Nabii GeorDavie: Yesu akirudi leo atataka kutumia gari yangu na atataka nimfuate Airport

Nabii GeorDavie: Yesu akirudi leo atataka kutumia gari yangu na atataka nimfuate Airport

Hawa manabii wa uongo na viongozi wa kisiasa nchi hii hawajapishana kitu.
Wote wanawaona wafuasi wao ni mijitu mijinga mijinga.
 
Nabii Geordavie amesema kwamba endapo Yesu angerudi leo, angehitaji kutumia gari lake na kumtaka amfuate uwanja wa ndege kwa ajili ya msafara wa hadhi yake. Nabii huyo alieleza kuwa Yesu angekuwa na mtazamo tofauti, akiamua kukaa naye na kuchagua gari miongoni mwa alizonazo ili kuendana na hadhi yake.

"Nadhani atakuwa na mtazamo tofauti, jambo la kwanza ataamua kukaa na mimi na atataka kutumia gari langu, atachagua katika hizi (gari) na ataomba nimfuate airport (uwanja wa ndege) kwasababu ndio hadhi yake na kutakuwa na msafara kabisa."
Mi naona shibe ya sadaka za wajinga wanaoombewa zimemlevya kuropoka chochote. Ukimjua mtu usipate naye shida. Hata mngemsema vipi tayari mmemshibisha na mnaendelea kumjaza misadaka ya bure ataropoka tena na tena na tena mpaka muache kumpa sadaka. Na hawezi kufilisika kwa sababu ujinga wa mtu mweusi ndiyo utajiri wa manabii fakes.
 
Nabii Geordavie amesema kwamba endapo Yesu angerudi leo, angehitaji kutumia gari lake na kumtaka amfuate uwanja wa ndege kwa ajili ya msafara wa hadhi yake. Nabii huyo alieleza kuwa Yesu angekuwa na mtazamo tofauti, akiamua kukaa naye na kuchagua gari miongoni mwa alizonazo ili kuendana na hadhi yake.

"Nadhani atakuwa na mtazamo tofauti, jambo la kwanza ataamua kukaa na mimi na atataka kutumia gari langu, atachagua katika hizi (gari) na ataomba nimfuate airport (uwanja wa ndege) kwasababu ndio hadhi yake na kutakuwa na msafara kabisa."
mungu wao yesu alitandikwa misumali msalabani na barobaro wa kiyahudi
 
Kwahiyo Yesu atakuja na ndege sio😀😀😀😀😀😀😀
 
Mi naona shibe ya sadaka za wajinga wanaoombewa zimemlevya kuropoka chochote. Ukimjua mtu usipate naye shida. Hata mngemsema vipi tayari mmemshibisha na mnaendelea kumjaza misadaka ya bure ataropoka tena na tena na tena mpaka muache kumpa sadaka. Na hawezi kufilisika kwa sababu ujinga wa mtu mweusi ndiyo utajiri wa manabii fakes.
🤛
 
Nabii Geordavie amesema kwamba endapo Yesu angerudi leo, angehitaji kutumia gari lake na kumtaka amfuate uwanja wa ndege kwa ajili ya msafara wa hadhi yake. Nabii huyo alieleza kuwa Yesu angekuwa na mtazamo tofauti, akiamua kukaa naye na kuchagua gari miongoni mwa alizonazo ili kuendana na hadhi yake.

"Nadhani atakuwa na mtazamo tofauti, jambo la kwanza ataamua kukaa na mimi na atataka kutumia gari langu, atachagua katika hizi (gari) na ataomba nimfuate airport (uwanja wa ndege) kwasababu ndio hadhi yake na kutakuwa na msafara kabisa."
Eh!!😳😳
 
Nabii Geordavie amesema kwamba endapo Yesu angerudi leo, angehitaji kutumia gari lake na kumtaka amfuate uwanja wa ndege kwa ajili ya msafara wa hadhi yake. Nabii huyo alieleza kuwa Yesu angekuwa na mtazamo tofauti, akiamua kukaa naye na kuchagua gari miongoni mwa alizonazo ili kuendana na hadhi yake.

"Nadhani atakuwa na mtazamo tofauti, jambo la kwanza ataamua kukaa na mimi na atataka kutumia gari langu, atachagua katika hizi (gari) na ataomba nimfuate airport (uwanja wa ndege) kwasababu ndio hadhi yake na kutakuwa na msafara kabisa."
Ametengeneza lini gari huyu mzee
 
Back
Top Bottom