D) naanza kuitilia mashaka. Hata tafsiri ya biblia ya kiingereza ya hiyo aya haiendani kabisa nawe na naona kila mara ukiwapotosha watu kufanya promotion ya cheo cha nabii. Correct yourself or else you will face God's judgment.
Kuna wakati pia uliongelea habari ya Ibrahim, tajiri na masikini Lazaro. Yesu aliposema WASIPOWASIKILIZA MUSA NA MANABII alimaanisha yale ambayo tayari yalishaandikwa kwenye maandiko ya Agano la kale na siyo manabii hawa wa mchongo wa enzi zetu!
Kwani huyo Geor Dave yupo huku ,ungemtafuta direct umchaneHuwa nafuatiilia mafundisho yako redioni kuona nini unafundisha. Jana kuna mafundisho kuhusu amri ipi iliyo kuu umeteleza. Jibu la Yesu ni: KATIKA AMRI HIZI HUTEGEMEA TORATI YOTE NA MANABII. Wewe umetoa tafsiri potofu (really very bad hermeneutics, sijui kama ni makusudi tu ili kujiuza au ni bahati mbaya), kwamba ati amri ya mapendo hutegemea anachosema nabii. Hii si sahihi.
Yesu alimaanisha yote yaliyoandikwa katika vitabu vya torati na manabii ambavyo wakati ule Wayahudi walikuwa navyo msingi wake umejengwa kwenye amri ya UPENDO. Usifanye promotion ya huduma yako kwa kugeuza tafsiri za maandiko na kutumia uelewa finyu wa waumini wako. Kuna vipindi vya maswali na majibu ulikuwa ukifanya vizuri lakini nataka kukurekevisha unapoanza kuwapoteza watu.
Fundisho kama la jana na mengine nitakusahihisha maana hata hiyo shahada yako ya uzamivu (Ph.D) naanza kuitilia mashaka. Hata tafsiri ya biblia ya kiingereza ya hiyo aya haiendani kabisa nawe na naona kila mara ukiwapotosha watu kufanya promotion ya cheo cha nabii. Correct yourself or else you will face God's judgment.
Kuna wakati pia uliongelea habari ya Ibrahim, tajiri na masikini Lazaro. Yesu aliposema WASIPOWASIKILIZA MUSA NA MANABII alimaanisha yale ambayo tayari yalishaandikwa kwenye maandiko ya Agano la kale na siyo manabii hawa wa mchongo wa enzi zetu!
Umeliona joka ?na umeona akiwanga au story za vijiweni ?Huyu mshkaji tapeli tu.......
Mie nimekulia Arusha enzi hizo muhuni kabla hajaota kipara....kimsingi ni mchawi pia anafuga joka. π
Huyu muhuni nimecheza nae disco cave....tukitoka CTU Monduli tunamnunulia bia kabla hajaota kipara πππUmeliona joka ?na umeona akiwanga au story za vijiweni ?